Pakistan yapiga marufuku Valentine Day

Pakistan yapiga marufuku Valentine Day

Nchi ya Pakistani yapiga marufuku kusherehekea sikukuu ya Valentine nchini humo. Mahakama kuu nchini humo imetoa tamko, ni marufuku kabisa kusherehekea sikukuu hiyo hata media za nchini humo hazitakiwi kuizungumzia sikukuu ya Valentine kwanamna yoyote ile kwani kufanya hivyo ni sawa na kuunga mkono tamaduni za kimagharibi.

Je, mdau wewe umepokeaje katazo hili la Serikali ya Pakistan? Je ingekuwa hapa kwetu unahisi nini kingetokea?

Karibuni kwa mjadala

Chanzo: BBC Swahili
Pakistan ni nchi ya kiislam hapa kwetu haitotokea, sema jengine.
 
Hakiha ulichokiandika mkuu kibamantiki, wengi humu hawajui chochote kuhusu hiyo siku, wanafuata tu upepo
Hebu msaidie muumi'nin mwenzio kutuambia Asili ya birthday ya Muhammad ("MAULID")

Kwangu mimi Maulid na Valentine day hazina tofauti hata kidogo kwasababu hata hiyo Maulid hujui asili yake weyee.
 
Hebu msaidie muumi'nin mwenzio kutuambia Asili ya birthday ya Muhammad ("MAULID")

Kwangu mimi Maulid na Valentine day hazina tofauti hata kidogo kwasababu hata hiyo Maulid hujui asili yake weyee.


Ukihitaji tofauti, jitofutisha kwanza wewe na wenzio baada ya ugamzi nafikiri hutauliza tena tofauti
 
Ukihitaji tofauti, jitofutisha kwanza wewe na wenzio baada ya ugamzi nafikiri hutauliza tena tofauti
Hivi una uelewa kweli?

Mimi nimeshamwambia nduguyo kuwa kwangu Valentine day na Maulid day ni sawa.

Nimehitaji atuambie asili ya Maulid ili kutofautisha na siku ya Valentino halafu wewe unaniambia tena nitofautishe.

Nitofautishe wakati naziona zipo sawa tu na nimeshalisema hilo?
 
Hivi una uelewa kweli?

Mimi nimeshamwambia nduguyo kuwa kwangu Valentine day na Maulid day ni sawa.

Nimehitaji atuambie asili ya Maulid ili kutofautisha na siku ya Valentino halafu wewe unaniambia tena nitofautishe.

Nitofautishe wakati naziona zipo sawa tu na nimeshalisema hilo?


Unahitaji niwe na uelwe aina gani?
Uelewe wa utambuzi 100% ninao nafikiri wewe ndiye uelewe umekita nchani.....

Maulidi ni birthday na Valentine ni nn?

Upofu hauliwazwi kwa kupapasa
 
Unahitaji niwe na uelwe aina gani?
Uelewe wa utambuzi 100% ninao nafikiri wewe ndiye uelewe umekita nchani.....

Maulidi ni birthday na Valentine ni nn?

Upofu hauliwazwi kwa kupapasa
Maulid ni birthday ya bwn. Mu ammad Ibn Abdullah, maarufu kama Muhammad (S.A.W)

Valentine day ni siku ya kukumbuka Upendo aliouonesha Saint Valentino wa kuwajali wenzetu kwa namna mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwajali wasiojiweza na yatima.

Sasa birthday ya mtu mmoja na hilo alilofanya Valentino ni lipi la muhimu zaidi?

However, bado hujanijibu maswali yangu ya msingi

1) Asili ya Maulid ni wapi?

2) Na hao wanaoisheherekea Maulid hawajafuata mkumbo tu kwa wazazi wao na waumin waliowatangulia?
 
Natamani wangepiga marufuku na hapa bongo
 
Unahitaji niwe na uelwe aina gani?
Uelewe wa utambuzi 100% ninao nafikiri wewe ndiye uelewe umekita nchani.....

Maulidi ni birthday na Valentine ni nn?

Upofu hauliwazwi kwa kupapasa
Mkuu achana nae huyo punguani,fuse yake moja ninayo huku.
 
Maulid ni birthday ya bwn. Mu ammad Ibn Abdullah, maarufu kama Muhammad (S.A.W)

Valentine day ni siku ya kukumbuka Upendo aliouonesha Saint Valentino wa kuwajali wenzetu kwa namna mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwajali wasiojiweza na yatima.

Sasa birthday ya mtu mmoja na hilo alilofanya Valentino ni lipi la muhimu zaidi?

However, bado hujanijibu maswali yangu ya msingi

1) Asili ya Maulid ni wapi?

2) Na hao wanaoisheherekea Maulid hawajafuata mkumbo tu kwa wazazi wao na waumin waliowatangulia?


Asili ni mashariki ya kati.

Sherehe ya kuzaliwa na maadhimisho ya upendo....hivi vitu viko tofauti.

Kufananisha au kusogeza ufanano naona hapo unakuwa mkunjo. Kwa unyoofu ni hivi kuzaliwa ni hatua kuu kwa mwanadamu......kupitia katika makuzi yake hilo la upendo na utashi hufuata na wengineyo hukosa kabisa.


Maulidi asili ni mashariki ya kati - ni maadhimisho/shereheo. ukija sema maulidi ya mtume ni maadhimisho ya kuzaliwa kwake.

Pia maulidi hutumika kama vile mapokeo/kusherehesha....mfano mapokeo ya mwezi wa ramadhani=hufanya maulidi kwa kusherekea.

Valentine day -----tunakita kwenye Upendo (maadhimisho). Pia mapokeo yetu sisi tumepelekea moja kwa moja kwenye ngono. ila Mr Valentino aliitumia siku hii kwa upendo(kufariji na kufurahi pamoja)


Hapo uchukue forklift ulazimishe kuleta mfanano naona kama ule ukurutu kwenye unga mweupe bado unaanika kwenye jua la alasiri upike saa 12 jioni.
 
hakuna sikukuu yenye asili ya Africa inasherehekewa duniani ,utasikia valentine ,day mapenzi mubashara ,naona watu wameanza kusherehekea ile siku ya wachawi ulaya wanavaa mask za kutisha usoni .tuwe na sherehe zetu na tuziheshimu ,kwa mfano tamasha la ngoma za asili ,sauti za busara ile sijui mwanzilishi wake nani ,na nyingine nyingi tu. burudani hizi husaidia kupunguza stress
 
Nchi ya Pakistani yapiga marufuku kusherehekea sikukuu ya Valentine nchini humo. Mahakama kuu nchini humo imetoa tamko, ni marufuku kabisa kusherehekea sikukuu hiyo hata media za nchini humo hazitakiwi kuizungumzia sikukuu ya Valentine kwanamna yoyote ile kwani kufanya hivyo ni sawa na kuunga mkono tamaduni za kimagharibi.

Je, mdau wewe umepokeaje katazo hili la Serikali ya Pakistan? Je ingekuwa hapa kwetu unahisi nini kingetokea?

Karibuni kwa mjadala

Chanzo: BBC Swahili
Kwa mujibu wa taratibu za uislam sikukuu hii hatuitambui kabisa yani kwa hiyo Pakistan kama nchi ya kiislaam sioni ajabu sana. Pia kwa upande wa pili kama ingezuiwa hata hapa Bongo mi naona kusingetokea chochote tofauti na kufuata sheria bila kushurutishwa. Na wala haina faida kwa lolote ndo maana unaona shughuri za kiserikali zinaendelea kama kawaida. Kwani upendo inabidi tupeane kila kukicha.....napenda kuwasilisha
 
Asili ni mashariki ya kati.

Sherehe ya kuzaliwa na maadhimisho ya upendo....hivi vitu viko tofauti.

Kufananisha au kusogeza ufanano naona hapo unakuwa mkunjo. Kwa unyoofu ni hivi kuzaliwa ni hatua kuu kwa mwanadamu......kupitia katika makuzi yake hilo la upendo na utashi hufuata na wengineyo hukosa kabisa.


Maulidi asili ni mashariki ya kati - ni maadhimisho/shereheo. ukija sema maulidi ya mtume ni maadhimisho ya kuzaliwa kwake.

Pia maulidi hutumika kama vile mapokeo/kusherehesha....mfano mapokeo ya mwezi wa ramadhani=hufanya maulidi kwa kusherekea.

Valentine day -----tunakita kwenye Upendo (maadhimisho). Pia mapokeo yetu sisi tumepelekea moja kwa moja kwenye ngono. ila Mr Valentino aliitumia siku hii kwa upendo(kufariji na kufurahi pamoja)


Hapo uchukue forklift ulazimishe kuleta mfanano naona kama ule ukurutu kwenye unga mweupe bado unaanika kwenye jua la alasiri upike saa 12 jioni.
Ni kweli mkuu kuwa watu wanaichukulia siku hii ya Valentine day kingono na kiuhusiano wa kingono tu ILA in real sense haikuwa hivyo.

Hata Maulid & Christmas wapo wanaoichukulia hivyo na kuwa ni siku ya kuzini na kulewa mpk kutojitambua.

Ndio maana baadhi ya radical muslims kama wale wa BALUKTA na wakristo wengine hawaisherehekei siku hizo.

Lakini kinachojalisha ni wewe binafsi unaichukuliaje siku hiyo.
 
Wewe kisukule cha Abou sufian...hujatawadha bado eeh [emoji23]
.
Wewe nadhani ni punguani haupo sawa,umekaa unauliza viswali vyako vya kipuuzi puuzi halafu ulivyo na uelewa mdogo na kichwa kisichoweza kutunza kumbukumbu umekuja kujijibu wewe mwenyewe kwenye post #77
Jaribu kua na akili iliyokomaa na si akili ya kitoto,comment zako zote ni zile zile za siku zote tu unazunguka nazo kwenye kila thread! Yaani huna jipya wewe mawazo mgando.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom