Pakistan yapiga marufuku Valentine Day

Pakistan yapiga marufuku Valentine Day

Matusi yako wapi hapo?

Hii mada inahusu Valentine day,anaweza kuanzisha mada yake na kuuliza huo upuuzi wake,
Kifupi huyo kiumbe ni maarufu humu JF kwa kukashifu imani za wengine,wewe labda utakua humjui tu,hua hayupo tayari kueleweshwa bali kubishana na kukashifu,so kumuelewesha huyo kiumbe ni kazi bure tu coz lengo lake hua sio kufahamishwa,jaribu ku search comment zake humu JF ndio utaelewa ninachokizungumza.
Hivi mkuu wewe una akili timamu?

Wewe umemwambia Musollin kuwa anajua maana ya Valentine au anafuata mkumbo?

Mimi nimekuuliza wewe unayesheherekea MAULID (Birthday ya Mtume Muhammad)

Je unajua asili yake? Wewe husheherekei kwa kufuata Mkumbo wa Wazazi na Waumin wenzako?


Usilete "VIOJA" jibu kwa "HOJA" .
 
Mkuu Sory mimi naimani unaweza kupangua hoja za jamaa hapo bira kuleta matusi,kama anachouliza sio sawa mpangue kwa hoja kwamba sio sawa na ni kwanini sio sawa"kwakufanya hivyo utakuwa umeuwa ndege watatu kwa jiwe moja.
Ameshajibu kwa hoja mujarab?
 
Fuatilia suit ilianza kuvaliwa wapi?, hushangai late Saddam Hussein alikuwa akivaa sana suit kuliko kanzu?.
Nazungumzia Official suit inayovaliwa karibu na viongozi wote wakubwa katika official events iligunduliwa huko Britain wakati ikiitwa Great Britain.

Hata hao wapalestina huwa wanavaa.

Hiyo unayoimaanisha wewe ya Sadam Hussein ilianza kuvaliwa wapi?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hii nchi ipambane na viwanda vilivyomo Pakistan vya madawa ya kulevya pamoja na ndoa za watoto. Hilo la Valentine day halina impact yoyote kwa taifa.
Mm binafsi,nq imman yangu cwez na wala sijawah kusherehekea shrehe hizo zakipuz
Tuwe wakweli wa nafsi zetu,na tuyaangalie yanayoambatana na na sherehe za siku hiyo. Utamaduni wetu ni kielelezo cha sisi kujitambua. Wanaopiga marufuku katika nchi zao,wanaona athari za yatokanayo na siku hiyo ya Valentine. Kwao wao,kila kiingiacho mjini SIO HALALI.
 
Hivi mkuu wewe una akili timamu?

Wewe umemwambia Musollin kuwa anajua maana ya Valentine au anafuata mkumbo?

Mimi nimekuuliza wewe unayesheherekea MAULID (Birthday ya Mtume Muhammad)

Je unajua asili yake? Wewe husheherekei kwa kufuata Mkumbo wa Wazazi na Waumin wenzako?


Usilete "VIOJA" jibu kwa "HOJA" .
Uwe unasoma comment na kuzielewa kwanza kabla kukurupuka? Wewe ulishakua ni kituko humu JF kwa hoja za kijinga.
 
Uwe unasoma comment na kuzielewa kwanza kabla kukurupuka? Wewe ulishakua ni kituko humu JF kwa hoja za kijinga.
Maulid naifaham na hata IDD pia,in moja ya sherehe halali zilizoruhusiwa kushrehekea katka Inman yetu ,plz usilazimishe nsherehekee
tapatalk_1487009920308.jpeg
 
Tuwe wakweli wa nafsi zetu,na tuyaangalie yanayoambatana na na sherehe za siku hiyo. Utamaduni wetu ni kielelezo cha sisi kujitambua. Wanaopiga marufuku katika nchi zao,wanaona athari za yatokanayo na siku hiyo ya Valentine. Kwao wao,kila kiingiacho mjini SIO HALALI.
Ukitaka kufikiria zaidi ya hapo ni kwamba hayo mambo hayafanyiki kwa sababu ya siku ya Valentine, ila kinachotokea siku hiyo ndio kile kilicho katika akili na mioyo ya watu. Siku zote ili upate tiba jua ugonjwa kwanza. Mawazo ya uzinzi na uasherati yaliyo katika vichwa vya watu hayazuiwi kwa kupiga marufuku siku kama hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom