Ahsante sana Mkuu wangu, Nyie ndo company yangu mlioniwezesha!
Nguli nawe unakaribia kufikisha 1,000 posts. Lakini siku nyingi naona unaandika, mbona hazifiki? Kumbe mi naandika sana basi, nipongezeNapendaga comment zako sio ndefu hadi mtu unashindwa kusoma.Pia wewe sio mtu wa bandika bandua hata kama unaandika line moja inatoka kwenye akili na moyo wako.
......ni kwamba
NIMEFIKISHA POSTS 1000 SASA HIVI!...Nipongezeni bana!.....
Mi nilipoona kimya nikajua Sinkala yuko busy na "Bi Harusi" si unajua tena,Habari wakuu ! Kwa kipindi kadhaa nililazimika kutokomea kusikojulikana kutokana na sababu ambazo ziko nje ya matarajio. Nadhani kuna kundi fulani pia lilikuwa kimya humu kama mimi, but I'm back na wengine mtawaona wanarudi mmoja mmoja. Nimekuta mabadiliko kadhaa ikiwemo style ya avatar za Burn. All in all hongera sana PakaJimmy.
Habari wakuu ! Kwa kipindi kadhaa nililazimika kutokomea kusikojulikana kutokana na sababu ambazo ziko nje ya matarajio. Nadhani kuna kundi fulani pia lilikuwa kimya humu kama mimi, but I'm back na wengine mtawaona wanarudi mmoja mmoja. Nimekuta mabadiliko kadhaa ikiwemo style ya avatar za Burn. All in all hongera sana PakaJimmy.
Haya chukua pongezi Paka!
Karibu ktk klabu ya wakongwe wanaoibukia!
Nguli nawe unakaribia kufikisha 1,000 posts. Lakini siku nyingi naona unaandika, mbona hazifiki? Kumbe mi naandika sana basi, nipongeze