Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Hongera mwalimu, tumia huu mtandao wa kijamii kufungua akili zetu .Napenda sana jicho la tatu kwani mambo mengi siyajui, nilifikiri ukisali sana ufalme wa Mungu utauona, kumbe kuna jicho la tatu. Hivi wachawi wanatumia jicho la tatu ?