Paji la uso na siri ya jicho la tatu

kama yapi..?
3156728d3c5944c3117af234e6aa4b1c.jpg

Manufaa ni mengi mno hasa kwa ustawi wa familia jamii na hata wewe mwenyewe
Mambo mengi mabaya yanayotokea kwenye jamii yetu yanatokana kuwa na mtazamo finyu kuhusu maisha
Hii ni elimu mtambuka inayogusa kila nyanja ya maisha
 
Daaaaah..nashukuru sana braza kwa kuleta udhi huu..binafsi nimekuwa mtu ninaefuatiia mambo makubwa sana hata yale ambayo sina uwezo nayo.. Kitu kikubwa kinachonisukuma ni kutaka kujua kwanin hawa illuminant na freemasonry wanavolitumia jicgo la tatu katk kuona mbali.

Kiukweli wale jamaa wana uwezo wa kusense kitu kitakachotokea hata miaka mia moja ijayo kwa kutumia taswira angavu yenye uwezo ya kuyajua mawazo yako hata kabla hujaamua jambo..

Ndio maana walio wengi walio katika mtandao wa freemasonry na illuminat wanapogundua kuwa wapo katika njia mbovu yenye laana kubwa badae wakitaka kutoka kundini wanakufa mapema hata kabla ya kutimiza ndoto zao za kujikomboa katika ukanda wa satarnic worship ....

Nitawaeleza kwanini hii inatokea;

Kwanza kabisa ikumbukwe kuwa mwanadamu unapozaliwa, hekima yako, ufahamu na maarifa yako yote yapo controlled under pineal gland located near the base of pituitary gland... This is the mainly gland the control circadian rythm with respect to body morphology under specific objectives to bring the body at any deviated conditions....

Hii tezi(pineal gland) ndiyo inayotoa vichochezi maalumu vinavoamsha hali ya meditation in relation to will power to do something....lakin rate ya utoaji wa hormens hizi hupungua kadri umri unavozid kwenda... Nikimanisha kuwa mtoto mdogo anareceive high input on neuro awerenes kuliko mtu mzima simply bcoz your pineal gland stimulation is minimumly to decline....

Yaani upeo wa jicho angavu la 3 hupungua zaid kuliko hali yake na kadri pineal gland inavotoa stimulation za kutosha ndipo neurofunction inakuwa kubwa sana in relation to mind and will power.... Yaani inasemekana mtoto mdogo ana upeo mkubwa wa kusense hata mapepo kuliko mtu mzima kwan neuroinput ni kubwa kwake kuliko mtu mzima.

Ndo mana kuna wakati mwingine mtoto anaweza lia usiku wa manane kuashiria danger cituation lakin kwa kuwa mtu mzima unareceive low pineal gland input ndo manaa will power inakuwa ndogo katika kujua nyakati na majira mazuri na mabaya....

Katika utafiti huo uliofanywa na illuminant katka kuicontrol dunia(watu) ni pamoja na kuzuia au kutokomeza kabisa uwezo wa kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu la mwanadamu linalomuwezesha kujua nyakati na majira yaliyokatika nuru na giza ..

Wamekuja na mpango wa kutokomeza uwezo wa kusisimua uwezo wa pineal gland kutoa vichocheo vinavyoliwezesha jicho la tatu kuona mbali.. Ndio maana illuminant wanalitegemea kama taa imulikayo mbali katika kufanya maamuzi yao....

Wamebuni ni sumu gani watakayompandikizia mwanadamu ili iweze kupunguza uwezo wa kuamsha hisia za jicho la tatu?

1.) Wamegundua kuwa sumu iliyopekee kuwa na uwezo wa kushambulia kwa kasi pineal gland ni FLOURIN and CHLORINE FREE RADICALS ambazo ndio sumu hatari sana katka kutokomeza hali hiyo.. Free radicals ni sumu ambazo huzuia hormones au utendaji kazi mzuri wa pineal gland mwilini hivyo bas vikiwa vinaingizwa mwilini kila siku vitaharakisha kuzuia au kukata kabsa the release of SEROTONIN HORMONES ambazo ndio kiini cha usingizi na MEDITATION KATIKA MAISHA YA MWANADAMU...

Kama mtu atakosa vichocheo hivyo hakika hataweza pata usingizi utakaopelekea kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu.... Ndio mana kadri unavozidi kuwa na umri mkubwa ndipo muda wa kulala unapungua zaidi (unachelewa kulala lakini pia unawahi kuamka) ni tofaut na watoto wadogo...

So FLOURIN na CHLORIN FREE RADICALS zimewekwa katika dawa za meno ambazo kila mwanadamu anatumia kila siku.. Ndio maana kizazi cha sasa hivi uwezo wa kufikiri unapungua simply bcoz of free radicals flourin and chlorin... Ndio maana wataalamu wanasema unapopiga mswaki usimeze dawa ile.. Wana maana yake japo its so sectet to rescure few people..

2.) Wanatumia mionzi ya simu, x rayz na mionzi mingine kupiga katka pineal gland ili kuharibu serotonin production ambayo ndio msingi mkubwa wa kuamsha jicho la tatu ambalo ndio KIINI CHA KUJUA SIRI ZOTE ZA TECHNOLOGY YOTE NA HATA UWEZO WA KUJUA MAMBO YOTE YALIYO KATIKA NURU NA GIZA.. Upungufu wa utendaji kazi wa pineal gland unamfanya mwanadam awe na uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo makubwa... Ukitaka kuaminin jaribu kujiuliza hivi ni kwanini kadri siku zinavozidi kwenda uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unapungua lakini discoveries zinaongezeka??

Technology inakuwa kwa kasi simply becouse operators wanatumia jicho la tatu under ALLIENS TECHNOLOGY IMPLANT inayotumia jicho la tatu.. Mwanadamu anafanya kazi ya kuasemble vifaaaa tu na sio kutengeneza....

That is the big secret kwa wachache lakini ila tulio wengi hatujui how technology inversion inavokuwa....

So my dear brothers and sisterz kuna umuhimu mkubwa sana wa kujua kulitumia jicho la tatu yan ukiweza thibit upotezo wa nguvu za kuliamsha jicho hilo hakika unaweza ukajihisi kuwa wew ni nabiii kumbe ni namna ulivoweza thibit impacts of free radicalson your pineal gland.....

ZIJUE NYAKATI NA MAJIRA KATIKA KUUTAMBUA ULIMWENGU LAKINI HAKIKA HAUTAWEZA MPAKA UJUE NAMNA JICHO LA TATU LILIVYOKUWA NA UWEZO WA KUKUPA UWEZO HUO..

..AMINAAAA
 
Mkuu Mshana jr nina suali juu ya kusikiliza mziki nikiwa chooni, mimi huwa na tabia ya kusikiliza mziki wakati wa kuoga jee kuna madhara yoyote hapo?
 
Daaaaah..nashukuru sana braza kwa kuleta udhi huu..binafsi nimekuwa mtu ninaefuatiia mambo makubwa sana hata yale ambayo sina uwezo nayo..kitu kikubwa kinachonisukuma ni kutaka kujua kwanin hawa illuminant na freemasonry wanavolitumia jicgo la tatu katk kuona mbali...kiukweli wale jamaa wanauwezo wa kusense kitu kitakachotokea hata miaka mia moja ijayo kwa kutumia taswira angavu yenye uwezo ya kuyajua mawazo yako hata kabla hujaamua jambo..ndio maan waliowengi waliokatka mtandao wa freemasonry na illuminat wanapogundua kuwa wapo katika njia mbovu yenye laana kubwa badae wakitaka kutoka kundini wanakufa mapema hata kabla ya kutimiza ndoto zao za kujikomboa katika ukanda wa satarnic worship ....nitawaeleza kwanini hii inatokea....kwanza kabisa ikumbukwe kuwa mwanadamu unapozaliwa ,hekia yako,ufahamu na maalifa yako yote yapo controlled under pineal gland located near the base of pituitary gland...this is the mainly gland the control circadian rythm withrespect to body morphology under specific objectives to bring the body at any deviated conditions....hii tezi(pineal gland) ndiyo inayoatoa vichochezi maalumu vinavoamsha hali ya meditation in relation to will power to do something....lakin rate ya utoaji wa hormens hizi hupunga kadri umri unavozid kwenda...nikimanisha kuwa mtoto mdogo anareceive high input on neuroawerenes kuliko mtu mzima simply bcoz your pineal gland stimulation is minimumly to decline....yan upeo wa jicho angavu la 3 hupungua zaid kuliko hali yake na kadri pineal gland inavotoa stimulation za kutosha ndipo neurofunction inkuwa kubwa sana in relation to mind and will power....yan inasemekana mtoto ndgo anaupeo mkubwa wa kusense hata mapepo kuliko mtu mzima kwan neuroinput ni kubwa kwake kuliko mtu mzima.

Ndo mana kuna wakatimwingine mtoto anaweza lia usiku wa manane kuashiria danger cituation lakin kwa kuwa mtu mzima unareceive low pineal gland input ndo manaa will powee inakuwa ndogo katika kjua nyakati na majira mazuri na mabaya....

Katika utafiti huo uliofanywa na illuminant katka kuicontrol dunia(watu) ni pamoja na kuzuia au kutokomeza kabisa uwezo wa kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu la mwanadamu linalomuwezesha kujua nyakati na majira yaliyokatika nuru na giza ..
Wamekuja na mpango wa kutokomeza uwezo wa kusisimua uwezo wa pineal gland kutoa vichocheo vinavyoliwezesha jicho la tatu kuona mbali..ndo mana illuminant wanalitegemea kama taaa imulikayo mbali katika kufanya maamuzi yao....

Wamebuni ni sumu gani watakayompandikizia mwanadamu ili iweze kupunguza uwezo wa kuamsha hisia za jicho la tatu...??

1.) Wamegundua kuwa sumu iliyopekee kuwa na uwezo wa kushambulia kwa kasi pineal gland ni FLOURIN and CHLORINE FREE RADICALS..ambazo ndio sumu hatari sana katka kutokomeza hali hiyo..free radicals ni sumu ambazo huzuia hormones au utendaji kazi mzuri wa pineal gland mwilini hivyo bas vikiwa vinaingizwa mwilini kila siku vitaharakisha kuzuia au kukata kabsa the release of SEROTONIN HORMONES ambazo ndio kiini cha usingizi na MEDITATION KATIKA MAISHA YA MWANADAMU...kama mtu atakosa vichocheo hivyo hakika hataweza pata usingizi utakaopelekea kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu....ndo mana kadri unavozidi kuwa na umri mkubwa ndipo mudawa kulala unapungua zaidi( unachelewa kulala lakini pia unawahi kuamka) ni tofaut na watoto wadogo...so FLOURIN na CHLORIN FREE RADICALS zimewekwa katika dawa za meno ambazo kila mwanadamu anakla kila siku..ndo mana kizazi cha sasa hivi uwezo wa kufikiri unapungua simply bcoz of free radicals flourin and chlorin...ndo mana watalamu wanasema unapopiga mswaki usimze dawa ile..wana maana yake japo its so sectet to rescure few people..

2.) Wanatumia mionzi ya simu,x rayz na mionzi mingine kupiga katka pineal gland ili kuharibu serotonin production ambayo ndio msing mkubwa wa kuamsha jicho la tatu ambalo ndio KIINI CHA KUJUA SIRI ZOTE ZA TECHNOLOGY YOTE NA HATA UWEZO WA KUJUA MAMBO YOTE YALIYO KATIKA NURU NA GIZA..upungufu wa utendaji kazi wa pineal gland unamfanya mwanadam awe na uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo makubwa...ukitaka kuaminin jaribu kujiuliza hivi ni kwanini kadri siku zinavozidi kwenda uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unapungua lakini discoveries zinaongezeka..??

Technology inakuwa kwa kasi simply becouse operators wanatumia jicho la tatu under ALLIENS TECHNOLOGY IMPLANT inayotumia jicho la tatu..mwanadamu anafanya kazi ya kuasemble vifaaaa tu na sio kutengeneza....

That is the big secret kwa wachache lakini ila tuliowengi hatujui how technology inversion inavokuwa....

So my dear brothers and sisterz kuna umuhimu mkubwa sana wa kujua kulitumia jicho la tatu yan ukiweza thibit upotezo wa nguvu za kuliamsha jicho hilo hakika unaweza ukajihisi kuwa wew ni nabiii kumbe ni namna ulivoweza thibit impacts of free radicalson your pineal gland.....

ZIJUE NYAKATI NA MAJIRA KATIKA KUUTAMBUA ULIMWENGU LAKINI HAKIKA HAUTAWEZA MPAKA UJUE NAMNA JICHO LA TATU LILIVYOKUWA NA UWEZO WA KUKUPA UWEZO HUO..

..AMINAAAA
Niliwahi kuweka mada ya micro chips implants lakini kuna baadhi hawakuelewa kabisa..ni kweli kabisa mason wana mpango kabambe wa kuua mlango wa fahamu ya sita ili ile ni rahisi kutawala dunia
63b6ed4254840d649337abc3e6065fea.jpg
2e3a134ba50d2bd65ea492b9c99db901.jpg
9b5321d83a1038b6340eaeff1eb72132.jpg
 
f6e63668ac1c4a88887ca94b0bd11c01.jpg


Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.

Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.

1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus
c028b8f6365bdd2fb44aaf6796fdf17f.jpg


Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.

2. Mathematics
22f4856d4325c03356542c3c19a96824.jpg


Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.

3. Tahjud (Meditation)
1a3f1076a0eecca2d21fb8771039a216.gif


Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.

4. Baptism & Sijda
b23bbe047b4fed53bc8acd968bfbde9f.jpg
7581aaa5dd84dc3d74104360bf95c259.jpg


Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..

Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.

5. A kiss on the Forehead
95e4888b95b1f04ef937618e752fd13d.jpg


Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.

6. FREEMASONRY
2eaa591e515e975051f9640238953750.jpg

Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu

7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)
8654ca9f3d106b3012aa7228ab664632.jpg


Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.

8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.

Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.

Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.

Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.

Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.

Mshana jr,huwa nafuatilia articles/comments zako hapa jf,kila nisomapo mawazo yako nabaki kustaajabu ya Ulimwengu ambayo sikupata kuyafahamu.....
 
Back
Top Bottom