Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

Jengeni, sisi tutaivunja 2030 maana anaingia kichwa kibovu hata magufuli anasubir
 
Tunashauri mamlaka zitenge bajeti ya kujenga Misikiti kila Stesheni za SGR kwa ajili ya Swala kwa abiria. Kwa sasa usumbufu ni Mkubwa Sana kufanya ibada ukiwa safarini. Na Ramadhan inakuja
Bora msikiti uwepo kwenye SGR,
 
Ila mods Active Paw Humu ndani Uislamu umezidi kutukanwa kwa kila aina ya tusi halafu hatuoni jitihada zenu au ni lengo la Jf kufarakanisha watu?
Huyu kaleta mada hii ya dhihaka na sio leo tu since yesterday mngekua mnazifuta thread kma hizi zisingeletwa Boqin celix
Habari, suala linafanyiwa kazi.
 
Tunashauri mamlaka zitenge bajeti ya kujenga Misikiti kila Stesheni za SGR kwa ajili ya Swala kwa abiria. Kwa sasa usumbufu ni Mkubwa Sana kufanya ibada ukiwa safarini. Na Ramadhan inakuja
Rekebisha kidogo,
Sio misikiti bali Musallah ( Chumba cha kusalia) yaani 5m x 5m chumba kidogo tu kinatosha kabisa.. Wakati abiria wanasubiri kuondoka na muda wa Swala umefika.
 
Na sisi walevi tunaomba bar za kutosha kila kituo Cha sgr ziwepo kuanzia 15
 
Ninyi kobazi bila kudhibitiwa hii dunia tungesha silimishwa wote.

Acha Marekani🇺🇲 aendelee kutawala dunia tu.

Hebu vuta picha, Iran🇮🇷 ndio angekuwa super power wa dunia?

Watu wange silimishwa, by fire by force. 😂

Nchi yoyote ambayo ingegoma kusilimu, ingepigwa vikwazo vya kiuchumi.

Watu wangepigwa mabomu kabisa.

Sasa hivi hapa JF tungekuwa tunajadiliana kwa kiarabu.
Sasa hivi kila mtu Dar hadi Wagalatia salamu ni "Salamaleko" na kushukuru ni "Alhamdulillah"!
 
Hivi sikuhiz jamii forum imekuwaje,
Haipo Ile utaratibu Hadi mod apitie Uzi ndio utumwe.

Hizi mada za dini iwe christin or Muslim muwe mnaziangalia kwa umakin kabla hazijaruhusiwa.

Hakuna vita mbaya kama ya Imani sababu inamgusa mtu moja Kwa moja.

Labda mniambie mods mnahusika kuziandika na kuzituma wenyew

Zaman mtu alikuwa anaogopa hadi kuanzisha uzi JF kwa kuhofia kuwa alichokiandika kinaweza kataliwa,
lakin sikuhiz mtu ana amka tu asubuh kachoka anafungua app ana andika utumbo
Jf mnapoteza thamani msipo angalia, au kuna Mods wapya hawajui kazi yao?
 
Marekani siyo dini , dini gani inaitwa marekani?


In the U.S., 13% of adults who were brought up as Muslims no longer identify with any religion. In addition, a modest number of U.S. adults who were raised Muslim now identify as Christians (6%).Mar 26, 2025
 
Hahaha aiseee ,,,,DUH ,,HUYU NAE NI BABA WA FAMILIA.
 
zitajengwa mia wala hutofanya chochote na hamtawaweza waislamu kwa lolote
 
Mkuu,Hivi kama ukiswali bila kugeukia kibra sala yako haiwezi kupokelewa?
Inapokelewa vizuri tuu, ila kuswali kuelekea kibra ni udhu tuu. Kibra ni mecca liliko kaburi la mtume. Jiulize kabla mtume hajafa wa hajazikwa waliswali kuelekea wapi?
 
Inapokelewa vizuri tuu, ila kuswali kuelekea kibra ni udhu tuu. Kibra ni mecca liliko kaburi la mtume. Jiulize kabla mtume hajafa wa hajazikwa waliswali kuelekea wapi?
Duh! Kwa huyo wameanza kugeukia kibra (Mecca) baada ya mtume kufariki?!🤔🤔
 
Back
Top Bottom