Lucha unabeba vitu kwa mihemko, wala hujishughulishi kujua mantiki ya tamko fulani.
Kuhusu Uislam kuwa na ongezeko kubwa, ni sahihi, lakini haimaanishi kuwa waislam ni wengi Ulaya. Unakuta nchi ilikuwa na waislam 10 mwaka 1980, na mwaka huo huo wakristu walikuwa milioni 20. Leo , leo nchi hiyo hiyo ina waislam 100, na wakristo milioni 19. Ni kweli waislam wameongezeka, lakini ongezeko lao ni neglible. Wakristo wamepungua lakini bado ni wengi sana.
Kiuhalisia, hakuna wazungu wanaoslimu, ikitokea ni kwa nadra sana, na wengine hufanya hivyo kwa sababu za kiusalama ili waweze kuingia nchi za kiislam kiurahisi kwenda kufanya upelelezi. Lakini kwa ujumla, ongezeko hilo dogo la waidlam kwa Ulaya linaletwa na kuzaliana sana kwa waarabu wakiwa huko ugenini.
Soma hapa chini utaelewa vizuri zaidi:
As of 2025, the Muslim population in Europe is estimated at around 46 million, representing approximately 6% of the continent’s total population. Driven by migration and higher fertility rates (2.6 children per woman vs. 1.6 for non-Muslims), this population has grown from 4.9% in 2016.
Wakristo:
As of roughly 2020, Christians comprised about 67% of Europe's population, totaling over 500 million people, though numbers have been steadily declining alongside rising unaffiliated populations. The region remains predominantly Christian, split between Catholic, Orthodox, and Protestant denominations, despite significant secularization in Western Europe.
Kwa Marekani, China, Nepal, Iran, Indonesia, India na nchi nyingi za Afrika na Amerika Kusini, idadi ya wakristo inazidi kuongezeka: