Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

Ndo mana ake mkuu. Kibra ni mbwembwe, swala yapaswa kuelekezwa kwa Mungu sio kaburinoi
Kobazi miyeyusho sana😅😅😅Kumbe wanaelekeza swala zao kwenye kaburi( mzimu wa Muddy).
 
Uislamu umejitosheleza sana kwenye Uislamu kuna Sala ya msafiri hata mtu akikaa kwenye siti yake tu anaswali vizuri tu bila ya usumbufu wowote ule ilihali yupo stara na tohara
Yes niliwahi kutana na jamaa natoka Dodoma-Mbeya
Jamaa alikuwa humble sana.Alinifundisha ulichoandika,..
Jamaa alituomba kwa ustarabu sana samahani jamani naweza swali kidogo na alifanya hivyo.
Sasa tuna sisi wajuaji wa Dini.
 
Uislamu umejitosheleza sana kwenye Uislamu kuna Sala ya msafiri hata mtu akikaa kwenye siti yake tu anaswali vizuri tu bila ya usumbufu wowote ule ilihali yupo stara na tohara
Hata ukitoka Dar kuelekea Moro:
Utakuwa imeiacha Kibra kisogoni sasa
 
Nyinyi ndo mmejenga msikiti Coco beach.
Yaani mna matatizo
Sijui nani aliruhusu ule upimbi kujenga Msikiti public area stupid kabisa wakatoliki wakitaka jenga kanisa je?
Wasabato,wahindu temple,wabudha na wapagani wapande mbuyu wataruhusiwa hawa jamaa wanapenda kujifanya wao special sana!
 
Hii nchi sio ya kidini. Kufanya kutafanya kila dini itake kitu hicho. Uko tayari kuona miti ya Mibuyu kwenye kila kituo cha usafiri huo?
 
Back
Top Bottom