Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

Kwaio treni isimamishe safari kisa watu kuswali.. eeh

Samaleko!!
 
Akili na kobazi ni kama maji na mafuta.

Akili na kobazi ni kama angani na ardhi.

Ni kund la watu ambao fikra zao zinaendeshwa na itikadi isio kuwa na utimamu na upumbavu wa kufikrrika.

Mbuzi anamzidi kobaz akili kama uongo tumuulize Mjusi Sharobalo
Sahihi kabisa, wanachokijua wao ni elimu akhera tu, wamekalili mabikira 72 na mito ya mitungi, kwa hapa duniani wanachokijua ni kukata vichwa tu.
 
Sir God fundi Sana aisee 🙌

USA aendelee kuwanyoosha
Kuna jamaa mmoja kwenye ndege alianza kusema "Allah Akbar!, Allah Akbar! Allah Akbar!"

Abiria wakaingia taharuki, ilibidi wale Cabin Crews waende kumcheki na kumkagua kagua.

Maana abiria waliingiwa na hofu, wakajua kifuatacho ITV ni mlipuko.

Kumbe jamaa alikuwa anaswali zake.
 
Kuna jamaa mmoja kwenye ndege alianza kusema "Allah Akbar!, Allah Akbar! Allah Akbar!"

Abiria wakaingia taharuki, ilibidi wale Cabin Crews waende kumcheki na kumkagua kagua.

Maana abiria waliingiwa na hofu, wakajua kifuatacho ITV ni mlipuko.

Kumbe jamaa alikuwa anaswali zake.
Mbung'o wa vijijini ni ndege gani umeshawahi kupanda, labda ungo wa bibi umechangaya madesa
 
Naomba serekale ijenge sehemu ya kuombea mizimu ya kipare kama msitu wa shengena.
 
Tunashauri mamlaka zitenge bajeti ya kujenga Misikiti kila Stesheni za SGR kwa ajili ya Swala kwa abiria. Kwa sasa usumbufu ni Mkubwa Sana kufanya ibada ukiwa safarini. Na Ramadhan inakuja
Wewe nae hizi akili za wapi?
 
Taja kijiji ulichotoka nikwambie hicho kijiji chenu chote kama kina kanisa la Roma au laa, kama hatujakuta wilaya nzima ina kanisa moja tu la Roma
Usiwe unalopoka kama tahira, vitu vingne inatakiwa uvifanyie research ndio utoe huo ushuhuda
 
Kanisa la nini? Wakristo kusali ni mara moja kwa wiki hamna haja ya kanisa, ndo maana hata mitaandi kanisa la Roma utakuta liko moja wilaya nzima, maana ibada siyo kila siku ni siku moja tu.
Usisemee taasisi ambayo hujui taratibu zao. Kanisa Katoliki kuna ibada kila siku saa 12 asubuhi kwa wote.
Na Kuna ibada saa 12 jioni kwa watawa na baadhi ya waumini wengine.
 
Uislamu umejitosheleza sana kwenye Uislamu kuna Sala ya msafiri hata mtu akikaa kwenye siti yake tu anaswali vizuri tu bila ya usumbufu wowote ule ilihali yupo stara na tohara
Qibla je?
 
Mbona uko nyuma sana, hata sasahivi fatilia ulaya ni dini gani inakua kwa kasi ndo haohao waislam usiowataka
muachage porojo, eti uislam unakua ulaya! Yaani wazungu wawe waislam? Wafuate mila, tamaduni za kiarabu? Sema wale ni wahamiaji toka nchi za kiislam. Na ujue wazungu wameamua kuumaliza uislam ki namna! We unaona unakua kumbe unamalizwa kwa kumiksiwa na umagharibi mwingi, ndio maana wameachwa wawe huru kuabudu na kuamini uislam wao katika nchi za kigeni
 
Kuna vimisikiti vingi vimejengwa kando ya barabara kuu za nchi hii hadi porini, mpaka unajiuliza nani anaswali huku? Kuna vijiji hata havina waislam lakini vimisikiti hivyo vimejengwa, nchi kama hii isiyo ya kiislam wanamjengea nani? Ndio kusema ni kueneza uislam nchini? Sasa nani ataamini ujinga huo miaka hii?
 
Kanisa la nini? Wakristo kusali ni mara moja kwa wiki hamna haja ya kanisa, ndo maana hata mitaandi kanisa la Roma utakuta liko moja wilaya nzima, maana ibada siyo kila siku ni siku moja tu.
Unapotafuta riziki yako hakikisha hauharibu riziki za wengine.

Kanisa moja wilaya nzima? Mkuu hata kama ni mahaba, haya ya kwako ni uchangudoa kabisa
 
Tunashauri mamlaka zitenge bajeti ya kujenga Misikiti kila Stesheni za SGR kwa ajili ya Swala kwa abiria. Kwa sasa usumbufu ni Mkubwa Sana kufanya ibada ukiwa safarini. Na Ramadhan inakuja
Usumbufu upi?Kwani mtu anajisalia hapo pembeni wewe inakukera nini?
 
Na siyo library tusome vitabu, magazeti tindle nk nk au kama WHSmith UK nk nk
Kweli kazi bado IPO sana sana sana. mm
 
muachage porojo, eti uislam unakua ulaya! Yaani wazungu wawe waislam? Wafuate mila, tamaduni za kiarabu? Sema wale ni wahamiaji toka nchi za kiislam. Na ujue wazungu wameamua kuumaliza uislam ki namna! We unaona unakua kumbe unamalizwa kwa kumiksiwa na umagharibi mwingi, ndio maana wameachwa wawe huru kuabudu na kuamini uislam wao katika nchi za kigeni
Futa machozi alafu acha kuandika comment ndefu sina muda wa kusoma takataka
 
Back
Top Bottom