Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,049
Kampuni ya Israel inayoitwa NSO Group, iliunda program inayojulikana kama Pegasus (Zero Click). Hii software kwa madai ya kampuni hiyo hawauzi kwa watu binafsi ila ni kwa ajili ya serikali za nchi mbalimbali na ni kwa pesa ndefu na inakuwa na limitation ya muda lets say miezi sita ukitaka kuendelea kuitumia unalipia tena.
Software hii inajulikana kama zero click, yani simu yako inakuwa hacked pasipo wao kuigusa wala wewe kufanya chochote. Kinachofanyika itapigwa simu kwenye simu yako wether utapokea au hutopokea ili mradi simu imepigwa kwenye simu yako basi ishakuwa hacked, hii ndiyo sababu ya kuiita zero click.
Waandishi wa habari wa Aljazeera arabic walikuwa hacked simu zao na simu ikiwa hacked wanaweza monitor chocote, iwe mic, ya simu kutumia kusikiliza mazungumzo ya watu waliyo eneo hilo, kutumia blutooth kuwasha vifaa vingine, kumonitor message, na calls, kutumia camera kutazama kinachoendelea maeneo hayo. Kampuni ya Canada ya mambo ya ulinzi wa kimtandao, uligundua simu zao zilikuwa monitored kutoka Saudi Arabia.
Swali linalowatia watu hofu, je hii kampuni hii software inauzwa kwa serikali tu au hata watu wengine wenye uwezo wa kununua, na je serikali ina monitor watu gani. Na hii software inafanya kwenye iOS na Android. Uwezo wa software hii unawaacha midomo wazi watu wengi maana ni technology ya hali ya juu sana.
Ni tofauti na hacking nyingine ambazo unatumia link unahitaji kuclick link ili uwe hacked, jambo ambalo ni rahisi kulishtukia.
Software hii inajulikana kama zero click, yani simu yako inakuwa hacked pasipo wao kuigusa wala wewe kufanya chochote. Kinachofanyika itapigwa simu kwenye simu yako wether utapokea au hutopokea ili mradi simu imepigwa kwenye simu yako basi ishakuwa hacked, hii ndiyo sababu ya kuiita zero click.
Waandishi wa habari wa Aljazeera arabic walikuwa hacked simu zao na simu ikiwa hacked wanaweza monitor chocote, iwe mic, ya simu kutumia kusikiliza mazungumzo ya watu waliyo eneo hilo, kutumia blutooth kuwasha vifaa vingine, kumonitor message, na calls, kutumia camera kutazama kinachoendelea maeneo hayo. Kampuni ya Canada ya mambo ya ulinzi wa kimtandao, uligundua simu zao zilikuwa monitored kutoka Saudi Arabia.
Swali linalowatia watu hofu, je hii kampuni hii software inauzwa kwa serikali tu au hata watu wengine wenye uwezo wa kununua, na je serikali ina monitor watu gani. Na hii software inafanya kwenye iOS na Android. Uwezo wa software hii unawaacha midomo wazi watu wengi maana ni technology ya hali ya juu sana.
Ni tofauti na hacking nyingine ambazo unatumia link unahitaji kuclick link ili uwe hacked, jambo ambalo ni rahisi kulishtukia.