Padre Kitima aitumia TEC vibaya

Padre Kitima aitumia TEC vibaya

Kitima hana hoja bali ana upande aliochagua. Ni vyema akavua kanzu na kola akatoka kwenye altere na kuja mtaani na kisha kuvaa magwanda ya khaki kama alivyo binamu yake Tundu Lissu au Padre mstaafu Dr Slaa
Sawa mkuu, ila la Dr Slaa kuwa mstaafu umeniacha kidogo. Alistaafu mwaka gani na mapadri wana staafu wakiwa na umri gani?
 
Hivi nyie chawa mna funza vichwani? Mtu kuongea ukweli imekua nongwa! Angemsifia raisi ungekuja na thread kama hii?
 
Mawakala huhesabu kura vituoni,kisha husaini wakiridhia,na matokeo hutumwa wilayani,huko hujumlishwa na kutumwa INEC,ni watu ndiyo huhesabu siyo vifaa vya kutumia umeme,watu huhitaji mwanga,kuna vifaa vya kuhifadhi nishati na kutoa mwanga
Tanzania siyo dar tu au mahali ulipo,nilipokuwepo umeme haukukatika

Kiapo cha rais huamnatana na shughuli za kijeshi,alipoapa siyo kichochoroni,ni eneo kubwa la wazi na sote tuliona,viwanja vya nishani uwanja wa uhuru upo kwenye matengenezo

Shimo gani alilojificha,ikulu chamwino?.. ulitaka akae wapi?..huoni kwamba hiyo ni dalili serikali ilijua juu ya mipango yenu ya uharibifu na mapinduzi mapema ndiyo maana rais akahamia Dodoma?
Mwambie afanye ziara kama zamani
 
View attachment 3510268
Kuhusu maandamano maalum, hakuna tamko la TEC au Kitima la kuwonya vijana kutofanya maandamano yaliyokatazwa ya Oktoba 29, 2025. Badala yake, baada ya vifo, Kitima alisema "vijana wanataka mabadiliko," na kuwataka wajibu.

Pia, kuhusu maandamano yanayopangwa Desemba 9, 2025, hakuna onyo lolote kutoka TEC. Hii inapingana na historia ya kanisa la kutoa maonyo ya amani, kama ilivyofanya 2018. Je, hii ni kutokuwa na uwezo au ni msimamo wa kutoingilia maandamano ya "haki"?


Jana, Desemba 1, 2025, Padre Kitima alitoa tamko la kutoa maoni lenye nguvu, akiitaka serikali itaje na kuwahukumu wale walioua watu wakati wa maandamano ya Oktoba 29, 2025. Katika mahojiano na vyombo vya habari, Kitima alidai kuwa "mamia ya watu wamekufa" na alilaani "mauaji ya halaiki" na "kupotea kwa watu" kwa mkono wa serikali, akiongeza kuwa serikali haijatoa idadi rasmi au kulaani mauaji hayo. Hii ni sauti ya haki za binadamu, lakini inazua maswali makali:

Hakuna rekodi ya tamko lake la kutoa maoni kuhusu upande mwingine wa sarafu—kuchoma miundombinu ya serikali kama vituo vya polisi, mahakama, vituo na mabasi ya mwendokasi, na kuiba au kuharibu mali za watu binafsi wakati wa ghasia hizo.

Uchambuzi wa ripoti za Human Rights Watch na Al Jazeera unaonyesha kuwa maandamano hayo yalikuwa na "vifaa vya vurugu" na "vurugu dhidi ya mali za serikali," lakini Kitima, katika matamko yake, amekuwa akilenga tu upande wa serikali, bila kushuku au kutoa maoni kuhusu wale wanaosababisha uharibifu. Hii inaweza kuonekana kama dalili ya upande wake—hasa ukaribu wake na CHADEMA—ambapo mauaji ya polisi yanalaaniwa, lakini vurugu za waandamanaji zinadogoshwa au kupuuzwa.

Je, hii ni kutokuwa na usawa, au ni mkakati wa kutoa sauti kwa wasio na sauti bila kutoa haki kwa wote? Historia ya tamko lake la awali, kama la 2024 kuhusu kukamatwa kwa Lissu, inaonyesha mwelekeo huu, na hivyo kuimarisha wazo la kuwa TEC inatumika kupitisha hoja za Kitima za kisiasa badala ya umoja wa kanisa.

Hitimisho:
Padre Kitima ni mtu jasiri na mwenye elimu, na umaarufu wake unaweza kuwa ni baraka kwa kanisa. Lakini matumizi yake ya TEC kama jukwaa la maoni binafsi—kuanzia ukaribifu na CHADEMA hadi kukosekana kwa maonyo katika maandamano na upande usio na usawa katika vurugu za Oktoba 29—inaonyesha hitaji la muundo thabiti zaidi.

TEC si ofisi ya mtu mmoja; ni chombo cha umoja. Kama inavyosema tafakari yao ya Novemba, "haki inahitaji kujadili ukweli." Je, sasa ni wakati wa maaskofu kujadili ukweli wa ndani yao wenyewe? Tanzania inahitaji sauti ya kanisa, lakini si sauti moja tu.

Ikiwa TEC itaendelea hivyo, inaweza kupoteza uaminifu wake, na historia itamkumbuka Kitima kama mpinzani mkubwa... au kama mpinzani wa kanisa lake lenyewe.
Nyie mmeishiwa, watu wameuliwa, mnaleta mzaa, Kitima yupo sahihi kabisa
 
View attachment 3510268
Kuhusu maandamano maalum, hakuna tamko la TEC au Kitima la kuwonya vijana kutofanya maandamano yaliyokatazwa ya Oktoba 29, 2025. Badala yake, baada ya vifo, Kitima alisema "vijana wanataka mabadiliko," na kuwataka wajibu.

Pia, kuhusu maandamano yanayopangwa Desemba 9, 2025, hakuna onyo lolote kutoka TEC. Hii inapingana na historia ya kanisa la kutoa maonyo ya amani, kama ilivyofanya 2018. Je, hii ni kutokuwa na uwezo au ni msimamo wa kutoingilia maandamano ya "haki"?


Jana, Desemba 1, 2025, Padre Kitima alitoa tamko la kutoa maoni lenye nguvu, akiitaka serikali itaje na kuwahukumu wale walioua watu wakati wa maandamano ya Oktoba 29, 2025. Katika mahojiano na vyombo vya habari, Kitima alidai kuwa "mamia ya watu wamekufa" na alilaani "mauaji ya halaiki" na "kupotea kwa watu" kwa mkono wa serikali, akiongeza kuwa serikali haijatoa idadi rasmi au kulaani mauaji hayo. Hii ni sauti ya haki za binadamu, lakini inazua maswali makali:

Hakuna rekodi ya tamko lake la kutoa maoni kuhusu upande mwingine wa sarafu—kuchoma miundombinu ya serikali kama vituo vya polisi, mahakama, vituo na mabasi ya mwendokasi, na kuiba au kuharibu mali za watu binafsi wakati wa ghasia hizo.

Uchambuzi wa ripoti za Human Rights Watch na Al Jazeera unaonyesha kuwa maandamano hayo yalikuwa na "vifaa vya vurugu" na "vurugu dhidi ya mali za serikali," lakini Kitima, katika matamko yake, amekuwa akilenga tu upande wa serikali, bila kushuku au kutoa maoni kuhusu wale wanaosababisha uharibifu. Hii inaweza kuonekana kama dalili ya upande wake—hasa ukaribu wake na CHADEMA—ambapo mauaji ya polisi yanalaaniwa, lakini vurugu za waandamanaji zinadogoshwa au kupuuzwa.

Je, hii ni kutokuwa na usawa, au ni mkakati wa kutoa sauti kwa wasio na sauti bila kutoa haki kwa wote? Historia ya tamko lake la awali, kama la 2024 kuhusu kukamatwa kwa Lissu, inaonyesha mwelekeo huu, na hivyo kuimarisha wazo la kuwa TEC inatumika kupitisha hoja za Kitima za kisiasa badala ya umoja wa kanisa.

Hitimisho:
Padre Kitima ni mtu jasiri na mwenye elimu, na umaarufu wake unaweza kuwa ni baraka kwa kanisa. Lakini matumizi yake ya TEC kama jukwaa la maoni binafsi—kuanzia ukaribifu na CHADEMA hadi kukosekana kwa maonyo katika maandamano na upande usio na usawa katika vurugu za Oktoba 29—inaonyesha hitaji la muundo thabiti zaidi.

TEC si ofisi ya mtu mmoja; ni chombo cha umoja. Kama inavyosema tafakari yao ya Novemba, "haki inahitaji kujadili ukweli." Je, sasa ni wakati wa maaskofu kujadili ukweli wa ndani yao wenyewe? Tanzania inahitaji sauti ya kanisa, lakini si sauti moja tu.

Ikiwa TEC itaendelea hivyo, inaweza kupoteza uaminifu wake, na historia itamkumbuka Kitima kama mpinzani mkubwa... au kama mpinzani wa kanisa lake lenyewe.
Kama hivi ndiyo, then wote ni wakosaji? serekali ya CCM imetumia vibaya taasisi zake kuumiza raia. Matumizi ya polisi kuua raia, matumizi ya polisi kuzuia majeruhi kutibiwa ili wafe, matumizi mabaya ya rasilimali kwa kufadhili utekaji na mauaji ya raia......
 
View attachment 3510268
Kuhusu maandamano maalum, hakuna tamko la TEC au Kitima la kuwonya vijana kutofanya maandamano yaliyokatazwa ya Oktoba 29, 2025. Badala yake, baada ya vifo, Kitima alisema "vijana wanataka mabadiliko," na kuwataka wajibu.

Pia, kuhusu maandamano yanayopangwa Desemba 9, 2025, hakuna onyo lolote kutoka TEC. Hii inapingana na historia ya kanisa la kutoa maonyo ya amani, kama ilivyofanya 2018. Je, hii ni kutokuwa na uwezo au ni msimamo wa kutoingilia maandamano ya "haki"?


Jana, Desemba 1, 2025, Padre Kitima alitoa tamko la kutoa maoni lenye nguvu, akiitaka serikali itaje na kuwahukumu wale walioua watu wakati wa maandamano ya Oktoba 29, 2025. Katika mahojiano na vyombo vya habari, Kitima alidai kuwa "mamia ya watu wamekufa" na alilaani "mauaji ya halaiki" na "kupotea kwa watu" kwa mkono wa serikali, akiongeza kuwa serikali haijatoa idadi rasmi au kulaani mauaji hayo. Hii ni sauti ya haki za binadamu, lakini inazua maswali makali:

Hakuna rekodi ya tamko lake la kutoa maoni kuhusu upande mwingine wa sarafu—kuchoma miundombinu ya serikali kama vituo vya polisi, mahakama, vituo na mabasi ya mwendokasi, na kuiba au kuharibu mali za watu binafsi wakati wa ghasia hizo.

Uchambuzi wa ripoti za Human Rights Watch na Al Jazeera unaonyesha kuwa maandamano hayo yalikuwa na "vifaa vya vurugu" na "vurugu dhidi ya mali za serikali," lakini Kitima, katika matamko yake, amekuwa akilenga tu upande wa serikali, bila kushuku au kutoa maoni kuhusu wale wanaosababisha uharibifu. Hii inaweza kuonekana kama dalili ya upande wake—hasa ukaribu wake na CHADEMA—ambapo mauaji ya polisi yanalaaniwa, lakini vurugu za waandamanaji zinadogoshwa au kupuuzwa.

Je, hii ni kutokuwa na usawa, au ni mkakati wa kutoa sauti kwa wasio na sauti bila kutoa haki kwa wote? Historia ya tamko lake la awali, kama la 2024 kuhusu kukamatwa kwa Lissu, inaonyesha mwelekeo huu, na hivyo kuimarisha wazo la kuwa TEC inatumika kupitisha hoja za Kitima za kisiasa badala ya umoja wa kanisa.

Hitimisho:
Padre Kitima ni mtu jasiri na mwenye elimu, na umaarufu wake unaweza kuwa ni baraka kwa kanisa. Lakini matumizi yake ya TEC kama jukwaa la maoni binafsi—kuanzia ukaribifu na CHADEMA hadi kukosekana kwa maonyo katika maandamano na upande usio na usawa katika vurugu za Oktoba 29—inaonyesha hitaji la muundo thabiti zaidi.

TEC si ofisi ya mtu mmoja; ni chombo cha umoja. Kama inavyosema tafakari yao ya Novemba, "haki inahitaji kujadili ukweli." Je, sasa ni wakati wa maaskofu kujadili ukweli wa ndani yao wenyewe? Tanzania inahitaji sauti ya kanisa, lakini si sauti moja tu.

Ikiwa TEC itaendelea hivyo, inaweza kupoteza uaminifu wake, na historia itamkumbuka Kitima kama mpinzani mkubwa... au kama mpinzani wa kanisa lake lenyewe.
Sio kosa lako. Maandamano ni haki ya kikatiba.
 
Huyu padri ni mpumbavu na mjinga sana KANISA lilikuwa na uwezo wa kuzuia aya yasitokeee lakini halikusimama kama kanisa. Limebaki na machuki na mihemko ya kisiasa, yametokea yaliyotokea wamebaki kulaumu tu vifo, vifo, vifo. Kwenye huu mgogoro hakuna mshindi si SERIKALI wala KANISA cha msingi watu wasahau yaliyopita tugange yajayo
Unajua wewe jamaa ni msenge sana. Yaani watu wamekufa kwa kudai haki ya kuishi halafu unasema tugange yajayo. Mie nashauri wajinga kama ninyi msipewe platform hapa JF. Nendeni kwenye magroup yenu ya ccm
 
TEC, Padre Dr. Kitima, Gen Z, CHADEMA, na wapenda haki wengine wa ndani na nke ya nchi! Ninawaomba msimame hapo hapo. Watawala wanatakiwa waachane na dhuluma dhidi ya wananchi.
Indirect kama una sema ngoma hii ya kutaka mabadiliko inachezwa na imani ya upande mmoja siyo?

Wavaa kobazi jiandaeni kumalizwa na kiuchumi tena mlinyimwa nafasi za Ajira serikalini kwa kigezo cha hamna elimu na sasa hizo biashara zenu za mafuta na usafirishaji hawa lazima wawabane na huko hata msipate kustawi maana hii movement ukitoa maneno mawili ya sijui haki lkn ni mambo ya maslahi ya ki Imani pia yapo na ndo hasa msukumo halisi wa haya mambo lkn mengine ni maigizo tu
 
Mmeuwa watu elfu 23 plus,mmepora uchaguzi,mmejisimika madarakani kwa bunduki,mmejiapisha uchocholoni,mnakaa kwenye mashimo kama panya,mmefukia miili ya watu kama kuku waliokufa na kideli,mmeichoma miili ya wapenda haki hadi imekua majivu,mmenyima watu kuzika miili ya wapenda wao
Unataka one sided ipi??,zaidi mmejiundia tume ya kujichunguza nyinyi,hiki ni kituko cha karne,je nyinyi na wanyama kama sokwe mnatofauti gani???
Hiyo ya 23,000 waliokufa umeipataje? Mbona sijaona misiba ya idadi hiyo mitaani kwangu Ubungo Msewe
 
uwezo wa kuchambua hoja unautoa wapi na akili yako ya madrasa!?
Msiwe mnaua mijadala kwa kauli hii imekua nyepesi na ina chosha kwa sasa, unatakiwa kujibu hoja sio kutumia neno la kutweza ili litengeneze uduni, jibu hoja
 
Unajieleza sana mkuu 😃 😀
Ukweli ni kwamba viongozi na wananchi mbalimbali walikemea vikali maandamano hayo, hadi siku ya uchaguzi wananchi wanaenda kupiga kura huku wanajitokeza wale vibaka kuja kuharibu miundombinu na mali za watu binafsi. Je hawa maaskofu wangekua wao ndio askari wangezuiaje ule uharibifu usiendelee bila kutumia risasi? Hata askari nao ni binadamu kama binadamu wengine hivyo kwa vurugu zile bila kupiga ili waokoe mali za watu zilizokua zinateketezwa miundombinu ya umma, na uhai wao pia Maana hata askari walikuwa wanashambuliwa na waandamanaji,
 
Back
Top Bottom