Swadaktaaa
Imani sio Dini, ila Dini iko ndani ya Imani..
Jaribu kuwa muelewa, Kuna Imani nje ya Dini, ila hakuna Dini nje ya Imani.
Hivyoo yaan.
Asili itakusaidia nini? Itakuzuia usitekwe?🤣Dini zote ni utapeli
fuata asili ndo kila kitu!
Hizo dini ndizo zitakusaidia usitekee?Asili itakusaidia nini? Itakuzuia usitekwe?🤣
Asili itakusaidia nini? Itakuzuia usitekwe?
Nani kamteka??Hapa ndipo tuamini sasa hakuna cha novena,ukristo, albadili, uislam,Muhamad,Yesu,nk.
Waafrika wakati umefika tutafute suluhisho la kudumu la haya matukio hizo dini tumepigwa!!!
Imani siyo dini. Kuna watu wanaimani zao lakini hawana dini.imani ndio dini na dini ni imani mjuba, hicho ni kitu kimoja huwezi kukitenganisha
Sijazungumzia Dini, ila ninyi mmeonesha kama asili ndio alternative kumbe waapiHizo dini ndizo zitakusaidia usitekee?
Ndiyo,asili haikopeshi ukiapa ukakengeuka kiapo inakuadhibu lakini dini ukiapa ukakengeuka haikuadhibu kwa lolote hivyo dini zimepitwa na wakati.Sijazungumzia Dini, ila ninyi mmeonesha kama asili ndio alternative kumbe waapi
Ndumba ndiyo asiliVipi kuhusu ndumba
Hakuna kitu, vyote ni imani tuNdiyo,asili haikopeshi ukiapa ukakengeuka kiapo inakuadhibu lakini dini ukiapa ukakengeuka haikuadhibu kwa lolote hivyo dini zimepitwa na wakati.
Hakuna dini bila imani.Dini ni utapeli.
Imani ni uhalisia.
Upo sahihi kabisa mkuu,Hakuna dini bila imani.
Kwa kanuni za mantiki (logic) basi dini ni halisia kwa hoja zako.
Mkuu ungejiuliza kwanza Imani ni nini? na Dini ni nini?Imani sio dini. Kuna watu wanaimani zao zao lakini hawana dini.
Upo sahihi ChiefNovena ni kama albadiri tu, vitu vya kufikirika weusi tulivyorithishwa tuishi navyo huku wakubwa (wazungu na waarabu) wakichota mali miaka ya naintiini kweusi, wakatupiga na wanaendelea huku sisi tukishindwa kuchukua hatua muhimu za maisha yetu tunapiga magoti tupate miujiza toka mbinguni! Povu ruksa..
Mtu anaweza kuwa na imani. Ila hana Dini.