sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Seven Mosha na P Funk wanaondoa uhalali wa kamati ya kusimamia tuzo za TMA Tanzania Music Awards. Sababu kubwa wana maslahi binafsi na kitu kinachoenda kukisimamia au tuseme conflict of interest.
P Funk ni msanii, anasimamia wasanii wanaoenda kushindana pia ana upande wa muziki anaupiga vita. Juzi tu hapa ametoka kutoa album yake how come aweke kusimamia ushindani ulio sawa. Hafai kazibatilisha tuzo mapema kabisa.
Seven Mosha ana kampuni inayosimamia wasanii kama Abby Chams, Lunya nk hivyo ana maslahi ya moja kwa moja.
Ili kurudisha heshima ya tuzo muwaondoe mapema au tuzo zitakosa maana siku zote.
Kuna watu mbona wengi wenye experience na wanaoijua game ya muziki kina bro John Dilinga, sista Carola Kinasha, Zavara, Sebastian Maganga nk.
TMA mpaka sasa imeshafeli kwa kuweka watu wenye maslahi ya moja kwa moja na wenye visirani binafsi.
P Funk ni msanii, anasimamia wasanii wanaoenda kushindana pia ana upande wa muziki anaupiga vita. Juzi tu hapa ametoka kutoa album yake how come aweke kusimamia ushindani ulio sawa. Hafai kazibatilisha tuzo mapema kabisa.
Seven Mosha ana kampuni inayosimamia wasanii kama Abby Chams, Lunya nk hivyo ana maslahi ya moja kwa moja.
Ili kurudisha heshima ya tuzo muwaondoe mapema au tuzo zitakosa maana siku zote.
Kuna watu mbona wengi wenye experience na wanaoijua game ya muziki kina bro John Dilinga, sista Carola Kinasha, Zavara, Sebastian Maganga nk.
TMA mpaka sasa imeshafeli kwa kuweka watu wenye maslahi ya moja kwa moja na wenye visirani binafsi.