Mashabiki wa Alikiba wamvaa Seven Mosha, wasema wamechoshwa na hujuma zake dhidi ya King

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,212
42,076
Wasalaama wana jamvi.
Baada ya seke seka la Msanii Alikiba kushutumiwa kuondoka na pesa za watu na kushindwa kupiga show huko Dodoma...Mashabiki wa Alikiba wameamua kumjia juu Manager wa msanii huyo Bi Seven Mosha na kumtuhumu kuwa anachangia sana msanii huyo kurudi nyuma kimziki.

Baadhi ya mashabiki walimtuhumu Bi Mosha kuruhusu Alikiba kukubali Show ya kiwango cha chini kiasi kile ambapo wengine walisema pale palikuwa ni grocery na wengine wakisema ilikuwa ni bar na wakaongeza hapa speaker zenyewe ziliwekwa juu ya cret la bia kudhihirisha show ilikuwa ya kiwango cha chini sana na hakukuwa na maandalizi.

Wengine mtuhumu manager kuwa ameshindwa kumuongoza Alikiba na kumtafutia show za viwango wakati anajua mashabiki anao na walienda mbele zaidi wakitaka aache kazi ya kummanage msanii Alikiba kwakuwa anamshusha sana..

Mashabiki wa Alikiba hawakuishia hapo walisema wamevumilia na wamechoshwa sana maana hata taarifa za show huwa hawapewi au kinacho fata au kuendelea kwa msanii Alikiba hawapewi updates na Manager amekuwa akitoa kwa kujisikia au anavyo taka yeye na haendani na dunia ya sasa inavyotaka manager awe.

Maoni yangu.

Binafsi naona Seven Mosha ana wakati mgumu sana kuwa manager aina ya wasanii alio nao...
Mfano msanii kama Alikiba ni wazi kabisa ni mvivu na ana kiburi na dharau sana kwa hiyo mashabiki wanaweza kuwa na haki ya kumtuhumu manager lakini wanashindwa kujua wanamshabikia msanii wa aina gani. Alikiba yuko nyuma sana hata kutoa taarifa ambazo anapaswa kuzitoa ni kazi ngumu na anaona uvivu....kwakweli muhurumieni dada Manager.

Pili mashabiki wakitaka kujua Alikiba ni tatizo wamuangalie msanii mwenzie ambaye wako lebel moja Lady jaydee... Lady Jaydee pamoja na kuwa na kiburi sana linapokuja swala la kazi yake hasa muziki yuko shapu sana na hata mashabiki wake hupata taarifa mapema na hana midhaa kwenye kazi na si mtu wa kukubali show za kitoto na anajua ana thamani gani...

Ukweli ni kwamba Alikiba anatakiwa awe wa kwanza kubadilika ajue kuwa yeye anawahitaji zaidi mashabiki na muziki ndio unao muweka mjini na kumtunza. Kuna mwana JF snowhite alisema hivi nalimuelewa sana alisema kuwa "Alikiba anavyo fanya mambo yake utafikiri mashabiki ndio wanatakiwa kuimba na kupiga show na yeye ndio anunue kazi zao"
Hii sentensi niliitafakari nakuona inaongea mengi sana kuhusu Alikiba.

Hivyo tatizo lililokubwa zaidi ni Alikiba kuliko Seven Mosha.

Hizi ni baadhi ya comments za mashabiki wa Alikiba wakimjia juu Seven Mosha kwenye ukurasa wake wa picha.
  • Aisee naomba ujitokeze uzungumzie iki kilichotokea meneja@sevenmosha tulipokuwa tumefikia ilikuwa tunaanza kukimbizana na watu wengine ila ii ni aibu kubwa umetuangusha kazidiwa ata akina barakh iv tunaomba uite midia utoeaelezo ila ukikaa kimyaa tutaisi unatumika kiba angekuwa mbali kama menejer ungekuwa unachangamka ninaisi mashabiki umewakatisha tamaaa show gani ile tunaomba maelezo au jiuzulu kiba ni msanii mkubwa jina lake kipata mtu anayejua kazi mbona mtamkoma
  • muhunchoWe @udakutz_ njoo uone mambo uku
  • shilawadu_kanda_yaziwatunaomba ujiuzuruuuu
  • fetttyy_POLENI YALIYOTOKEA VYENYE KATIKA SHOW YA DODOMA
  • justine_junior. @naddy_driz
  • full__shangweMeneja ulichokifanya usije ukarudia tena umetukera sana mashabiki @sevenmosha
  • bandiovicentKimenuka uku @missnana3784
  • amrosiozanzibar@wamsumba umeongea ukweli na pwent mkubwa
  • amrosiozanzibar@wamsumba sina uhakika na maneno yanayo semwa ni kweli kiba ali kuepo dodoma jana au uzushi
  • james__wizmanager asiyejua kazi yake...
  • sayyidna_ambar@sevenmosha kama umeshindwa kua manager wa @officialalikiba basi achana nae ila si kutushusha hivi eti kweli ww unashindwa kumtengezea show ya mana kiba ah dada ee tushachoka unachotufanyia kila siku unaturudisha nyuma baada ya kwenda mbele unashindwa kumtafutia@officialalikiba collabo za maana show za maana hapa umetuangusha tena umezidi dah kama nini tusamehe tu inafika hatua mpaka wasanii wa niger wanatamka kufanya collabo na kiba kama davido ww hufatilii baada ya kumuimbisha na kina nuh mziwanda ah umezingua mama tena sana@officialalikiba si lazima kuwa na management mbovu kama hii
  • abdallahkhalfan97dada it's your time now if is there any problem just fix it then kila kitu kiende sawa tunakuaminia Malkia wetu wa nguvu
  • eng.zombieMsanii mkubwa Africa ukafanye show pale Kweli dah hii aibu sana @officialalikiba best African artists MTVema akafanye show bar sijui pub manager hapo serious Kweli @sevenmosha mnachosha watu wanaowapa support sasa hapo unapanda au unashuka dah ktk upuuzi ambao ulinikera Leo dah
  • full__shangweNaskia @officialalikiba anakula huu mzigo @sevenmosha ndo maana huyu dem anafanya kaz kwa mazoea
  • 255_queenKumpeleka alikiba kupiga show bar, haikua kitu kizuri!! Hard fans wa kiba lkn ckupendezewa!! International artist kwenda kumpa show kama za local c kitu poa
  • costaleh2@255_queen acha izo usipende kushutumu pasipo hakika ya jambo
  • jengakisasaHa ha ha
  • 255_queen@costaleh2 usiingilie Uhuru wangu wa kuongea please!!! Kwangu mm kingkiba ni international artist hana hadhi ya kwenda kupiga show pale tena ktk kijukwaa ambacho hakina hata hadhi!! Mtu ambaye keshapiga show MTV kisha anaanzaje kwenda kupiga show eneo kama lile. Nafkr haujapaona ile sehemu lkn laiti kama ungeona video ya eneo la tukio ungenielewa naongea nn!!
  • jumawendo@sevenmosha we are fade up of you....and shame on you...what the hell are you doing with our talented guy @officialalikiba
  • magaaziDaaaa Hii ya king dodoma not fair si grocery pale et speaker lipo juu ya kret it pain yani sioni unachokifanya me nafikili ungebaki tu nyumbani upike ugali umeneja umekushinda@sevenmosha
  • llovesadam_Mama kwa kile kilichotokea dodoma mashabiki tumemia sana mana hatukutegemea kabisa sasa kama kweli unatujali mashabiik wa msannii wako basi tungeomba ututolee ufafanuz juu ya hilo swala na pia tunaomba uwe unatuweka waz juu ya mipango yenu ya kaz ili muwe mnatupa moyo ss mashabiki na pia uwandae show kubwa ambyo itasababisha habar nzur apa mujin tunaomba sana na pia ujaribu kuzijibu text zetu
  • maggy_dolCan kiba pliz change his management
  • singl34realkaz imekushinda meneja naona huwez pambana na vidume wanakizid akil embu jiuzulu tutafute meneja wa kiume anayechapa kaz kisawasawa maana nimegundua kikwazo kikibwa hapa ni ww unafanya kaz kiuogauoga sana huiwez hii vita walah acha tu kapumzike
  • asnathdavid@ilovesadam_ tatzo nyinyi mnataka kila kitu anachofanya diamond muige, waacheni kiba na management yake wafanye kaz kadri ya uwezo wao, Kama diamond kaandaa show sio lazma na kiba aandae show
  • vankempesKuna vitu mnavipoteza sana huo ukimya unazidi sijui labda ni ujeur au kwa kuwa mshakuwa na maisha yenu mazur labda ila wanaoumia ni mashabiki meneja jaribu kurekebisha tatizo
  • tozzmzeeHakika nawaambieni @sevenmosha @sevenmosha@officialalikiba @officialalikiba najua mpo bize mnakazi nyingi za kufanya ila nawaomba plz jalibuni kupitia hizi coment za mashabiki wanataka nini na mjue ni wap mnakwama na mjue jinsigani mtatatua tatizo kwa namna moja au nyingine hamjui ni jinsgani mashabiki wanu tunaumia paletunapoona uongozi mzima wa juu mnashindwa kufanya kazi yenu vile ipasavyo sisi kama #bloodfans_wa_king_kiba tupo imala mungu mbariki @officialikiba
  • ireneothuman_arsenalYaani duh!kionhozi mkakataa show ya miss TZ mnakuja kutupelekea msanii wetu bar??
  • eggson_Minaona we dada unatumika kumuangusha kiba asitoke zaidi ya alipo saivi kama vipi kaeni mezani mvunje mikataba kiba atafute meneja mwingine akuna cha nimetoka nae mbali saivi dunia imebadirika mziki umebadrika nenda na kasi ya mabadiko kama umechemka kaa pembeni unatuaibisha mtaji wa msanii ni kuwa na mashabiki muhimu ambao unajua ata niende wapi nipo nao sa we uoni mashabiki wamaidi sana au unachukulia kawaida ii inaweza muathiri kiba wetu amashiriki tuzo kiba saivi morari ya kumpigia kura watu imepumgua uoni au tunaomba menejiment ieshimu mashabiki wa kiba ndomtaji wake tunaba utupe ufafanizi wa kinachoendelea juu yako na kiba @sevenmosha
  • 255_queen@costaleh2 nmekutag uone video kule ktk page eti unajifanya haunielewi ile ni video ya kiba show yke ya dom
  • johnhappy592Umeneja umekushinda kaa nyumbani umenejimenti familia yako tuachie @officialalikiba) tumekuchoka meneja gani wewe unashindwa kuwapa ufafanuzi mashabiki? @sevenmosha sisi kama mashabiki tumekuchoka huna nia njema
  • didi_halley_7 so poaaaaah unatuumiza wenzio...
  • officialollystar1@johnhappy592 some times mashabiki wa tz mnakurupuka kucoment bila kutafakar mambo kiundani ili mrad uonekane umecoment tu .Kama umeneja umemshinda jarb wwe @sevenmosha hakuanza Leo kumanage in shot kama unakumbukumbua nzr kuhusu 0ne 8 utagundua Ali na seven wametoka wap
  • king_benayaNina vidio ya show ya @officialalikiba kubuma dodoma anetaka anione wasap 0717000200. Mm naish dodoma na nilishuhudia kwa macho show ikibuma. Nichek wasap nikutumie vidio
  • official_beca_safari_26Muko watu wengi lkn mawazo yenu mgando siku zote inshu mbaya zote zinatokea kwa @officialalikiba kuanzia Mombasa kuzimiwa mic leo tena Dodoma @sevenmosha tumechoka sisi tunaongea kwa uchungu sababu tunaumia km kz imekushinda pisha watu wingine hapo ndio mwisho wa Uwezo wako
  • wamsumbami napita tu. ..maana niliuliza siku tatu kabla ya show lakini nikaonekana mropokaji. ..wacha muvi iendelee. .seven ww ni mpambanaji sana na umemtoa kiba mbali sana...uko vizuri sana upstairs. .na tunategemea makubwa kutoka kwako ila ushauri wangu kwenu hakikisheni mnapromote show za kiba zote. ..achaneni na mawazo ya tunajaza ukumbi ba
  • wamsumbaAchaneni na mawazo ya tunajaza ukumbi bila hata kupromote show. ..show ni Biashar a kwa muaandaji na mtaji kwenu pia kuwa unapendwa ndio mana watu wanajaa. ..na show ni matangazo
  • macho_official1Nini kilitokea you took too much
  • magaaziIla the truth manager is a person who is responsible for the work of others, thus King ndo boss then seveen ni mwajiliwa hence king why fire huyu mtu ur a boss
  • johnhappy592@officialollystar1 nikweli wametoka mbali sijakataa ila wanaboa sana kukaa kwao kimya kazi yameneja ninini?hivi kwahadhi aliyonayo kiba niyakufanya shoo kwenye ule ukumbi?
  • llovesadam_We mama mbon kimya sana
  • Mama kwa kile kilichotokea dodoma mashabiki tumemia sana mana hatukutegemea kabisa sasa kama kweli unatujali mashabiik wa msannii wako basi tungeomba ututolee ufafanuz juu ya hilo swala na pia tunaomba uwe unatuweka waz juu ya mipango yenu ya kaz ili muwe mnatupa moyo ss mashabiki na pia uwandae show kubwa ambyo itasababisha habar nzur apa mujin tunaomba sana na pia ujaribu kuzijibu text zetu
  • maggy_dolCan kiba pliz change his management
  • singl34realkaz imekushinda meneja naona huwez pambana na vidume wanakizid akil embu jiuzulu tutafute meneja wa kiume anayechapa kaz kisawasawa maana nimegundua kikwazo kikibwa hapa ni ww unafanya kaz kiuogauoga sana huiwez hii vita walah acha tu kapumzike
  • asnathdavid@ilovesadam_ tatzo nyinyi mnataka kila kitu anachofanya diamond muige, waacheni kiba na management yake wafanye kaz kadri ya uwezo wao, Kama diamond kaandaa show sio lazma na kiba aandae show
  • vankempesKuna vitu mnavipoteza sana huo ukimya unazidi sijui labda ni ujeur au kwa kuwa mshakuwa na maisha yenu mazur labda ila wanaoumia ni mashabiki meneja jaribu kurekebisha tatizo
  • tozzmzeeHakika nawaambieni @sevenmosha @sevenmosha@officialalikiba @officialalikiba najua mpo bize mnakazi nyingi za kufanya ila nawaomba plz jalibuni kupitia hizi coment za mashabiki wanataka nini na mjue ni wap mnakwama na mjue jinsigani mtatatua tatizo kwa namna moja au nyingine hamjui ni jinsgani mashabiki wanu tunaumia paletunapoona uongozi mzima wa juu mnashindwa kufanya kazi yenu vile ipasavyo sisi kama #bloodfans_wa_king_kiba tupo imala mungu mbariki @officialikiba
  • ireneothuman_arsenalYaani duh!kionhozi mkakataa show ya miss TZ mnakuja kutupelekea msanii wetu bar??
  • eggson_Minaona we dada unatumika kumuangusha kiba asitoke zaidi ya alipo saivi kama vipi kaeni mezani mvunje mikataba kiba atafute meneja mwingine akuna cha nimetoka nae mbali saivi dunia imebadirika mziki umebadrika nenda na kasi ya mabadiko kama umechemka kaa pembeni unatuaibisha mtaji wa msanii ni kuwa na mashabiki muhimu ambao unajua ata niende wapi nipo nao sa we uoni mashabiki wamaidi sana au unachukulia kawaida ii inaweza muathiri kiba wetu amashiriki tuzo kiba saivi morari ya kumpigia kura watu imepumgua uoni au tunaomba menejiment ieshimu mashabiki wa kiba ndomtaji wake tunaba utupe ufafanizi wa kinachoendelea juu yako na kiba @sevenmosha
  • 255_queen@costaleh2 nmekutag uone video kule ktk page eti unajifanya haunielewi ile ni video ya kiba show yke ya dom
  • johnhappy592Umeneja umekushinda kaa nyumbani umenejimenti familia yako tuachie @officialalikiba) tumekuchoka meneja gani wewe unashindwa kuwapa ufafanuzi mashabiki? @sevenmosha sisi kama mashabiki tumekuchoka huna nia njema
  • didi_halley_7 so poaaaaah unatuumiza wenzio...
  • officialollystar1@johnhappy592 some times mashabiki wa tz mnakurupuka kucoment bila kutafakar mambo kiundani ili mrad uonekane umecoment tu .Kama umeneja umemshinda jarb wwe @sevenmosha hakuanza Leo kumanage in shot kama unakumbukumbua nzr kuhusu 0ne 8 utagundua Ali na seven wametoka wap
  • king_benayaNina vidio ya show ya @officialalikiba kubuma dodoma anetaka anione wasap 0717000200. Mm naish dodoma na nilishuhudia kwa macho show ikibuma. Nichek wasap nikutumie vidio
  • official_beca_safari_26Muko watu wengi lkn mawazo yenu mgando siku zote inshu mbaya zote zinatokea kwa @officialalikiba kuanzia Mombasa kuzimiwa mic leo tena Dodoma @sevenmosha tumechoka sisi tunaongea kwa uchungu sababu tunaumia km kz imekushinda pisha watu wingine hapo ndio mwisho wa Uwezo wako
  • wamsumbami napita tu. ..maana niliuliza siku tatu kabla ya show lakini nikaonekana mropokaji. ..wacha muvi iendelee. .seven ww ni mpambanaji sana na umemtoa kiba mbali sana...uko vizuri sana upstairs. .na tunategemea makubwa kutoka kwako ila ushauri wangu kwenu hakikisheni mnapromote show za kiba zote. ..achaneni na mawazo ya tunajaza ukumbi ba
  • wamsumbaAchaneni na mawazo ya tunajaza ukumbi bila hata kupromote show. ..show ni Biashar a kwa muaandaji na mtaji kwenu pia kuwa unapendwa ndio mana watu wanajaa. ..na show ni matangazo
  • macho_official1Nini kilitokea you took too much
  • magaaziIla the truth manager is a person who is responsible for the work of others, thus King ndo boss then seveen ni mwajiliwa hence king why fire huyu mtu ur a boss
  • johnhappy592@officialollystar1 nikweli wametoka mbali sijakataa ila wanaboa sana kukaa kwao kimya kazi yameneja ninini?hivi kwahadhi aliyonayo kiba niyakufanya shoo kwenye ule ukumbi?
  • llovesadam_We mama mbon kimya sana
Like


 
Jamaa ni mjeuri Sana hilo halina ubishi kiba ni mjeuri ila roho safi ila anachokiona yeye ni sahihi ndo anachofanya

Wale kina Aidan Kareem sad wote wanamuogopa kiba afadhali seven anajitaidi sema Hana msaidizi tu
 
Du hawa mashabiki wa kibakuli hawana lolote hawajui kama kiba, hakurudi kwenye gemu kwa sababu ya, kutaka kwake bali alirudi kwenye gemu kwa sababu ya kuja kuiga mwenzake na kelele za wapambe wake
 
yaan kweli watu hawana shukrani,Seven ndie kamuweka sana juu kiba hata sasa hv ameanza kuwa na muonekano wa kimataifa tofauti na ilivyokuwa zaman....mwacheni baba Tiffa aendele kuwaburuza kama mambo yenyewe ndio hayo
Nilitegemea wamuandame Kiba akubali mabadiliko lakini nashangaa wana muandama Seven...
 
mi si shabiki wa matimu wimbo mzuri nasikiliza hata aimbe nani.. ila kiukweli alikiba ana pride sana anajiinua mno ,, na hajui umuhimu wa customer care yupo yupo tu, yani anajifanya yeye ni maji kama hutayaoga utayanywa any way ajirekebishe dunia sasa ni ushindani
Kiba hufikiri mashabiki wake ndio wanatakiwa kuimba halafu yeye awasikilize...
 
Hawa wasanii wetu tabia za uswahili zilizopitiliza zitawagharimu sana..hata hawajifunzi kwa wenzao.Kule mombasa alipoteza muda na kutaka kuvuruga ratiba hadi akazimiwa mic..no lesson learnt yaleyale...hawa watu ni pasua sana!
Huyu dada watampa lawama tuu Lakini Kiba siyo msikivu.
 
Du hawa mashabiki wa kibakuli hawana lolote hawajui kama kiba, hakurudi kwenye gemu kwa sababu ya, kutaka kwake bali alirudi kwenye gemu kwa sababu ya kuja kuiga mwenzake na kelele za wapambe wake
Mashabiki wamechoshwa lakini hawamwambii Kiba
 
Back
Top Bottom