Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

La Kairo Hotel Mwanza ni mali ya mkurya mbunge Airo.

Matajili wa Mwanza ukiacha wenyewe Wasukuma ni Wakurya kama hao kina Chambiri na Gachuma.

Dili za mkoa wa Mwanza kwa kiasi kikubwa zimeshikwa na Wakurya na ndio maana hata Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje ni mkurya.

Mkoa wowote wenye border huwezi kusema watu hawana pesa, nenda Tarime au Shirati leo ukashuhudie bila kuwa na kalenda huwezi kujuwa leo ni jumangapi wala tarehe ngapi watu wanakula good time muda wote.

Mwisho Wakurya na mkoa mzima wa Mara kiujumla ni watu wamekwenda shule kiuhakika.

Si sahihi kwa mtu ambaye hajafika Moshi wala haijui Moshi aseme wachaga ni majambazi na Wamachame hawafai kuolewa wana tabia za kuuwa waume zao. Hizi ni kauli zinazoweza kutolewa na mtu mjinga tu na ambaye amekimbia shule.

Wakhatabahu.

Wape Vidonge Vyao MAPOPOMA Hao.
 
Haya ndio matatizo ya kujifanya unajuwa wakati hujui Rorya ilikuwa ni jimbo moja la Tarime.

Mabere Marando, Wenje na La Kairo wote wanatoka Rorya, La Kairo kwake ni utegi na hawa wanaitwa Abasubi au wasubi na Mabere Marando na Wenje wanatoka Shirati Gate way to Kenya Kisumu.

Unaposema mkoa wa Mara wasomi ni wajaluo unaijuwa population ya Wajaluo? Unajuwa mkoa wa mara una wilaya na majimbo mangapi? Wazanaki, Waikizu na Wagita unawaweka wapi? Umeshafika Zanaki wewe?

Na Uwaambie Kuwa Huko Uzanikini Kwetu Na Mkoa Mzima Wa Mara Ndiyo Chimbuko La Uhuru wa Nchii Hii. Musoma Oyee!
 
mkurya bila panga hana confidence yoyote ni mbulula ... Akishika kisu ndio anaanza kurukaruka ila kama hana panga au shoka ni laini kama maini
 
Swadakta Mkuu, Nimeipenda Hii. Endelea Kubaeleeza!

Mkuu nimebahatika kufanya kazi kwenye maeneo hayo, binafsi nilikuwa naogopa sana lakini nilipofika ndio nikagundua hayo nayosema maana jamaa hawana story nyingi lakini wakifanya maamuzi na wakakuambia sawa yaani wewe ni kuja kesho yake au siku mliyopanga kwa utekelezaji na hata kama mtu ataleta figisufigisu unawaachia wenyewe wana solve tatizo. Shida iliyopo ni taswira ambazo tumezijenga dhidi ya makabila mbalimbali na tatizo lipo kwa Wakurya wa mjini kama wa hapo Dar (Kitunda) kupenda kutumia kabila lao kama sehemu ya kuwapiga watu mkwara lakini wenyewe original wapo shega (na hii ni kawaida kwa mjini, sawa na mtu mwingine akiibiwa utasikia kwetu Sumbawanga na kweli watu watamwogopa)
 
Manka, shukran, Mimi nauliza swali, okay wakuriya wanapiga, sawa. Lakini mbona ndoa zao hata wanapooana na makabila mengine zinadumu kuliko zile za makabila ya "mke anapigwa kwa khanga"? Somebody is not telling the whole truth!!!

Tunajua KUGEGEDA na Tuna VIGEGEDIO Vizuri.
 
Mwanapropaganda;
Sisi Wakurya tumezaliwa na confidence (si ya ku-acquire ila ni inborn), na ndiyo maana utakuta wengi wetu tunamudu sana kazi zinazohitaji ujasiri, mojawapo ikiwa ni jeshini.

Na Hata SSIT Tumejaa Na Tunategemewa. In Short Watu Wa Mkoa Wa Mara Ni Mashujaa Na Majasiri Kiasili!
 
Na Hata SSIT Tumejaa Na Tunategemewa. In Short Watu Wa Mkoa Wa Mara Ni Mashujaa Na Majasiri Kiasili!

Always tuko fit haijalishi ni me ke, check hapo.
 

Attachments

  • 1412878704666.jpg
    1412878704666.jpg
    45.8 KB · Views: 178
  • Thanks
Reactions: kui
wewe nani kakuambia wakurya hawana hela?kanda ya ziwa sasa hivi wafanya biashara wakubwa ni wakurya.zaman tulizoea wachaga wameshikilia busn lakn kwa sasa wakurya wapo juu sana kibiashara.
 
Back
Top Bottom