Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

Wakurya wana confidence wakiwa na panga mkononi tu...
 
Tumtendee mleta uzi haki kwa kujadili dhima ya uzi wake... wakurya

Kuna watu hata hilo panga wakiwa nalo ukiwazingua ujue watalitupa panga na kukimbia, ila ukitaka kujua kama wakurya wana confidence ukimuona na panga nenda kamzingue urudi kwenu bila shingo
 
Kuna watu hata hilo panga wakiwa nalo ukiwazingua ujue watalitupa panga na kukimbia, ila ukitaka kujua kama wakurya wana confidence ukimuona na panga nenda kamzingue urudi kwenu bila shingo

Na ukitaka kujua hana confidence mzingue akiwa hana panga uone mbio zake
 
Na ukitaka kujua hana confidence mzingue akiwa hana panga uone mbio zake

Ukihitaji evidence katika hili itabidi uende ukuryani sio lazima uende Mara, kama uko hapa Dar nenda pale nyantira, mwanagati et al then ukiwakuta hawana panga wazingue kisha ulete mrejesho hapa jukwaani ili tukuletee juice na matunda ukiwa umelazwa MNH
 
haswaaaaa lakin wanapendwa sana

Manka, shukran, Mimi nauliza swali, okay wakuriya wanapiga, sawa. Lakini mbona ndoa zao hata wanapooana na makabila mengine zinadumu kuliko zile za makabila ya "mke anapigwa kwa khanga"? Somebody is not telling the whole truth!!!
 
Na ukitaka kujua hana confidence mzingue akiwa hana panga uone mbio zake


Wrong!!!! Mieleka ni mchezo watoto wa kikurya wanajifunza toka udogo. Kutumia fimbo na rungu (kuna bakora/rungu zenye nut ya tractor mbele) au mawe mashallah, ushauri wangu stay safe dont try it at home or school or Nyantira.
 
Manka, shukran, Mimi nauliza swali, okay wakuriya wanapiga, sawa. Lakini mbona ndoa zao hata wanapooana na makabila mengine zinadumu kuliko zile za makabila ya "mke anapigwa kwa khanga"? Somebody is not telling the whole truth!!!

hapo inategemea mtu na mtu bana
 
Manka, shukran, Mimi nauliza swali, okay wakuriya wanapiga, sawa. Lakini mbona ndoa zao hata wanapooana na makabila mengine zinadumu kuliko zile za makabila ya "mke anapigwa kwa khanga"? Somebody is not telling the whole truth!!!
What is the whole truth sir?
 
siwapendi wakurya maana1.sura hawana
2.hela hawana
3.mapenzi hawajui
4.WAO MIKWARA TU dammmmnnnnn

Na Wewe Huna Na Hutakuwa Na Hadhi Ya Kupendwa Na Wakurya Kwa Maana
1. Ni POPOMA.
2. Sura Lako Halina Tofauti Na Gonjwa Baya La Ebola.
3. Hujui KUGEGEDIKA.
4. Huna Tofauti Na Yule Samaki Aina Ya Nguva
5. Miguu Yako Yote Imeenda Halijojo Utafikiri Center Bolt Ya KIA Imekatika..........AKUTAKE NANI.
NB: Ewe Dada UKITAKA KUGEGEDWA na UGEGEDIKE Karibu Mkoani Mara Na Sisi KUWATEMERA ( Kuwapigeni ) Ni Kama Vile Mafuta Ya Grisi Kuwekwa ktk Chuma!
 
Wakurya wapo safi sana...mkurya akikupenda huwa ni forever and ever tena ukifuata yale mnayokubaliana hapo atakupenda sana.

Mwanaume confidence bhana...

Tatizo siyo kwamba wana mikwara ila ni wakati gani mkwara utakuwa vise versa! hapo ndo mabinti wengi wanapata tabu sana...

Baelezee Baelezee Mkuu.............Nimeipenda Na Umesema Ukweli Mtupu Hapo.
 
Wapo peace sana hao jamaa tatizo lao tu ni hilo tu la kupiga lakini mpaka akukung'ute ni mmemwonyesha dharau za hali ya juu sana na amevumilia yamemfika, jamaa yanajua kujali familia zao ikiwa kuhakikisha zinaishi maisha mazuri achana hawa wa mjini wanapenda kutisha watu kila mkimchokoza anakuambia "mie Mkurya shauri yako lakini wenyewe huwa hawana story ndefu". Alafu sio wanafiki akisema hapana maana yake hapana na akisema ndiyo ni ndiyo kutoka moyoni sio kama wenzangu na mie unakuta unachekacheka kumbe moyoni unalako jambo. Ukifanikiwa kutembelea Tarime utajionea mwenyewe japokuwa jamii ya Watz wengi wanawatambua kama ni wakorofi lakini si kweli kwamba ni wakorofi kivile mpaka uingie kwenye 18 zake

Swadakta Mkuu, Nimeipenda Hii. Endelea Kubaeleeza!
 
Wakuu nimekaa na wakurya sehemu mbalimbali, hawa watu wamenivutia kwa confidence waliyonayo.

Sio waongeaji lakini wanajiamini sana wanapofanya jambo.

Hawa jamaa kila nilipokuwa nao karibu nilishuhudia wadada wengi wakijipiga vikumbo kwa kuwatamani, hii ilinifanya nijione mdogo sana na kutaka kujua kwanini wako hivyo?

kuna watu waliniambia hao jamaa wamezaliwa hivyo, wengine wanasema ni urefu wao maana wengi wao ni warefu.

Wakuu naomba kujua kwanini hawa jamaa wako hivyo?
Mwanapropaganda;
Sisi Wakurya tumezaliwa na confidence (si ya ku-acquire ila ni inborn), na ndiyo maana utakuta wengi wetu tunamudu sana kazi zinazohitaji ujasiri, mojawapo ikiwa ni jeshini.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom