Mamushka JF-Expert Member Feb 17, 2010 1,595 99 May 29, 2011 #63 Kazi ya mungu haina makosa, poleni sana.
Horseshoe Arch JF-Expert Member Aug 10, 2009 13,139 12,285 May 29, 2011 #65 Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele...na zaidi awatie nguvu na kuwapa mshikamano katika kipindi hiki cha majonzi
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele...na zaidi awatie nguvu na kuwapa mshikamano katika kipindi hiki cha majonzi
freddie063 Member Aug 5, 2009 72 4 May 29, 2011 #66 Pole sana brother na wafiwa wote kwa ujumla mwenyezi Mungu awatie nguvu katika wakati huu mgumu..
Jayfour_King JF-Expert Member Nov 15, 2009 1,135 128 May 29, 2011 #67 Poleni kwa msimba na Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu kwani msiba huwa hauna mazoea, poleni sana.
Poleni kwa msimba na Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu kwani msiba huwa hauna mazoea, poleni sana.
Nyange JF-Expert Member Mar 25, 2010 3,516 1,865 May 30, 2011 #68 Pole sana, tuwe tayari saa yoyote. apumzike kwa amani
POMPO JF-Expert Member Mar 12, 2011 6,690 2,400 May 30, 2011 #69 Poleni nyote wahusika God be be with you at this diffecult moment RIP
Dena Amsi R I P Aug 17, 2010 13,082 4,262 May 30, 2011 #71 Poleni sana ndo maana sikuoni dah Mungu awe nanyi daima
Kiresua JF-Expert Member May 13, 2009 1,184 259 May 30, 2011 #72 Jamani Mungu ailaze mahali pema. Amina
M mwabaluhi JF-Expert Member Oct 16, 2010 561 92 May 30, 2011 #73 Mkuu jipe moyo na pole sana kwa msiba
Felixonfellix JF-Expert Member Feb 16, 2010 1,672 182 May 30, 2011 #74 pole sana ndugu yetu mumgu akupe amani awe faraja yenu pia
One and Only Senior Member Mar 7, 2011 161 62 May 30, 2011 #75 Poleni sana, may his soul rest in peace
AshaDii Platinum Member Apr 16, 2011 16,190 18,080 May 30, 2011 #76 Mwenyezi Mungu awape wafiwa nguvu na Imani... :rip: