Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
The Finest;I hope this is not one of those tactics kumsaidia Obama ashinde uchaguzi wa mwaka kesho maana he's in a bad shape na kuna kila dalili za kushindwa urais mwaka kesho[/

Hizo ni politics tu za US TF, WH ataingia tu. Watampiga majungu wee kwa vile ana ngozi nyeusi jaluo lakini atachaguliwa tu. Tupo hapo utakubali usemi wangu. Kama ni Uchumi si yeye aliyeudidimiza, haiwezekani shimo lichimbwe miaka kumi ulifukie kwa usiku mmoja. Jaluo anajitahidi kwa kile anachoweza!
 
Lol....chanzo chako ni nini?
BBC News - Osama Bin Laden dead


Hapo una maneno nimeweka ni ya kwanguu lakini nimesikiliza na kusoma BBC na wanasema na kuandika kazikwa tayari. kwa matamshi/maadishi yao wamesema ili kuendana na muslim faith .


But nadhani watakuwa wamechukua kipande cha nyama kwa ajili ya kumbukumbu na DNA.

lol
 
U.S. tests bin Laden's DNA, used facial ID: official


WASHINGTON | Mon May 2, 2011 2:56am EDT


(Reuters) - The United States is conducting DNA testing on slain al Qaeda leader Osama bin Laden and used facial recognition techniques to help identify him, a U.S. official said on Monday.

Bin Laden was identified by the assault force that killed him in a firefight in Pakistan in which he resisted and was shot in the head, the official said on condition of anonymity.

Results of the DNA tests should be available in the next few days, the official told Reuters.

The strike force was on the ground for less than 40 minutes and the operation was watched real-time by CIA Director Leon Panetta and other intelligence officials in a conference room at CIA headquarters in Langley, Virginia, the official said.

"When word came in that the operation was a success, CIA officials in the conference room had a rather large applause," the official said.

(Reporting by Tabassum Zakaria; Editing by Will Dunham)
 
Kuna watu wanadhani hii operation imeanza juzi? Watu walishtuka toka 2006/7! Sema wao sio waropokaji...
 

Safi sana

Jogoo hafi kwa utitiri
 

Hakuna ubaya, wote hao ni marehemu.
 

You don't need to believe if that's what you want. Kwani hadi leo kuna wasioamini kwamba NASA walitua mwezini. Hadi leo kuna wasioamini kuwa Sadam, Tupac na hata Elvis kuwa wamekufa. so I think it is up to u
 
Kama ni uongo huyo Osama si ajitokeze, ama atope tapes zake
 
Labda nikusaidie ndg, huhitaji kuamani, ila fact ni hivi CHIEF TERRORIST OSAMA IS BOTH PHYSICALLY AND MEDICALLY DEAD. HE'S NO MORE.
 

Kwahiyo kwa mujibu wa huyu ndugu, ni kwamba uislamu unafungamana na ugaidi? kwahiyo mtu akiwa gaidi na muuwaji ila kama ni mwislamu inamuondolea madhambi yote. nina mashaka na akili ya huyu mtu. na kwa akili ndogo ya viwango hivi basi kazi ipo. huyu anazidiwa akili hata na sungura.
 

Hahahahaaaaa!!!!!!!!!!!
Very good and intelligent answer.
You go boy/girl!!!
 
Walivyo mnyonga Saddam Hussein picha kibao za tukio la unyonganji zilitolewa iweje leo hii kifo cha gaidi mkubwa kama Osama wasiweze kutuonyesha hata kapicha kamoja? mimi nilipo sikia hii habari tu hata kabla sijajua kuna uthibitisho kani walio nao nilisema huo ni uongo maana wamarekani ni watu waujiko sana...Osama alishakufa miaka mingi iliyopita na wao wanalitambua hilo ndio maana wamekuja na uongo huu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…