Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
je wewe umeshawahi kutoa au kupokea rushwa Tanzania?
Tangu uwe mtu mzima?
sio kwamba nakupinga hoja yako, ila mimi napenda kushafisha idara na serikali kwa ujumla wake, utendaji kazi uboreke. kusiwe na haja ya kutoa au kupokea rushwa.
watakaokamatwa, in the way basi watakuwa mfano, hata kama ni mimi au wewe.
Hata mimi nilihonga kupata umeme
je wewe umeshawahi kutoa au kupokea rushwa Tanzania?
Tangu uwe mtu mzima?
sio kwamba nakupinga hoja yako, ila mimi napenda kushafisha idara na serikali kwa ujumla wake, utendaji kazi uboreke. kusiwe na haja ya kutoa au kupokea rushwa.
watakaokamatwa, in the way basi watakuwa mfano, hata kama ni mimi au wewe.
Hata mimi nilihonga kupata umeme