Orodha ya Watanzania waliosimama kupinga uwekezaji wa DP World; tuwataje historia iwahukumu au kuwapa maua yao

Nawiwa kuweka hapa kumbukumbu za wote waliotetea na kupinga kwa nguvu zote uuzwaji wa bandari. Majina yao yakiwa hapa yatasaidia waandishi wa vitabu na makala kwa siku zijazo kupata refference na kuona kama maono yao ya kupinga yalikuwa sahihi au hayakuwa sahihi. Naomba nianze kuwataja wachache.
1. Natambua nguvu aliyotumia kijana Martini Maranja kusambaza uvumi wa mkataba ambao baadaye ilikuja kubainika mkataba ni uliovuja ulikuwa mkataba halisi.
2. Shangaz Maria Sarungi amefanya kazi kubwa kuhabarisha na kufungua majadiliano ambayo yameweza kusaidia kutoa elimu kwa umma lakini pia kuwafungua macho walio wengi. Mijadala yake imerekodiwa hivyo sauti na maandishi vitakuwa vimehifadhiwa vyema kwa matumizi ya baadaye
3. Freeman Mbowe alitoa hotuba kali na yenye kuchambua hoja mbalimbali ikiwemo kuweka msingi wa kilichozua mjadala mkubwa cha bandari za Zanzibar vs bandari za Tanganyika. Hotuba hiyo ilizaa mjadala mkali ambao bado hakuna aliyeweza kuuzima.
4. Dr. Wilbroad pamoja na kuwa balozi lakini alipoona hali si shwari aliweka utaifa mbele; akaweka diplomasia pembeni na kusimama kwenye nguvu ya imani yake hadi kukamatwa na uhaini. Aidha hata baada ya kuwekwa mahabusu bado msimamo wake haukubadilika.
5. Wakili Mwabukusi aliyeshirikiana na wasomi baadhi kwenda kuupinga mradi huu mahakama nao wanastahili kuandikwa kwa njia nyingine.
6. Majaji wakiongozwa na Jaji Ndunguru historia itawakumbuka kwa kupinga vipengele vya mkataba kwa maandishi; hukumu yao inasaidia taifa kuandika kwa manufaa ya kizazi cha kesho kuhusu aina ya watawala na wasomi waliokuwemo karne ya 21.
7. Mhe. Jaji Warioba na Butiku wanawasilisha wazee wachache ambao walitoka adharani na kusema kwa hili hapana.
8. Karibu wa TEC ( Mzee wetu Kitima) ametimiza wajibu wake; ameweka kumbukumbu zote muhimu kwa niaba ya TEC pamoja na kutupa majina ya waliosimama kiroho kupinga mkataba huu.
9. Tundu Lisu sina haja hakumweleza sana kwa sababu hata nisipoeleza anajieleza kwa historia yake juu ya rasilimali za Taifa.
10. Godbless Lema kwenye hili yupo ila hayupo kwenye vibe kiviile..........

Tuendelee tuwaleta wanaoitwa majasiri leo kwa kumbukumbu za kesho: yawezekana wanaona vyema au wamepotoka hivyo tujipe muda wakuwatambua ili kesho tuwakumbushe au tuwakumbuke
Hiyo list kama hayupo @mdudechadema ni batili
 
Nawiwa kuweka hapa kumbukumbu za wote waliotetea na kupinga kwa nguvu zote uuzwaji wa bandari. Majina yao yakiwa hapa yatasaidia waandishi wa vitabu na makala kwa siku zijazo kupata refference na kuona kama maono yao ya kupinga yalikuwa sahihi au hayakuwa sahihi. Naomba nianze kuwataja wachache.
1. Natambua nguvu aliyotumia kijana Martini Maranja kusambaza uvumi wa mkataba ambao baadaye ilikuja kubainika mkataba ni uliovuja ulikuwa mkataba halisi.
2. Shangaz Maria Sarungi amefanya kazi kubwa kuhabarisha na kufungua majadiliano ambayo yameweza kusaidia kutoa elimu kwa umma lakini pia kuwafungua macho walio wengi. Mijadala yake imerekodiwa hivyo sauti na maandishi vitakuwa vimehifadhiwa vyema kwa matumizi ya baadaye
3. Freeman Mbowe alitoa hotuba kali na yenye kuchambua hoja mbalimbali ikiwemo kuweka msingi wa kilichozua mjadala mkubwa cha bandari za Zanzibar vs bandari za Tanganyika. Hotuba hiyo ilizaa mjadala mkali ambao bado hakuna aliyeweza kuuzima.
4. Dr. Wilbroad pamoja na kuwa balozi lakini alipoona hali si shwari aliweka utaifa mbele; akaweka diplomasia pembeni na kusimama kwenye nguvu ya imani yake hadi kukamatwa na uhaini. Aidha hata baada ya kuwekwa mahabusu bado msimamo wake haukubadilika.
5. Wakili Mwabukusi aliyeshirikiana na wasomi baadhi kwenda kuupinga mradi huu mahakama nao wanastahili kuandikwa kwa njia nyingine.
6. Majaji wakiongozwa na Jaji Ndunguru historia itawakumbuka kwa kupinga vipengele vya mkataba kwa maandishi; hukumu yao inasaidia taifa kuandika kwa manufaa ya kizazi cha kesho kuhusu aina ya watawala na wasomi waliokuwemo karne ya 21.
7. Mhe. Jaji Warioba na Butiku wanawasilisha wazee wachache ambao walitoka adharani na kusema kwa hili hapana.
8. Karibu wa TEC ( Mzee wetu Kitima) ametimiza wajibu wake; ameweka kumbukumbu zote muhimu kwa niaba ya TEC pamoja na kutupa majina ya waliosimama kiroho kupinga mkataba huu.
9. Tundu Lisu sina haja hakumweleza sana kwa sababu hata nisipoeleza anajieleza kwa historia yake juu ya rasilimali za Taifa.
10. Godbless Lema kwenye hili yupo ila hayupo kwenye vibe kiviile..........

Tuendelee tuwaleta wanaoitwa majasiri leo kwa kumbukumbu za kesho: yawezekana wanaona vyema au wamepotoka hivyo tujipe muda wakuwatambua ili kesho tuwakumbushe au tuwakumbuke


11. Mimi - Nyanga Nguseso.
 
Wa upande wa pili hawa, Faizafoxy, THE BIG SHOW, Pascal Mayalla, Steven ntesemuro something, Zitto Kabwe, Bunge, Tulia, Boss, SSH, Chama cha Act sio wazalendo.
Hapo mtoe Pascal Mayalla nadhani bado haujaweza kuyaelewa maandiko yake... na kama watawala na wenyewe wangekua wanaelewa hasa uandishi wake basi angekua wakwanza kupewa kesi ya Uhaini. Pascal hajawahi kuunga mkono mkataba wa bandari zaidi ni mchochezi kwa ma GT na wenye walioongezea na zao.
 
Nawiwa kuweka hapa kumbukumbu za wote waliotetea na kupinga kwa nguvu zote uuzwaji wa bandari. Majina yao yakiwa hapa yatasaidia waandishi wa vitabu na makala kwa siku zijazo kupata refference na kuona kama maono yao ya kupinga yalikuwa sahihi au hayakuwa sahihi. Naomba nianze kuwataja wachache.
1. Natambua nguvu aliyotumia kijana Martini Maranja kusambaza uvumi wa mkataba ambao baadaye ilikuja kubainika mkataba ni uliovuja ulikuwa mkataba halisi.
2. Shangaz Maria Sarungi amefanya kazi kubwa kuhabarisha na kufungua majadiliano ambayo yameweza kusaidia kutoa elimu kwa umma lakini pia kuwafungua macho walio wengi. Mijadala yake imerekodiwa hivyo sauti na maandishi vitakuwa vimehifadhiwa vyema kwa matumizi ya baadaye
3. Freeman Mbowe alitoa hotuba kali na yenye kuchambua hoja mbalimbali ikiwemo kuweka msingi wa kilichozua mjadala mkubwa cha bandari za Zanzibar vs bandari za Tanganyika. Hotuba hiyo ilizaa mjadala mkali ambao bado hakuna aliyeweza kuuzima.
4. Dr. Wilbroad pamoja na kuwa balozi lakini alipoona hali si shwari aliweka utaifa mbele; akaweka diplomasia pembeni na kusimama kwenye nguvu ya imani yake hadi kukamatwa na uhaini. Aidha hata baada ya kuwekwa mahabusu bado msimamo wake haukubadilika.
5. Wakili Mwabukusi aliyeshirikiana na wasomi baadhi kwenda kuupinga mradi huu mahakama nao wanastahili kuandikwa kwa njia nyingine.
6. Majaji wakiongozwa na Jaji Ndunguru historia itawakumbuka kwa kupinga vipengele vya mkataba kwa maandishi; hukumu yao inasaidia taifa kuandika kwa manufaa ya kizazi cha kesho kuhusu aina ya watawala na wasomi waliokuwemo karne ya 21.
7. Mhe. Jaji Warioba na Butiku wanawasilisha wazee wachache ambao walitoka adharani na kusema kwa hili hapana.
8. Karibu wa TEC ( Mzee wetu Kitima) ametimiza wajibu wake; ameweka kumbukumbu zote muhimu kwa niaba ya TEC pamoja na kutupa majina ya waliosimama kiroho kupinga mkataba huu.
9. Tundu Lisu sina haja hakumweleza sana kwa sababu hata nisipoeleza anajieleza kwa historia yake juu ya rasilimali za Taifa.
10. Godbless Lema kwenye hili yupo ila hayupo kwenye vibe kiviile..........

Tuendelee tuwaleta wanaoitwa majasiri leo kwa kumbukumbu za kesho: yawezekana wanaona vyema au wamepotoka hivyo tujipe muda wakuwatambua ili kesho tuwakumbushe au tuwakumbuke
Tunaendelea na sensa CHADEMA kuorodhesha wasaliti wanaopinga DPW. So far ni watu 83 wengi wao ni Maaskofu 37 waliodanganywa na Katibu wao Fr. Kitima.

Kwa hesabu za haraka haraka hii ni 0.00000% ya Watanzania wote, rounding off to five (5) decimal places. Any more? Tutaishia rounding off to the largest whole number tujipe hadi saa 8.
 
Asante sana

Nikuombe uandike na wale walioupigia chapuo kufa na kupona.

Wale Wabunge waliosafiri kwenda Dubai

Wale Wabunge bungeni waliosema hawawezi kumpinga Sa100 ili hali unautaka ubunge.

Wale wachekeshaji na waandishi feki wa habari waliopelekwa Dubai

Yule bwana aliyesema Mahakama zetu zinapigiwa simu moja na wanasiasa.

Yule bwana wa chama kile aliyesema kilichopitishwa bungeni ni sawa na karatasi ya kifungia maandazi.

Wale walioingiza issue ya udini kwenye mjadala.

N.k.
 
Nawiwa kuweka hapa kumbukumbu za wote waliotetea na kupinga kwa nguvu zote uuzwaji wa bandari. Majina yao yakiwa hapa yatasaidia waandishi wa vitabu na makala kwa siku zijazo kupata refference na kuona kama maono yao ya kupinga yalikuwa sahihi au hayakuwa sahihi. Naomba nianze kuwataja wachache.
1. Natambua nguvu aliyotumia kijana Martini Maranja kusambaza uvumi wa mkataba ambao baadaye ilikuja kubainika mkataba ni uliovuja ulikuwa mkataba halisi.
2. Shangaz Maria Sarungi amefanya kazi kubwa kuhabarisha na kufungua majadiliano ambayo yameweza kusaidia kutoa elimu kwa umma lakini pia kuwafungua macho walio wengi. Mijadala yake imerekodiwa hivyo sauti na maandishi vitakuwa vimehifadhiwa vyema kwa matumizi ya baadaye
3. Freeman Mbowe alitoa hotuba kali na yenye kuchambua hoja mbalimbali ikiwemo kuweka msingi wa kilichozua mjadala mkubwa cha bandari za Zanzibar vs bandari za Tanganyika. Hotuba hiyo ilizaa mjadala mkali ambao bado hakuna aliyeweza kuuzima.
4. Dr. Wilbroad pamoja na kuwa balozi lakini alipoona hali si shwari aliweka utaifa mbele; akaweka diplomasia pembeni na kusimama kwenye nguvu ya imani yake hadi kukamatwa na uhaini. Aidha hata baada ya kuwekwa mahabusu bado msimamo wake haukubadilika.
5. Wakili Mwabukusi aliyeshirikiana na wasomi baadhi kwenda kuupinga mradi huu mahakama nao wanastahili kuandikwa kwa njia nyingine.
6. Majaji wakiongozwa na Jaji Ndunguru historia itawakumbuka kwa kupinga vipengele vya mkataba kwa maandishi; hukumu yao inasaidia taifa kuandika kwa manufaa ya kizazi cha kesho kuhusu aina ya watawala na wasomi waliokuwemo karne ya 21.
7. Mhe. Jaji Warioba na Butiku wanawasilisha wazee wachache ambao walitoka adharani na kusema kwa hili hapana.
8. Karibu wa TEC ( Mzee wetu Kitima) ametimiza wajibu wake; ameweka kumbukumbu zote muhimu kwa niaba ya TEC pamoja na kutupa majina ya waliosimama kiroho kupinga mkataba huu.
9. Tundu Lisu sina haja hakumweleza sana kwa sababu hata nisipoeleza anajieleza kwa historia yake juu ya rasilimali za Taifa.
10. Godbless Lema kwenye hili yupo ila hayupo kwenye vibe kiviile..........

Tuendelee tuwaleta wanaoitwa majasiri leo kwa kumbukumbu za kesho: yawezekana wanaona vyema au wamepotoka hivyo tujipe muda wakuwatambua ili kesho tuwakumbushe au tuwakumbuke
Sasa huyo Lema umemtaja wa kazi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom