Hawa komba nimewaona upareni sana na uchagani ila wabaya zaid kwenye ndizi
Hku mulebaWapi nyumbani mkuu maana ebibywa marwa wangetakiwa malizia marwa chacha
FyosiKuna ndege kijijini siwajui jina kwa kiswahili huwa wanakunywa ulanzi hatari! Ila uzuri wake wanakunywa kistaarabu, huwezi kuona wameshindwa kuruka au wamezima kama binadamu hata siku moja.
app yuko mbali sanaaa
Uzi wangu uko wapi????