fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
Ndugu zangu nimekua niki tahamaki tabia za hawa wadudu yani kuna kabaar apa jirani kapo classic kiasi.
Ila kila nikienda kugida bia zangu lazima awa wadudu waje mezani ata walambe japo kidogo bia kabla na wao awajalala sijui ni kwa nini!!
Na mimi nimekua sio mchoyo nikiwaona tu mezani nawaekea kitone cha mvinyo ili wasione uyu jamaa mchoyo wa mvinyo.. ila uwa aipiti dk 5 washa nyausha ile tone la mvinyo ajabu nikiwaekea tone la maji wana sunya mpaka naskia.
Nikakaa nikajiuliza kumbe sio ndugu yangu pekee mshana jr ambae lazima achambe koo kabla ya kulala kumbe hata sisimizi hupendelea kuchamba koo kabla ya kulala.
Ninaushaidi unaweza na wewe ukaanza fwatilia utagundua sisimizi huwa ndo mdudu kiongozi kwa ulevi.
Je mdudu gani mwingine mlevi kama sisimizi ?
Picha ya sura ya sisimizi akiwa kasha piga sip kazaa kwa wale ambao awaifahamu hiyo apo.
Picha ya sisimizi kwa wale ambao awaifahamu hi apa
Na hawa wanatabia za kilevi huwa wanapenda mno kushirikiana
Drink beer save water..
Ila kila nikienda kugida bia zangu lazima awa wadudu waje mezani ata walambe japo kidogo bia kabla na wao awajalala sijui ni kwa nini!!
Na mimi nimekua sio mchoyo nikiwaona tu mezani nawaekea kitone cha mvinyo ili wasione uyu jamaa mchoyo wa mvinyo.. ila uwa aipiti dk 5 washa nyausha ile tone la mvinyo ajabu nikiwaekea tone la maji wana sunya mpaka naskia.
Nikakaa nikajiuliza kumbe sio ndugu yangu pekee mshana jr ambae lazima achambe koo kabla ya kulala kumbe hata sisimizi hupendelea kuchamba koo kabla ya kulala.
Ninaushaidi unaweza na wewe ukaanza fwatilia utagundua sisimizi huwa ndo mdudu kiongozi kwa ulevi.
Je mdudu gani mwingine mlevi kama sisimizi ?
Picha ya sura ya sisimizi akiwa kasha piga sip kazaa kwa wale ambao awaifahamu hiyo apo.
Picha ya sisimizi kwa wale ambao awaifahamu hi apa
Na hawa wanatabia za kilevi huwa wanapenda mno kushirikiana
Drink beer save water..