ORCI hamna dawa wiki ya 4 inaingia sasa

Me too

JF-Expert Member
Feb 9, 2015
7,325
9,185
ORCI hospitali hii haina dawa wiki ya 4 sasa babu yangu alipewa rufaa kutokea bugando amefikia jijini tena guest ili hali akijua matibabu hayatachukua mda atarudi kijijini kuendelea na kilimo.

Dirisha la CHEMO aliambiwa dawa yake haipo hivo atapigiwa simu ikija lakini mpaka leo hakuna simu gharama za guest zinaumiza,
Hizi BIMA zetu kuna dawa unagharamia mwenyewe, kinachonishangaza pale ORCI dirisha la CHEMO bei za dawa zake zina badirika Kiufupi dawa hazina bei rasmi.

Hapa mjomba wangu imefikia mda anashindwa kutuma gharama za guest kwa babu imebidi amrudishe kijijini wasubiliage akiwa kijijini

OMBI: Serikali ichunguze sana pale ORCI dirisha la CHEMO kuhusu upatikanaji wa dawa na uwepo wa bei rasmi ya uuzaji wa dawa
 
ORCI bado sanaa kukidgi mahitaji ya nchi.ulichoandika mwengine anaweza asikuelewe,lakini mimi nakuelewa sana,sababu niliuguza mzazi wangu pale.ukisikiliza taarifa unazopewa na wizara na ukienda pale ni vitu viwili todauti,ni kama umepotea njia ukifika pale .kiufupi hakuna huduma ya maana inayolingana na jina la taasis
 
ORCI bado sanaa kukidgi mahitaji ya nchi.ulichoandika mwengine anaweza asikuelewe,lakini mimi nakuelewa sana,sababu niliuguza mzazi wangu pale.ukisikiliza taarifa unazopewa na wizara na ukienda pale ni vitu viwili todauti,ni kama umepotea njia ukifika pale .kiufupi hakuna huduma ya maana inayolingana na jina la taasis
Wakati tunaingia na barua ya rufaa pale mapokezi walikuwa wanalalamika wao wenyewe watu wanakimbia ile hospital wanawaachia barua za rufaa kisha kutokomea kusikojulikana. kwa Mara ya kwanza sikuelewa ila taratibu naelewa
 
Oooh.
Pole sana Ndugu.

kuuguza ni gharama sana kwa sasa.

Mimi nilikuwa na mgonjwa nauguza pale ila niliambiwa kuna kuchangia huduma ya dawa na nikaambiwa nirudi nyumbani kwani majibu ya damu hayakuruhusu mgonjwa wangu apewe chemo. baada ya damu kuwa sawa nilitaarifiwa kuwa majibu ya damu ni sawa (yaani yanaruhusu kupewa chemo) na ndipo nikaelekea dirisha la chemo pale niliambiwa nisubiri kwa siku mbili ili ziletwe na kuandaliwa nilipigiwa nimpeleke mgonjwa. nilipata dawa ila zilikuwa bei kubwa sana sana.huwezi fananisha na matibabu ya magonjwa mengine.
kwa bei kubadilika ni kweli katika kipindi cha miezi tisa nilinunua dawa kwa bei mbili tofauti. khaa
usiombe kuuguza saratani, gharama yake sio ya kitoto.
walinipigia kwa namba hizi 0656 980 749 na 0734 219219, nashauri uwapandie hewani utushushie majibu
 
Oooh.
Pole sana Ndugu.

kuuguza ni gharama sana kwa sasa.

Mimi nilikuwa na mgonjwa nauguza pale ila niliambiwa kuna kuchangia huduma ya dawa na nikaambiwa nirudi nyumbani kwani majibu ya damu hayakuruhusu mgonjwa wangu apewe chemo. baada ya damu kuwa sawa nilitaarifiwa kuwa majibu ya damu ni sawa (yaani yanaruhusu kupewa chemo) na ndipo nikaelekea dirisha la chemo pale niliambiwa nisubiri kwa siku mbili ili ziletwe na kuandaliwa nilipigiwa nimpeleke mgonjwa. nilipata dawa ila zilikuwa bei kubwa sana sana.huwezi fananisha na matibabu ya magonjwa mengine.
kwa bei kubadilika ni kweli katika kipindi cha miezi tisa nilinunua dawa kwa bei mbili tofauti. khaa
usiombe kuuguza saratani, gharama yake sio ya kitoto.
walinipigia kwa namba hizi 0656 980 749 na 0734 219219, nashauri uwapandie hewani utushushie majibu
Mgonjwa anaendeleaje ? Poleni kwa kuuguza !
 
Oooh.
Pole sana Ndugu.

kuuguza ni gharama sana kwa sasa.

Mimi nilikuwa na mgonjwa nauguza pale ila niliambiwa kuna kuchangia huduma ya dawa na nikaambiwa nirudi nyumbani kwani majibu ya damu hayakuruhusu mgonjwa wangu apewe chemo. baada ya damu kuwa sawa nilitaarifiwa kuwa majibu ya damu ni sawa (yaani yanaruhusu kupewa chemo) na ndipo nikaelekea dirisha la chemo pale niliambiwa nisubiri kwa siku mbili ili ziletwe na kuandaliwa nilipigiwa nimpeleke mgonjwa. nilipata dawa ila zilikuwa bei kubwa sana sana.huwezi fananisha na matibabu ya magonjwa mengine.
kwa bei kubadilika ni kweli katika kipindi cha miezi tisa nilinunua dawa kwa bei mbili tofauti. khaa
usiombe kuuguza saratani, gharama yake sio ya kitoto.
walinipigia kwa namba hizi 0656 980 749 na 0734 219219, nashauri uwapandie hewani utushushie majibu
Mpaka kufikia hatua ya kupost humu ujue tumeshafanya jitihada za kutosha bila mafanikio,,,, hizo naomba nisijeingia mziki wa matapeli bure,,,
Na hapa nilipo babu tumeshsmrudisha kijijini na Mimi nipo rock city sizani km tumaini la kurudi pale lipo .
 
Poleni sana, kumekuwa na upungufu mkubwa wa madawa katika awamu ya serikali hii.

Kiasi cha pesa kinachotengwa kwa ajili ya waizara ya afya ukilinganisha na kiasi halisi wanachopelekewa unaweza kutokwa machozi.

Ujenzi ndio kipaumbele pekee awamu hii.
 
Kinachosemwa majukwani na kilichopo kwenye hospitali zetu ni kama maji na mafuta..yani ni kama stori za abunuasi..kiukweli hakuna kipindi hali imekua ya kusikitisha katika bajeti ya afya kama kipindi hiki..kipaumbele kilikua kununu wapinzani na ujenzi wa chattle empire.


#MaendeleoHayanaChama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom