Operation TIGITIGI kwa Mikoa mitano yazinduliwa

Operation TIGITIGI kwa Mikoa mitano yazinduliwa

Safiii sana tulianza pamoja tunaendeleza libeneke pamoja mammuzi ya pamoja wote tuseme CCM bye bye

CCM byeeee

Mchaka mchaka chinja

Mchaka mchaka chinjaaa

Alimselema...selema

CCM wamlowa...

Lowaaa lowa lowa lowaaaa
 
attachment.php

Leo tumezindua Operation maalumu ijulikanayo kama operation TIGITIGI.

TIGITIGI
ni neno la kisukuma lenye maana ya sagasaga,teketeza,maliza kabisa.

Operation hii imeanzia Mwanza na sasa ni mkutano wa sita tuko Sengerema, baada ya Mwanza ni Simiyu, Mara,Tabora, Shinyanga.

Ninaiongoza operation hii mimi mwenyewe, Naombeni dua zenu ili izae matunda.

Tubapandagile TIGITIGI!! Hii imekaa vizuri!
 
Nigeria wamefanyaje? we Unamjua Buhari wewe? uliza historia, huyo alishatawala akaondolewa na upinzani sasa amerudi tena, unasemaje hapo!

Itakuwa huna kumbukumbu nzuri na historia ya nigeria!! mara ya kwanza buhari hakupata urais kwa njia ya kura bali kwa kufanya mapinduzi dhidi ya shehu shagari, naye buhari akaja kupinduliwa na ibrahim babangida. Tofautisha mapinduzi ya kijeshi na uchaguzi kwa njia kura kupitia vyama vya siasa!! Hapakuwa na masuala ya chama tawala wala chama cha upinzani.

Mkuu Chuma Chakavu hawa mabwana ni mabingwa wa "kuspin" unafikiri hajui hilo?
 
Heri ya Wajinga kuliko Wapumbavu! Mjinga yupo kwenye position nzuri ya kuelewa kuliko mpumbavu. Ni Upumbavu Kudumaa/kubaki hapa tulipo miaka 54. Changes are inevitable,asiyekubali anakimbizana na Upepo!

Hivi wewe una miaka mingapi?

Hata unachokiandika hakieleweki, eti umebaki hapo ulipo kwa miaka 54? uliifikiaje hiyo miaka 54? ungenambia umedumaa ki mawazo na sasa una miaka 54 lakini una mawazo yale yale ya mwaka wa kwanza wa Nyerere ningekuelewa.

Kalenga, Cjalinze, Kata Tatu Chopa Tatu, Serikali za Mitaa - Nnakukumbusha tu.
 
Kamanda hii ndio kitu inatakiwa,sio watu kuja hapa sijui watu walijiunga kwa ajili yangu, mara sijui nikiondoka chama kitakufa na madoido mengi kama hayo. Tunatakiwa tupate wapiga kura wengi kwa kuwapa elimu na sio kusubiiri watu waletwe kwenye chama halafu mtu abakie anatuletea historia hapa.
IUmeona eeh, hiyo ndio siasa. Mtu unakwenda field sio siasa za mitandaoni na na kujianzishia username 50 ili ujisapoti mwenyewe wakati wapiga kura.hawakujui na hata unapopewa.ubunge miaka.10 unashindwa kupata madiwani kwani unadhani.FB na Twitter ndio uanasiasa.
Mie namsifu.sana Mawazo
 
Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Nigeria wamefanyaje? we Unamjua Buhari wewe? uliza historia, huyo alishatawala akaondolewa na upinzani sasa amerudi tena, unasemaje hapo!

Afadhali umeanza kuelewa kuwa mtaondolewa halafu mtarudi tena! Ila sidhani kama nyie mtarudi tena.
 
IUmeona eeh, hiyo ndio siasa. Mtu unakwenda field sio siasa za mitandaoni na na kujianzishia username 50 ili ujisapoti mwenyewe wakati wapiga kura.hawakujui na hata unapopewa.ubunge miaka.10 unashindwa kupata madiwani kwani unadhani.FB na Twitter ndio uanasiasa.
Mie namsifu.sana Mawazo
Ha ha hiyo nayo kazi user name 50 halafu unajipigia promo kwa kwenda mbele wa waige watu wa vitendo kama akina mawazo miaka yake mitatu na chadema amefanya mabadiriko katika kanda ya ziwa kwa aina ya kipekee huku wengine kazi yao kupokea mapozo toka CCM TISS escrow kuharibu nguvu ya wananchi
 
Tumefamikiwa kupunguza ushindi wa CCM serikali za mitaa kutoka 90% mwaka 2009 mpaka 66.5 mwaka 2014.Sasa ndiyo tunamalizia kazi.
Hizo asilimia nyingi ni za mapingamiz na wasitarajie hilo tena na wajiandae kisaikolojia
 
hiyo operation itawaTIGITIGI washirika wa ukawa na si vinginevyo.
tunakutakia kila la heri ili ujustify ulaji wa hela za chama kupitia perdiem na si kuleta matunda. zote hizo ni njaa tupu kaka

Hizo Posho unatoa wewe, acha kamanda Alphonce Mawazo akawachakaze magamba na washirika wake.
 
Last edited by a moderator:
Nigeria wamefanyaje? we Unamjua Buhari wewe? uliza historia, huyo alishatawala akaondolewa na upinzani sasa amerudi tena, unasemaje hapo!

Acha uongo wewe Goodluck Jonadhan ndo rais wa kwanza kuondolewa Madarakani na Upinzani, usindanye watu hapa, be informed. Nyie ndo mnasababisha tunatungia sheria mbaya za makosa ya mitandaoni.
 
Hili neno TIGITIGI nikienezwa usukumani ccm watapata shida sana maana wasukuma wakishaamua kitu hutaweza kuwageuza kwa hongo ya aina yoyote maana wao wala hawajui maana ya serikali wanachojua kila mtu anajitafutia maisha yake halali kwa njia yoyote halali!

Kitu kingine wasukuma ambacho hawakipendi kukiona machoni mwao ni police ukiwaambia nipeni kura hamtaona dagi imekanyaga hapa utapata kura zote. Hawapendi kusumbuliwa maana wao ni watafutaji hawana time na vimisaada vya serikali.
Ukawa wanaweza kuteka kanda ya ziwa kwa urahisi sana kuliko ccm. Tusubiri tuone madhara ya tigitigi!

Wasukuma hatuko hvyo labda kabila lenu ndo waoga wa police,pia kwa taarifa yako mwanza mjini cdm hakuna mlichofanya tunapiga chini october nyamagana Stanslaus Mabula ilemela Diallo tunawapa wazawa watakua na uchungu na kwao
 
Hivi wewe una miaka mingapi?

Hata unachokiandika hakieleweki, eti umebaki hapo ulipo kwa miaka 54? uliifikiaje hiyo miaka 54? ungenambia umedumaa ki mawazo na sasa una miaka 54 lakini una mawazo yale yale ya mwaka wa kwanza wa Nyerere ningekuelewa.

Kalenga, Cjalinze, Kata Tatu Chopa Tatu, Serikali za Mitaa - Nnakukumbusha tu.

Mimi si kikongwe kama wewe,ila nchii hii ni kongwe kuliko mimi. Unazungumzia Kalenga na Chalinze?Ulifanya comparison katika chaguzi zilizofanyika katika majimbo hayo 2010?Kuna chochote Cdm walichoongeza baada ya Hapo?
Uchaguzi Serikali za Mitaa umedhihirisha mafanikio ya Operation za awali. La sivyo zisingetokea vurugu zilizosababishwa na kuapisha kwa Lazima kwa wana ccm ambao hawakushinda.
Hebu Ongelea mlivyobebwa na Wakurugenzi wa Halmashauri mbalimbali katika chaguzi hizo!
Kukubaliana na Mapingamizi mliyoweka ccm ila yale ya Upinzani yaliminywa, unasemaje kuhusu hilo?
Mapingamizi 5000, hayo ni kwa Halmashauri ya Meru tu, halafu yanatangazwa wakati hamna muda wa Rufaa,unasemaje kuhusu hilo?
 
Mimi si kikongwe kama wewe,ila nchii hii ni kongwe kuliko mimi. Unazungumzia Kalenga na Chalinze?Ulifanya comparison katika chaguzi zilizofanyika katika majimbo hayo 2010?Kuna chochote Cdm walichoongeza baada ya Hapo?
Uchaguzi Serikali za Mitaa umedhihirisha mafanikio ya Operation za awali. La sivyo zisingetokea vurugu zilizosababishwa na kuapisha kwa Lazima kwa wana ccm ambao hawakushinda.
Hebu Ongelea mlivyobebwa na Wakurugenzi wa Halmashauri mbalimbali katika chaguzi hizo!
Kukubaliana na Mapingamizi mliyoweka ccm ila yale ya Upinzani yaliminywa, unasemaje kuhusu hilo?
Mapingamizi 5000, hayo ni kwa Halmashauri ya Meru tu, halafu yanatangazwa wakati hamna muda wa Rufaa,unasemaje kuhusu hilo?

Wewe tunaongelea leo unaleta habari ya comparison, kama Yanga kafungwa goli 5 mwaka juzi na mwaka huu kafungwa goli 1 ndiyo kashinda?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Zile operation Vaa Gwanda, Sangara, M4C, zimeishawahi wapi?
 
Back
Top Bottom