RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
Mwaka huu CCM must go...
muulize kinana kama alikua anazunguka Tanzania nzima ........................nape alali --------------kinana alali au haujui
Nigeria wamefanyaje? we Unamjua Buhari wewe? uliza historia, huyo alishatawala akaondolewa na upinzani sasa amerudi tena, unasemaje hapo!
Itakuwa huna kumbukumbu nzuri na historia ya nigeria!! mara ya kwanza buhari hakupata urais kwa njia ya kura bali kwa kufanya mapinduzi dhidi ya shehu shagari, naye buhari akaja kupinduliwa na ibrahim babangida. Tofautisha mapinduzi ya kijeshi na uchaguzi kwa njia kura kupitia vyama vya siasa!! Hapakuwa na masuala ya chama tawala wala chama cha upinzani.
Tupe mrejesho juu ya ufanisi wa Operesheni lukuki zilizotangulia
Kwa mtji huo lazima nguvuya ziada itumike japo maneohayo kw chaguzi za erikali za miaa wmeonekan meiva kweli Tigitigi ndio njia harisiHili neno TIGITIGI nikienezwa usukumani ccm watapata shida sana maana wasukuma wakishaamua kitu hutaweza kuwageuza kwa hongo ya aina yoyote maana wao wala hawajui maana ya serikali wanachojua kila mtu anajitafutia maisha yake halali kwa njia yoyote halali!
Kitu kingine wasukuma ambacho hawakipendi kukiona machoni mwao ni police ukiwaambia nipeni kura hamtaona dagi imekanyaga hapa utapata kura zote. Hawapendi kusumbuliwa maana wao ni watafutaji hawana time na vimisaada vya serikali.
Ukawa wanaweza kuteka kanda ya ziwa kwa urahisi sana kuliko ccm. Tusubiri tuone madhara ya tigitigi!
![]()
Leo tumezindua Operation maalumu ijulikanayo kama operation TIGITIGI.
TIGITIGI ni neno la kisukuma lenye maana ya sagasaga,teketeza,maliza kabisa.
Operation hii imeanzia Mwanza na sasa ni mkutano wa sita tuko Sengerema, baada ya Mwanza ni Simiyu, Mara,Tabora, Shinyanga.
Ninaiongoza operation hii mimi mwenyewe, Naombeni dua zenu ili izae matunda.
Subiri marejesho week ya kwanza ya November 2015.
Kwelibkabisa mh. Chenge..1. Sangara
2. Delete CCM
3. M4C
Saivi TIGITIGI kweli ukiwa kiongozi wa SACCOS lazima uwe mjanja na mbunifu wa kupiga hela.
Chama cha maoperation, operation moja iliyobaki ni kumgoa Mbowe na Slaa kwenye chama.
Safiiiiiiiiiii sana nguvu moja na mja na maamuzi ya pamoja hakua kulala mpaka kilewekeLazima wakaeeeeeeeee
TIGITIGI Oyeeeeeeeeee
Wera weraaaaaaaa
Watu weeeeeeeee
Peoplessssssss....Peoplessssssssss....Powerrrrrrrr
![]()
Leo tumezindua Operation maalumu ijulikanayo kama operation TIGITIGI.
TIGITIGI ni neno la kisukuma lenye maana ya sagasaga,teketeza,maliza kabisa.
Operation hii imeanzia Mwanza na sasa ni mkutano wa sita tuko Sengerema, baada ya Mwanza ni Simiyu, Mara,Tabora, Shinyanga.
Ninaiongoza operation hii mimi mwenyewe, Naombeni dua zenu ili izae matunda.
![]()
leo tumezindua operation maalumu ijulikanayo kama operation tigitigi.
Tigitigi ni neno la kisukuma lenye maana ya sagasaga,teketeza,maliza kabisa.
Operation hii imeanzia mwanza na sasa ni mkutano wa sita tuko sengerema, baada ya mwanza ni simiyu, mara,tabora, shinyanga.
Ninaiongoza operation hii mimi mwenyewe, naombeni dua zenu ili izae matunda.
Mmefanya operation kibao hazina matunda yoyote! Subir mzik wa ACT ukipita sehemu izo utajua vzuri hicho ni chama cha wachaga we kaa na ujinga wako
Lazima wakaeeeeeeeee
TIGITIGI Oyeeeeeeeeee
Wera weraaaaaaaa
Watu weeeeeeeee
Peoplessssssss....Peoplessssssssss....Powerrrrrrrr
Njaa mbaya sana
mziki wa CCM mgumu kuitoa madarakani mtakua mnaota!!! tukutane october:smile-big:
mziki wa CCM mgumu kuitoa madarakani mtakua mnaota!!! tukutane october:smile-big: