Tunamsubiri huyo msaliti tumpopowe na mawe kengeMmefanya operation kibao hazina matunda yoyote! Subir mzik wa ACT ukipita sehemu izo utajua vzuri hicho ni chama cha wachaga we kaa na ujinga wako
1. Sangara
2. Delete CCM
3. M4C
Saivi TIGITIGI kweli ukiwa kiongozi wa SACCOS lazima uwe mjanja na mbunifu wa kupiga hela.
Tupe mrejesho juu ya ufanisi wa Operesheni lukuki zilizotangulia
Tunamsubiri huyo msaliti tumpopowe na mawe kenge
....maskini ccm ! maaskofu wameipiga teke, wakristo wamestuka, waislam wamegundua ulaghai wao, wazee wamedanganywa pensheni, vijana ndo usiseme, wakina mama wamesema kanga wanazo za kutosha, ata sijui watatokea wapi....
Walahi CHADEMA ni watu wabaya sana, iacheni basi CCM ipumzike hata kidogo maana naona ni mwendo wa mpera mpera tu kila siku mara operesheni DELETE CCM, mara TIGITIGI.
Mmefanya operation kibao hazina matunda yoyote! Subir mzik wa ACT ukipita sehemu izo utajua vzuri hicho ni chama cha wachaga we kaa na ujinga wako