Tumefamikiwa kupunguza ushindi wa CCM serikali za mitaa kutoka 90% mwaka 2009 mpaka 66.5 mwaka 2014.Sasa ndiyo tunamalizia kazi.Tupe mrejesho juu ya ufanisi wa Operesheni lukuki zilizotangulia
Tuko pamoja kamanda.Lazima 2015 tuiondoe CCM kama Nigeria walivyofanya.
Hata Goodluck Jonathan wa Nigeria na chama chake walikuwa wanasema hivyo hivyo.mziki wa CCM mgumu kuitoa madarakani mtakua mnaota!!! tukutane october:smile-big:
tusubirie october mkuuu chonde chonde usibadili ID!Hata Goodluck Jonathan wa Nigeria na chama chake walikuwa wanasema hivyo hivyo.
Ni kipofu tu ndiye hawezi kuona matokeo yake!Tupe mrejesho juu ya ufanisi wa Operesheni lukuki zilizotangulia
Wajinga Ndiyo Waliwao.
1. Sangara
2. Delete CCM
3. M4C
Saivi TIGITIGI kweli ukiwa kiongozi wa SACCOS lazima uwe mjanja na mbunifu wa kupiga hela.
1. Sangara
2. Delete CCM
3. M4C
Saivi TIGITIGI kweli ukiwa kiongozi wa SACCOS lazima uwe mjanja na mbunifu wa kupiga hela.
Tupe mrejesho juu ya ufanisi wa Operesheni lukuki zilizotangulia
Mmefanya operation kibao hazina matunda yoyote! Subir mzik wa ACT ukipita sehemu izo utajua vzuri hicho ni chama cha wachaga we kaa na ujinga wako
kaaga hivyohivyo mwishoe utatafuta pa kujibanza1. Sangara
2. Delete CCM
3. M4C
Saivi TIGITIGI kweli ukiwa kiongozi wa SACCOS lazima uwe mjanja na mbunifu wa kupiga hela.