Duh! sabuni ya roho.
Sijaona hata dola mia!
Just imeniacha hoi,yan kusema kwel somtym huwa naingia JF kuangalia avatar za watu tu, then nacheka sana!:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:Vipi mkuu
Just imeniacha hoi,yan kusema kwel somtym huwa naingia JF kuangalia avatar za watu tu, then nacheka sana!:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
May be ni katoto,kanajifunza kutembea!mzee hata avatar yako inachekesha ile mbaya yaani huyo twiga sijui kipiece cha twiga kinajigonga gonga hovyo mi mbavu sina