Blueboy Jr
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 502
- 808
Ukwel wenye% kubwa kubwa tu.
Nakuja...Sasa wewe nani kakuambia mimi sio content creator? 🤣🤣🤣bro nenda kanywe chai basi halafu urudi.
Sema wanna Wanakufa na pressure na kisukariMwanamke anayejipost mitandaoni aidha ni malaya au ana tatizo la akili.
Kutwa kutwa kujirekodi na kutuma picha mitandaoni.
Huyo hamna kitu
Huu ndio ukweli, wanawake wanaopenda kujipost mitandaoni mara Kwa mara wengi ni malaya na ushaidi ninao sababu nshawagonga kwa sababu hiyoNitake attention nimekuwa wewe😀😀😀😀
Au sawa ninataka attention vipi umepata nafuu?
Huja kosea kabisa Mkuu...Fuatilieni kwa ukaribu mabinti wadogo ambao wanajiposti hovyo mitandaoni 98% ni waliyozalia majumbani na wengine wamepata mimba wakiwa shuleni. Ukikagua picha zake wee lazima ukutane na moja ya katoto au kapiga naye
200%Fuatilieni kwa ukaribu mabinti wadogo ambao wanajiposti hovyo mitandaoni 98% ni waliyozalia majumbani na wengine wamepata mimba wakiwa shuleni. Ukikagua picha zake wee lazima ukutane na moja ya katoto au kapiga naye
Ukweli mkuu ndiyo huu hapa sasa na ngumu kuupokea .Asilimia 99.94% ya wanawake wote ni malaya sema wametofautiana MITINDO YA UMALAYA TU ...KAMA UNABISHA MUULIZE HATA MAMA YAKO AU BINTI YAKO.
Fahari ya macho...
Hapana ni zama tu loFahari ya macho...
Mbona kuna wanaume nao huwa wanajipost sana....hao tunawafanyaje?Ishu kama hii wanawake wengi wataona kama fedheha kwao, ila kwa ME ni muhimu kuangalia privacy ya familia kama unaitaji kupunguza atention zisizo za msingi.
Second hand ni mwanamke ambaye si bikra alishtumika anaweza kuwa na hali nzuri maisha yakasonga , hawa ni spana mkononiHuja kosea kabisa Mkuu...
Hawa viumbe huwa hawana cha kupoteza maana tayari wamesha kuwa second hand
Kama ukweli fulani hiviKujipost huwa ni nyavu za kimkakati kunasa madanga..
Danga: halloo, umependeza mno aisee!
Ke: asante sana kaka
Danga: upo wapi muda huu?
Ke: hapa ofsini, ila nimechoka sana natamani hata kulala ila ndo hivo hakuna kitanda hapa.
Danga: pole sana mrembo, hivi watoka saa ngapi leo?
Ke: 11 jioni
Danga: nikupitie muda huo?
Ke: eeh..
Danga wa kwanza tayari ana appointment mkononi ya kwenda kuichapa leo.
Wengi tu wakiona kajipost watamtafuta. Wengine watapangwa siku zingine, na wengine watachunwa maokoto