Onyo: Usimwoe mwanamke anayejipost mitandaoni

Onyo: Usimwoe mwanamke anayejipost mitandaoni

Mwanamke anayejipost mitandaoni aidha ni malaya au ana tatizo la akili.
Kutwa kutwa kujirekodi na kutuma picha mitandaoni.
Huyo hamna kitu
Kujipost huwa ni nyavu za kimkakati kunasa madanga..

Danga: halloo, umependeza mno aisee!
Ke: asante sana kaka
Danga: upo wapi muda huu?
Ke: hapa ofsini, ila nimechoka sana natamani hata kulala ila ndo hivo hakuna kitanda hapa.
Danga: pole sana mrembo, hivi watoka saa ngapi leo?
Ke: 11 jioni
Danga: nikupitie muda huo?
Ke: eeh..

Danga wa kwanza tayari ana appointment mkononi ya kwenda kuichapa leo.

Wengi tu wakiona kajipost watamtafuta. Wengine watapangwa siku zingine, na wengine watachunwa maokoto
 
Ma “onyo” yamekuwa mengi sana siku hizi. Mtu akiamka akashiba zake kiporo ule muda wa kusinzia anautumia kutunga “onyo” lake….
Huyu yawezekana akawa ni mhanga wa hii mambo, kwakua limemfika kaona hata lisimwache kinyonge ngoja nae apate kipozeo
"Ma “onyo” yamekuwa mengi sana siku hizi. Mtu akiamka akashiba zake kiporo ule muda wa kusinzia anautumia kutunga “onyo” lake…."



 
Back
Top Bottom