Online forex trading

Watu njaa zinawasumbua wanafikiria easy money. Wamenifungia sababu nilikuwa nawafanyia maudhi ili watambue katika maisha hamna shortcut, hile Forex trading ni highly risk, sasa kuna watu wanaanzisha ubroker ili wao wanufaike wawatie watu umasikini. Lazima watu wanalezwe ukweli hawaelewi! Wabongo wengine wanapupa sana ndiyo maana wanadanganywa kama ilivyokuwa mchezo DECI.


Kwani wewe umekatazwa na nani kuwa broker?

Na yeye si ana broker, sasa unaumia nini wakionfezeka hata kama wameamua watu kumsikiliza na kumfata yeye?

Yaani kwa kweli unayako mojawapo ikiwa wivu, mwinine kuna kitu unakosa kwa analofanya hautaki watu wajue.

Ingekuwa pesa yako inaliwa au umeombwa eeeh sasa ona... kama anadanya ni tapeli unavyotaka watu wamkumbie ungeenda kumshitaki polisi.

Eeeh nyamaza tu, acha watu wajaribu kila mtu na bahati yake
 
Hahahaha Forex trading and binary option izi nibiashara pacha naweza sema na zina envolve high risk kwa watu ambao mnaingia kwa kukurupuka mtaria sana yan ......

Ni biashara ambayo haijawai kumuacha mtu salama yani kiukweli na ndio maana ata Ontario himself alitoa onyo na alikill kuwa aliwahi kuchoma account yake iliyokuwa na pasa mingi sana ......

Kila broker ambayo utaingia lazima ukutane na onyo na taadhari ya hali ya juu sana ni kiashiria kabisa siyo simple business like watu wanaichukulia sasahivi na ndio maana ata wenyewe uwa wanakusii na kukupigia hadi simu kwa baadhi ya broker ili kujua dhumuni na ujuzi wako katika biashara hii ili usipoteze pesa zako ukapata kifo cha presha ya gafra......

Uzuri wake , uzuri wa hii biashara ni kwamba inaweza kukufanya utajilike haraka ,kupata pesa ambayo watu amabao wanaipata kwa mwezi we kuipata kwa siku tu but ni razima uwe mtaarambu sana uwe umesoma sana umeelewa sana umefanya mazoezi kwenye demo sana umesoma indicator na kuzielewa sana, kama unatumia line au candlestick uzisome sana na uelewe tabia zake , yan ukave kwelikweli ili usiwe unapata loss za kijinga na nashauri kama unaweza tafuta mentor wa kukufundisha practically kama Ontario anavyotaka kufanya iyo ndio usaidia kwa mtu kumaster kwa araka zaid .

Muanzisha uzi alikua anaitaji kufaamu broker yupi ni mzuri kwa mtu ambaye ni begginer kuanza nayo Mamentor wengi ambao ni magwiji ushauri begginer kuanza na broker uyu ambaye ni XM broker hawa xm ukifungua account tu wanakupa ile bonus ambayo ni no deposit account ambayo ni $30 nakushauri anza na iyo pesa kuikuza mbaka kufikia mamilion na Uzuri wake minimum deposit ni $5 only ivyo ni nzuri

Ushauri usikurupuke kutrade kwa pesa kubwa wakati huna ujualo na ujuzi wako wa kuunga unga utaishia kilio kikubwa ........

Kila raheli traders
Note: Fx or Binary trading haijawaigi kumuacha treder salama
Sent by Me
kwaiyo.kinachotakiwa ni nini hasa
 
Huyo jamaa kwa nilivyomsoma tu Maelezo yake hajui chochote kuhusaina na online foreign currency exchange wala hata hiyo elimu ya finance usikiute hana.

Anakwambia eti anawinda faida ya Tsh.1m kwa mwaka mzima, wakati kuna rafiki yangu Ndongeni anapiga profit ya $5018(zaidi ya Tsh.10m) kwa muda wa masaa 48. Na anamiaka miwili tu
b19eb998cab08d847a34da332ee06376.jpg
kwenye FX trading.
Huyo jamaa nimemuona kilaza wa karne.
Mwaka mzima unapanga upige faida ya 1M? Si bora ukafanye kazi kwa muhindi?
 
Huyo jamaa nimemuona kilaza wa karne.
Mwaka mzima unapanga upige faida ya 1M? Si bora ukafanye kazi kwa muhindi?
Ni Mara 10 hiyo hela ya mtaji akanunue hisa za Vodacom halafu aziuze baada ya huo mwaka mmoja, maanaeke huko ukishanunua haufanyi kazi yoyote zaidi ya kusubiri huku ukisali kampuni iwe na performance nzuri.
 
Kujifunza vizuri zaidi ni kufungua live account lakini udiposit pesa kidogo kalafu stop loss uweke kidogo na ptofit imagine pia uweke kidogo utaanza kupiga hela polepole au muda mwingine unapata hasara kidogo .hapo ndio umakini na ufwatiliaji utakuwa mzuri .na pia kama unataka upige hela fanya hii kazi jumanne na jumatano saa tatu mpaka saa sita halafu endelea na mambo mengine.hu muda uwezekano wa kupata faida ni mkubwa zaidi
 
Kujifunza vizuri zaidi ni kufungua live account lakini udiposit pesa kidogo kalafu stop loss uweke kidogo na ptofit imagine pia uweke kidogo utaanza kupiga hela polepole au muda mwingine unapata hasara kidogo .hapo ndio umakini na ufwatiliaji utakuwa mzuri .na pia kama unataka upige hela fanya hii kazi jumanne na jumatano saa tatu mpaka saa sita halafu endelea na mambo mengine.hu muda uwezekano wa kupata faida ni mkubwa zaidi
Tatu usiku au asubui?
 
Naona malalamiko yenu yamefika JF nimefungiwa kucomment kule kwa Ontario. Naomba unitumie ujumbe kwa wenzako kuwa yule preacher wa jehanamu amefungiwa ku comment kwa Ontario ili jehanamu ifanye kazi yake.
mkuu bado umewakazia tu
 
Nina elimu ya finance na mambo ya options, futures, arbitrage, bonds nk nayafahamu.......

Kuna risk kubwa sana. Watu waingie ila wajipange

Nami nimo kwenye hiyo biashara lakini my plan ni kwa mwaka kupata faida ya walau 1M ila si kama akina Ontario wanavyoenda
Tuongee ukweli mkuu,forex trading kwa profit ya 1M ndogo sanaa
 
Tatu usiku au asubui?
Asubuhi
Kujifunza vizuri zaidi ni kufungua live account lakini udiposit pesa kidogo kalafu stop loss uweke kidogo na ptofit imagine pia uweke kidogo utaanza kupiga hela polepole au muda mwingine unapata hasara kidogo .hapo ndio umakini na ufwatiliaji utakuwa mzuri .na pia kama unataka upige hela fanya hii kazi jumanne na jumatano saa tatu mpaka saa sita halafu endelea na mambo mengine.hu muda uwezekano wa kupata faida ni mkubwa zaidi
 
Tuongee ukweli mkuu,forex trading kwa profit ya 1M ndogo sanaa
Hata kwa biashara ya machungwa hiyo profit ndogo sana.

Hiyo inawezekana kabisa kuwa faida ya siku moja ukijipanga vizuri.

Ijumaa asubuhi nimeweka $450, baada ya masaa matatu nikaondoka na karibu $1500.
Hapo hata saa tatu asubuhi ilikuwa haijafika.

Hiyo ni faida ya zaidi ya 2.2 shs million in 3 hours.

Kuna kukosa pia vilevile, sio kila siku kupata,
 
Kweli mkuu,wengi wanaongea wasichokijua, forex habari nyingine aisee
Hata kwa biashara ya machungwa hiyo profit ndogo sana.

Hiyo inawezekana kabisa kuwa faida ya siku moja ukijipanga vizuri.

Ijumaa asubuhi nimeweka $450, baada ya masaa matatu nikaondoka na karibu $1500.
Hapo hata saa tatu asubuhi ilikuwa haijafika.

Hiyo ni faida ya zaidi ya 2.2 shs million in 3 hours.

Kuna kukosa pia vilevile, sio kila siku kupata,
 
Kweli mkuu,wengi wanaongea wasichokijua, forex habari nyingine aisee
Ila nasisitiza sana kuisoma kabla ya kujiingiza kichwa kichwa, kwa maana hata wataalam wenyewe wanaiheshimu market isivyokuwa na akili.

Keynes alisema "The market can remain irrational longer than you can remain solvent".

Na hapo ni kwa kipanga anayeijua market nje ndani.
 
Ila nasisitiza sana kuisoma kabla ya kujiingiza kichwa kichwa, kwa maana hata wataalam wenyewe wanaiheshimu market isivyokuwa na akili.

Keynes alisema "The market can remain irrational longer than you can remain solvent".

Na hapo ni kwa kipanga anayeijua market nje ndani.
Wataalam wenyewe ukiingia tu wataanza kukwambia usome mavitabu, unaweza ingia ukapata ukichaa, u can lose all kabisaa
 
Back
Top Bottom