cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,778
- 73,523
Watu njaa zinawasumbua wanafikiria easy money. Wamenifungia sababu nilikuwa nawafanyia maudhi ili watambue katika maisha hamna shortcut, hile Forex trading ni highly risk, sasa kuna watu wanaanzisha ubroker ili wao wanufaike wawatie watu umasikini. Lazima watu wanalezwe ukweli hawaelewi! Wabongo wengine wanapupa sana ndiyo maana wanadanganywa kama ilivyokuwa mchezo DECI.
Kwani wewe umekatazwa na nani kuwa broker?
Na yeye si ana broker, sasa unaumia nini wakionfezeka hata kama wameamua watu kumsikiliza na kumfata yeye?
Yaani kwa kweli unayako mojawapo ikiwa wivu, mwinine kuna kitu unakosa kwa analofanya hautaki watu wajue.
Ingekuwa pesa yako inaliwa au umeombwa eeeh sasa ona... kama anadanya ni tapeli unavyotaka watu wamkumbie ungeenda kumshitaki polisi.
Eeeh nyamaza tu, acha watu wajaribu kila mtu na bahati yake