Online dating

Online dating

Nakumbuka kuna mmoja nilitongozana nae hivi hivi kupitia Mitandao kisha tukakubaliana kukutana pale katika Mghahawa wa TARAKEA Mwenge hivyo nilivyokuwa naenda eneo la tukio Mwanamume nikawa kila mara nawasiliana nae ili tusipotezane ndipo wakati nashuka katika Daladala enzi hizo Kituo kilikuwa pale pale mkabala ( jirani ) ndipo nikampigia tena yule Demu na kumuuliza yupo wapi tukawa bado tunapotezana nikamwambia hebu panda hapo juu katika hizo ngazi za TARAKEA ili nikuone vizuri nije. Nilichokiona baada ya hapo si Binadamu bali ni Kituko tupu. Dada niliyekuwa nachati nae Mtandaoni ni Mweupe tiiiiiii sasa huyu niliyekuwa naenda kupeana nae ushirikiano wa kukutana alikuwa ni mweusi utadhani ni Mkata Mkaa Kibada.

Sasa kibaya zaidi kila nami nilipokuwa nautafakari ule Ubaya wake na yeye ndiyo akawa kila mara ananipigia hivyo nilichokifanya ni kumuonyesha kuwa Mimi huwa sipindishi maneno na mshipa wangu wa aibu ulishakatwa zamani sana Wodi ya Uzazi ndipo nikampa pale pale makavu yake kwa kumwambia kuwa siwezi kuonana na Wewe kwakuwa ni mbaya wa kutukuka na sikutaki na tusisumbuane tena na nakumbuka kilichofuata hapo ni bonge la msonyo ambao ulifanya hadi Simu yangu ikazima ndipo nami nikaona pia ni fursa adhimu ya Mimi kubadili namba ili niepuke Kero zake.

Jamani japo Vitabu vya dini vinasema kuwa Binadamu wote ni sawa ila Mimi sikubaliani nalo kwani ni ukweli usiopingika kuwa kuna Watu ni Wabaya duniani hakuna mfano.
ha haahahaha kakaaa wewe jana ilikuaje?
 
Duh hako kapicha ka chini kama vile alichungulia kwenye furnace la coal kule kiwira
 
Nashukuru Mungu Dada yangu Kipenzi CL ( miss chagga ) siku yangu ya jana ilienda vizuri tu na nawashukuruni nyote mlionitakia salamu zenu na mbarikiwe mno. Nawapenda kunakotukuka!
na ule mzigo ulipiga ?
 
Nakumbuka kuna mmoja nilitongozana nae hivi hivi kupitia Mitandao kisha tukakubaliana kukutana pale katika Mghahawa wa TARAKEA Mwenge hivyo nilivyokuwa naenda eneo la tukio Mwanamume nikawa kila mara nawasiliana nae ili tusipotezane ndipo wakati nashuka katika Daladala enzi hizo Kituo kilikuwa pale pale mkabala ( jirani ) ndipo nikampigia tena yule Demu na kumuuliza yupo wapi tukawa bado tunapotezana nikamwambia hebu panda hapo juu katika hizo ngazi za TARAKEA ili nikuone vizuri nije. Nilichokiona baada ya hapo si Binadamu bali ni Kituko tupu. Dada niliyekuwa nachati nae Mtandaoni ni Mweupe tiiiiiii sasa huyu niliyekuwa naenda kupeana nae ushirikiano wa kukutana alikuwa ni mweusi utadhani ni Mkata Mkaa Kibada.

Sasa kibaya zaidi kila nami nilipokuwa nautafakari ule Ubaya wake na yeye ndiyo akawa kila mara ananipigia hivyo nilichokifanya ni kumuonyesha kuwa Mimi huwa sipindishi maneno na mshipa wangu wa aibu ulishakatwa zamani sana Wodi ya Uzazi ndipo nikampa pale pale makavu yake kwa kumwambia kuwa siwezi kuonana na Wewe kwakuwa ni mbaya wa kutukuka na sikutaki na tusisumbuane tena na nakumbuka kilichofuata hapo ni bonge la msonyo ambao ulifanya hadi Simu yangu ikazima ndipo nami nikaona pia ni fursa adhimu ya Mimi kubadili namba ili niepuke Kero zake.

Jamani japo Vitabu vya dini vinasema kuwa Binadamu wote ni sawa ila Mimi sikubaliani nalo kwani ni ukweli usiopingika kuwa kuna Watu ni Wabaya duniani hakuna mfano.
wew mwenyew ni mzuri lakini?
 
na ule mzigo ulipiga ?

Bahati mbaya nilikuta zile ' mvua ' zenu za lazima za kila mwezi zimeanza kunyesha hivyo nasubiri kama siku 3 au 5 zijazo ziishe kusudi niweze sasa kupanda mazao ambayo natarajia kuyavuna baada ya miezi 9 ijayo.
 
Bahati mbaya nilikuta zile ' mvua ' zenu za lazima za kila mwezi zimeanza kunyesha hivyo nasubiri kama siku 3 au 5 zijazo ziishe kusudi niweze sasa kupanda mazao ambayo natarajia kuyavuna baada ya miezi 9 ijayo.
kama zimeanza esabu wiki mbili halafu kapande dadeki labda liwe weak ...
 
Hivi Mwanaume anatakiwa kuwa mzuri? Wewe wa wapi? Mwanaume anatakiwa kuwa na Sura ya Kazi na mzuri wa kutafuta na kutumia Pesa. Sura hata Mbuzi anayo Mkuu!
kwaiyo na wew ulikuwa na hela , point yangu acha kukashifu watu ni wabaya wew mwenyew isikute una sura kama kiatu hapo hujaona wenye pesa zao mademu zao wanabebwa for free
 
kwaiyo na wew ulikuwa na hela , point yangu acha kukashifu watu ni wabaya wew mwenyew isikute una sura kama kiatu hapo hujaona wenye pesa zao mademu zao wanabebwa for free

Kabla ya yote naomba nikuulize tu kuwa je umeshajipanga kwa vita ya maneno ya shombo na Mimi? Nasubiri jibu kwani naona unajaa mwenyewe katika ' frame ' halafu na Mimi sera yangu humu siku zote imekuwa ni ile ile kuwa Wewe ' ukijamba ' Mimi ' nakunya ' kabisa.
 
Back
Top Bottom