hahahaha maweee
tulia hapa unakimbia nini?Hahaha
Yaani bora unitumiage picha kabisa. Masuala tunakutana nashindwa kula hapana. Rusha picha.tulia hapa unakimbia nini?
Nakumbuka kuna mmoja nilitongozana nae hivi hivi kupitia Mitandao kisha tukakubaliana kukutana pale katika Mghahawa wa TARAKEA Mwenge hivyo nilivyokuwa naenda eneo la tukio Mwanamume nikawa kila mara nawasiliana nae ili tusipotezane ndipo wakati nashuka katika Daladala enzi hizo Kituo kilikuwa pale pale mkabala ( jirani ) ndipo nikampigia tena yule Demu na kumuuliza yupo wapi tukawa bado tunapotezana nikamwambia hebu panda hapo juu katika hizo ngazi za TARAKEA ili nikuone vizuri nije. Nilichokiona baada ya hapo si Binadamu bali ni Kituko tupu. Dada niliyekuwa nachati nae Mtandaoni ni Mweupe tiiiiiii sasa huyu niliyekuwa naenda kupeana nae ushirikiano wa kukutana alikuwa ni mweusi utadhani ni Mkata Mkaa Kibada.
Sasa kibaya zaidi kila nami nilipokuwa nautafakari ule Ubaya wake na yeye ndiyo akawa kila mara ananipigia hivyo nilichokifanya ni kumuonyesha kuwa Mimi huwa sipindishi maneno na mshipa wangu wa aibu ulishakatwa zamani sana Wodi ya Uzazi ndipo nikampa pale pale makavu yake kwa kumwambia kuwa siwezi kuonana na Wewe kwakuwa ni mbaya wa kutukuka na sikutaki na tusisumbuane tena na nakumbuka kilichofuata hapo ni bonge la msonyo ambao ulifanya hadi Simu yangu ikazima ndipo nami nikaona pia ni fursa adhimu ya Mimi kubadili namba ili niepuke Kero zake.
Jamani japo Vitabu vya dini vinasema kuwa Binadamu wote ni sawa ila Mimi sikubaliani nalo kwani ni ukweli usiopingika kuwa kuna Watu ni Wabaya duniani hakuna mfano.
mmmmh.................ukiwa unamla mate na unatamia ya kulamba lamba utakutana na hafuru na ladha za kila aina ha haha
Nakumbuka kuna mmoja nilitongozana nae hivi hivi kupitia Mitandao kisha tukakubaliana kukutana pale katika Mghahawa wa TARAKEA Mwenge hivyo nilivyokuwa naenda eneo la tukio Mwanamume nikawa kila mara nawasiliana nae ili tusipotezane ndipo wakati nashuka katika Daladala enzi hizo Kituo kilikuwa pale pale mkabala ( jirani ) ndipo nikampigia tena yule Demu na kumuuliza yupo wapi tukawa bado tunapotezana nikamwambia hebu panda hapo juu katika hizo ngazi za TARAKEA ili nikuone vizuri nije. Nilichokiona baada ya hapo si Binadamu bali ni Kituko tupu. Dada niliyekuwa nachati nae Mtandaoni ni Mweupe tiiiiiii sasa huyu niliyekuwa naenda kupeana nae ushirikiano wa kukutana alikuwa ni mweusi utadhani ni Mkata Mkaa Kibada.
Sasa kibaya zaidi kila nami nilipokuwa nautafakari ule Ubaya wake na yeye ndiyo akawa kila mara ananipigia hivyo nilichokifanya ni kumuonyesha kuwa Mimi huwa sipindishi maneno na mshipa wangu wa aibu ulishakatwa zamani sana Wodi ya Uzazi ndipo nikampa pale pale makavu yake kwa kumwambia kuwa siwezi kuonana na Wewe kwakuwa ni mbaya wa kutukuka na sikutaki na tusisumbuane tena na nakumbuka kilichofuata hapo ni bonge la msonyo ambao ulifanya hadi Simu yangu ikazima ndipo nami nikaona pia ni fursa adhimu ya Mimi kubadili namba ili niepuke Kero zake.
Jamani japo Vitabu vya dini vinasema kuwa Binadamu wote ni sawa ila Mimi sikubaliani nalo kwani ni ukweli usiopingika kuwa kuna Watu ni Wabaya duniani hakuna mfano.
HahaaaaaHapo lazima nijifanye nimepigiwa simu ya kifo ili nitoke nduki