Online competition searching for miss JF 2011!

Take note the only difference with me saying it hapa na wewe kutoiona kua mwingine kasema is because most members wakugwaya hivo anaona it is beta aku ignore all together or ajipendekeze kwako (acha wale ambao they are your friends already);

Really? Watu wanamgwaya Gaijin? Huu ni ukweli au ni maoni yako?

Hawa wa kujipendekeza wapo more out of ushabiki hasa pale unapokua wamchachafya member mwingine via your criticism.

AshaDii, unapenda sana kutoa hizi sweeping generalizations. In the process unazidi kumpa mtu ammunition ya kukubana. Sasa hapo Gaijin akikuomba majina ya hao wanaojipendekeza kwake utathubutu kumpa? Au utazunguka mbuyu huku ukicheza tokomile? Kama hutajali mi ningependa unitajie hao wanaojipendekeza kwa Gaijin nami niwajue madhali wewe umesema hilo hadharani.
 

Kila la kheri.

Ila yaliyo kwenye hadhara kila mtu ana haki ya kuyachangia......sijui unalijua hilo?
 
Kila la kheri.

Ila yaliyo kwenye hadhara kila mtu ana haki ya kuyachangia......sijui unalijua hilo?



Ngabu I know.... Ila I am so preoccupied hapa na I don't have energy wala will ya kujibishana na quotes nyingi hapa... hasa ukizingatia I have to log off in a few minutes.
 
Ngabu I know.... Ila I am so preoccupied hapa na I don't have energy wala will ya kujibishana na quotes nyingi hapa... hasa ukizingatia I have to log off in a few minutes.

Sasa akija mwingine na kunukuu bandiko lako naye utamwambia "stay out of it" kwa sababu wewe na Gaijin mtamalizana? Kama hutaki wengine tuchangie kwa nini usimalizane naye faragha?
 
Sasa akija mwingine na kunukuu bandiko lako naye utamwambia "stay out of it" kwa sababu wewe na Gaijin mtamalizana? Kama hutaki wengine tuchangie kwa nini usimalizane naye faragha?



Umetoa wazo zuri..... Na delete posts na kuzipeleka faragha.... Thank you.
 

Most members wanamgwaya Gaijin
, una ushahidi gani na ni kina nani? Hao wanaoni ignore umewajuaje wewe? Na hao wananojipendekeza umejuaje na ni akina nani? Kati ya member elfu 10 kadhaa, most ni idadi gani?

AshaDii
NDIO ni kwa mujibu wa wa maoni yangu... Lakini ndio ukweli tokana na thefollowing vigezo; (ambavo I have drawn from my first hand experience with you)

Sikusema huwezi kufikia hitimisho hilo kuwa Gaijin is too critical, nilichotaka useme peupeni ni kuwa hiyo ni opinioni yako tu na sio ukweli usio shaka, ili watu wachambue wenyewe kuwa ni opinion wanayoweza kuikubali au ni kumwaga sumu tu. Ulifanya vyema sana kama kwenye post # 16 kwa kueleza wazi kuwa ni opinion yako.
 
Sasa akija mwingine na kunukuu bandiko lako naye utamwambia "stay out of it" kwa sababu wewe na Gaijin mtamalizana? Kama hutaki wengine tuchangie kwa nini usimalizane naye faragha?

Ningekuwa mtu wa kurusha madongo blindly, ningeomba ule msemo wako unahusisha "nywele za kwapa" hapa ....hahaah

Mimi nilikwisha nukuu, na nishaibandika hapa hapa, asiniongezee shughuli, sifanyi maongezi kwa PM
 
Don't flatter yourself, you can't even if you try



Gaijin it seems umegoma kuenda via PM.... I have noted that every word you have written in the post is the "TRUTH" On that basis have realized kua What i wrote before was just out of my flattering myself.... I hope you receive my "SORRY" thou you have the right to decline. In the future I will be more careful not to repeat the mistake. Again SORRY..


Gaijin wishing you a Happy New year.... May it be one of your BEST ever.....


Pamoja Saana

AshaDii.
 
Ningekuwa mtu wa kurusha madongo blindly, ningeomba ule msemo wako unahusisha "nywele za kwapa" hapa ....hahaah

Mimi nilikwisha nukuu, na nishaibandika hapa hapa, asiniongezee shughuli, sifanyi maongezi kwa PM

Unatisha wewe lol.
 
Itakuwa, mpaka most ya members 57,712 wa JF wananigwaya kisha wanapelekeana PM kuelezana hayo! hahaha

Kama wewe hujatuma PM kueleza hilo, tukuweke kwenye kundi la kujipendekeza?

Eeeh...staki jini mapembe lintishe...lol

Kwa hiyo kujipendekeza ndo mpango mzima!

Mwakani vekesheni wapi? Istanbul au Ankara?
 
Eeeh...staki jini mapembe lintishe...lol

Kwa hiyo kujipendekeza ndo mpango mzima!

Mwakani vekesheni wapi? Istanbul au Ankara?

Istanbul nishaenda kuosha uso, sasa hivi napanga kwenda Vienna au Prague ......nipo napigia debe wa kufuatana nae. Twende zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…