Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Wakuu habari za nyinyi jamani,

Natumaini mu wazima kabisa,

Leo nimeona nishushe haka ka uzi ambako nimekafanyia utafiti usio rasmi na nimeona kuna haja ya kukajadili.

Kwa wenzangu na mimi tulio maofisini bila shaka mtakubaliana na mimi kwamba siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana lawafanyakazi kupeana tamu maofisini baada ya saa za kazi.

Wengi hubakia baada ya saa kumi na moja au mbili wakijifanya kuwa bize bado na vimeo mbalimbali kumbe wanazuga watu wengine waondoke ili mechi zipigwe kwenye sakafu, makochi au Meza na viti vya ofisini.

Ukweli ulio mchungu ni kwamba wake zetu ambao tunaona ni watulivu nyumbani na hata weekend hawatoki nyumbani kwenda kokote kumbe mbosi wanawainamisha huko maofisini baada ya saa za kazi aisee.

Hii pia inawakumba sana wahudumu wa maofisi, masekretari na walio katika mafunzo ya vitendo wapo pia wanawake wanaowaita hapo ofisini michepuko yao waje kupiga show ofisini.

Kinachonifanya niulize ni sababu zamani ofisi ziliheshimiwa sana, baada ya saa za kazi watu walikuwa wanarudi nyumbani, ni kwanini sasahivi maofisi yamegeuka magesti ya kuchapia mpaka wake za watu? Karibuni tushee aidia hasa kama kuna wenye konfesheni za kungonoka ofisini.
Reference mkuu, ingawaje wanasema lisemwalo lipo siamini kwamba hii kitu imekuwa chronic kiasi hiki
 
Mitego ya akina mama si unaijua
Unajua hiyo jinsia watabakia hivyo mpaka mwisho, yaani wakiwa shuleni anaependwa sana na wavulana ndio anajiona queen na hata wenzake wanamheshimu kwa hilo tu, nahisi hata maofsini hii tabia ya hii jinsia inaendelea, anaetongozwa sana ana jiona yeye bora zaidi, mwisho wanaanza kushindana kugongwa tu, yaani we acha tu!
 
Back
Top Bottom