Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Kuna ofisi siku hizi za milango ya kujifungia? maana ninaona siku hizi unakuta ofisi ni ya wazi ,meneja na watendaji wote wanaonekana ili kudumisha nidhamu kazini na kuondoa nafasi ya rushwa.
 
Wakuu wa shule,wanalala na masekretari wao,wanafunzi wakubwawakubwa,walimu wa kike n.k.Ukija upande wa afya,madaktari na waganga wanatembea sana na manesi,wake za watu n.k.Na inasemekana ofisini kunapunguza gharama za gesti na nivigumu kufumaniwa.Nawasilisha.
 
Cha ofisi kitamu buana!
Ukija kutegeshewa kamera ndio utajua nini maana yakujiheshimu.Wewe ni moja ya wanawake ambao ni mfano mbaya kabisa kwa kizazi kichanga,hasa kimaadili.Bilashaka utakua na vichocheo vya kiume vingi kuliko kawaida,na hivi unavyosoma hii komenti yawezekana umelala kwenye sofa wanarekebisha,tena na unavyopenda pesa na mshahara umetoka jana,sijui itakuaje huko ofisini.
 
SEXUAL AT WORK.jpg
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mimi mpaka mbegu zinaisha hapa airtel maana naoakaza gundi watu vibaya sanaaaa..yaani muhimu ni kuwa na tissue za kutosha mfukoni
 
Back
Top Bottom