Duh!Sina mke ila napiga hao office mate. Wala siwawekei bunduki kichwani.....wanataka wenyewe
Yes ndio wasomi wetuDuh!
Nashukuru sina mke ofisini! Na hao mnaogonga ndo wale wasomi wa maofisini!
halafu gjfala wanasikia unameza fundo la mate na kushusha pumzizile za fasta fasta huwa tamu sana, yaani unakula mzigo huku unaongea na watu chumba cha pili, aisee hizo file mshamaliza kuzipitia nataka nizipeleke sehem
Aiseeeee! Ndo hao wanapandikizwa mimba na kuwa single mom alafu badae wanakuja kulia humu wanatafuta waume, haya bana, endelea kuwakandamiza!Yes ndio wasomi wetu
Guest au Hotel ni gharama ndugu yanguWakuu habari za nyinyi jamani,
Natumaini mu wazima kabisa,
Leo nimeona nishushe haka ka uzi ambako nimekafanyia utafiti usio rasmi na nimeona kuna haja ya kukajadili.
Kwa wenzangu na mimi tulio maofisini bila shaka mtakubaliana na mimi kwamba siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana lawafanyakazi kupeana tamu maofisini baada ya saa za kazi.
Wengi hubakia baada ya saa kumi na moja au mbili wakijifanya kuwa bize bado na vimeo mbalimbali kumbe wanazuga watu wengine waondoke ili mechi zipigwe kwenye sakafu, makochi au Meza na viti vya ofisini.
Ukweli ulio mchungu ni kwamba wake zetu ambao tunaona ni watulivu nyumbani na hata weekend hawatoki nyumbani kwenda kokote kumbe mbosi wanawainamisha huko maofisini baada ya saa za kazi aisee.
Hii pia inawakumba sana wahudumu wa maofisi, masekretari na walio katika mafunzo ya vitendo wapo pia wanawake wanaowaita hapo ofisini michepuko yao waje kupiga show ofisini.
Kinachonifanya niulize ni sababu zamani ofisi ziliheshimiwa sana, baada ya saa za kazi watu walikuwa wanarudi nyumbani, ni kwanini sasahivi maofisi yamegeuka magesti ya kuchapia mpaka wake za watu? Karibuni tushee aidia hasa kama kuna wenye konfesheni za kungonoka ofisini.
safi sana umejiuliza afu ukajijibu mwenyeweDah! Mungu aninusuru nisije kupiga bao kwenye ofisi yangu na ole nimkute mtu anafanya uchafu wake siku hiyo hiyo anakula termination letter yake.
Ila kwa hali hii ya uchumi watu wanaona bora wajiongeze tu hela ya kwenda lodge zetu zile sasa hivi imekuwa adimu sana.
Nadhani wachina walishawaza hivyo kitambo tuNdiyo maana napiga kelele cku nyingi kuwa badala ya kutafuta dawa ya ukimwi...tutafute dawa ya kufubaza nyege...ndiyo maana tunaomba msamaha kwa Mungu kwa dhambi zetu...manake ni vigumu kupita katika tundu la sindano..yaani nyege ziwepo halafu uzinifu usiwepo...
Mkuu demi hujambo!Sijawahi kuhesabu. Ule muda kagiza kanaingia..dah mmenikumbusha mbali
Mmh!Cha ofisi kitamu buana!
NA KWENYE MAGARI(PARKING) WANABANJUANA SANA.Wakuu habari za nyinyi jamani,
Natumaini mu wazima kabisa,
Leo nimeona nishushe haka ka uzi ambako nimekafanyia utafiti usio rasmi na nimeona kuna haja ya kukajadili.
Kwa wenzangu na mimi tulio maofisini bila shaka mtakubaliana na mimi kwamba siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana lawafanyakazi kupeana tamu maofisini baada ya saa za kazi.
Wengi hubakia baada ya saa kumi na moja au mbili wakijifanya kuwa bize bado na vimeo mbalimbali kumbe wanazuga watu wengine waondoke ili mechi zipigwe kwenye sakafu, makochi au Meza na viti vya ofisini.
Ukweli ulio mchungu ni kwamba wake zetu ambao tunaona ni watulivu nyumbani na hata weekend hawatoki nyumbani kwenda kokote kumbe mbosi wanawainamisha huko maofisini baada ya saa za kazi aisee.
Hii pia inawakumba sana wahudumu wa maofisi, masekretari na walio katika mafunzo ya vitendo wapo pia wanawake wanaowaita hapo ofisini michepuko yao waje kupiga show ofisini.
Kinachonifanya niulize ni sababu zamani ofisi ziliheshimiwa sana, baada ya saa za kazi watu walikuwa wanarudi nyumbani, ni kwanini sasahivi maofisi yamegeuka magesti ya kuchapia mpaka wake za watu? Karibuni tushee aidia hasa kama kuna wenye konfesheni za kungonoka ofisini.
Mbona unaguna?Mmh!