One year of love and happiness

One year of love and happiness

kwanza! asante kwa baraka zako..

I love her kwa kweli.
Hizo taratibu nyingine ni swala la time tu!
We just waiting for our time to come.
Hahahahahahahaha si unajua ile hadithi ya muazima jamvi. Kenda kwa nia ya kuazima jamvi alipofika kaanza kupiga storiiiiii mpaka akaja mtu mwingine kumbe nae alikua na nia ya kuazima jamvi . Mtu huyo hakuchelewa bali alipofika tu akasalimia kisha akaeleza haja iliyompeleka pale . Akapewa sasa na yule wa mwanzo akasema namimi nilikuja kwa ajili ya jamvi akaambiwa mbona hukusema. Ikabakia masikitiko but i'm just kidding usihofu wanasema subira yavuta kheri.
 
Hahahahahahahaha si unajua ile hadithi ya muazima jamvi. Kenda kwa nia ya kuazima jamvi alipofika kaanza kupiga storiiiiii mpaka akaja mtu mwingine kumbe nae alikua na nia ya kuazima jamvi . Mtu huyo hakuchelewa bali alipofika tu akasalimia kisha akaeleza haja iliyompeleka pale . Akapewa sasa na yule wa mwanzo akasema namimi nilikuja kwa ajili ya jamvi akaambiwa mbona hukusema. Ikabakia masikitiko but i'm just kidding usihofu wanasema subira yavuta kheri.

Naijua sana hiyo story!
my wife wangu mipaka yake ninayo mimi so mwenye nia lazma apitie kwangu kwanza
 
Naijua sana hiyo story!
my wife wangu mipaka yake ninayo mimi so mwenye nia lazma apitie kwangu kwanza
Haya kaka mdogo nawatakia kila la kheri mwisho mtufikie wakongwe si unajua sasa tunazeeka na huu mwaka mpya ndio kabisa unaongeza number kiasi kwamba kwenye bd huwezi weka mishumaaa manake haiwezi kutosha. Mimi nawaombeeni mzidi kukua ktk pendo la kweli. Lkn muwe waangalifu maana yule muovu hapendi watu wnaopendana
 
Back
Top Bottom