Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,890
- Thread starter
- #21
mirisho pm;
Kuhusu majimbo hayo, ni mambo tu. Maombi yanakubaliwa na kukataliwa. Ungesubiri kuona maamuzi yangu nipo uweze kutoa maoni yako.
Kwamba sijawahi kuionya CCM kuishambulia CHADEMA nadhani ni propaganda tu. Maisha yangu yote napambana na CCM ndani na nje ya Bunge. Wao kunisifia ni divide and rule.
Mara ngapi viongozi wa CHADEMA wanasifiwa na mawaziri wa CCM? Hata humu JF imeandikwa mara kadhaa pale mawaziri wa ccm wanapowasifia baadhi ya wabunge wa CHADEMA. Ni kawaida hiyo kwenye siasa.
Mara nyingi sana nimetoa matamko makali kulaani uvunjifu wa amani nchini na ugandamizaji dhidi ya upinzani nchini. Mara kadhaa nimeadhibiwa na CCM nimesimishwa ubunge, kamati ya POAC ilivunjwa, niliswekwa ndani kwenye uchaguzi Kigoma Mjini nk.
Hatupimi umakini wa viongozi wa upinzani kwa kuwekwa ndani na polisi, kama ni hivyo leo DP ingekuwa chama kikubwa kuliko vyote nchini
Kuhusu majimbo hayo, ni mambo tu. Maombi yanakubaliwa na kukataliwa. Ungesubiri kuona maamuzi yangu nipo uweze kutoa maoni yako.
Kwamba sijawahi kuionya CCM kuishambulia CHADEMA nadhani ni propaganda tu. Maisha yangu yote napambana na CCM ndani na nje ya Bunge. Wao kunisifia ni divide and rule.
Mara ngapi viongozi wa CHADEMA wanasifiwa na mawaziri wa CCM? Hata humu JF imeandikwa mara kadhaa pale mawaziri wa ccm wanapowasifia baadhi ya wabunge wa CHADEMA. Ni kawaida hiyo kwenye siasa.
Mara nyingi sana nimetoa matamko makali kulaani uvunjifu wa amani nchini na ugandamizaji dhidi ya upinzani nchini. Mara kadhaa nimeadhibiwa na CCM nimesimishwa ubunge, kamati ya POAC ilivunjwa, niliswekwa ndani kwenye uchaguzi Kigoma Mjini nk.
Hatupimi umakini wa viongozi wa upinzani kwa kuwekwa ndani na polisi, kama ni hivyo leo DP ingekuwa chama kikubwa kuliko vyote nchini
Last edited by a moderator: