ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,670
- 90,153
wadau mmetiririkaa,,,
mi sijawahi yan ndo nashanga
mmmmmh....mmmmh!!
wadau mmetiririkaa,,,
mi sijawahi yan ndo nashanga
The Boss mie bado bikira hivyo..... one night stand siijui😨😨😨😨We hujawahi kupiga one night stand?
The Boss mie bado bikira hivyo..... one night stand siijui
wanna try?
mmmmmh....mmmmh!!
Kumbe ndio chakula ganii hiii??
Wewe badiebe wewe!!i guess so
i guess so
ujaribu basi....!hakyanani vilee
nakwambia ingekuwa bonge la balaa.hahahahahah una bahati ulimkosha otherwise na angekuweka ndani
NN sikujua kama wewe ni mmoja kati ya seasoned playaz!Ngoja nikupe siri....kwa seasoned playa kama mimi, huo ni mwiko nambari wani! Kwenda kwa shori uliyekutana naye usiku huo huo si salama hata kidogo. Fanya juu chini uende naye kwako. Kama kwako namna gani vipi, mpeleke kwenye geto la mshikaji. Kama kwenye geto la mshikaji hakieleweki nenda gesti au motel au hotel. Kama hayo yote hayawezekani, mega kwenye gari kwenye kiti cha nyuma.
Nina rafiki yangu wa karibu sana aliuwawa miaka saba iliyopita. Alifumaniwa na demu wa mtu nyumbani kwa huyo demu. Akapigwa shaba akafa papo hapo. Mpaka leo hii nina machungu. Laiti angeongea nami kabla hajaenda kwa huyo mwanamke huenda angekuwa bado yu hai!! Sad story
Ha ha ha ha ha ha!Whatever to you groupie icon. You thought I was gonna punk out huh? Hahahaha...mama didn't raise no punk in me. I can dish it out too...Now don't chicken out....battle me if you got testicular fortitude