Mpenda Kwao
Senior Member
- Apr 29, 2008
- 175
- 18
Duh kwa karne hii itakuwa too much risk mkuu, manake kama nimekuelewa sawa sawa itabidi upige dry chama sababu ni vigumu kuwa na kondom katika mazingira hayo. Atleast mazingira ya Nyani Ngabu yanaruhusu kutafuta zana za maangamizi.Du, kijana unatukumbusha mbali, kwetu siye wengine, hizi ni kumbukumbu tuu za those good old days, one thing I'm sureof kuhusu hizi one night stand au nyingine its not even a stand, its just a one night stop, huwa there is no regret.
One night stop ni kama kwenda kwenye party, mnatoka nje, mnatafuta privacy meant for just romance, be it kwenye ngazi, summit, kwenye michongoma, uchochoroni, ukutani, au even washroom, remember the privacy is only ment for just rommance, out of rommance, nature takes over, mnaishia kumaliza kiti kitu!, na mnarudi kuendelea na party, ndipi sense na reflections zinakurudia of what you did, the risk you took na huyo dada, hakuangalii tena usoni, ni aibu! ila no regret! Ujana ni kipindi kizuri jamani!.