Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,225
- 113,566
Umeshawahi kuwa na one night stand? Nahisi wengi wenu huenda mkajishaua lakini idadi kubwa ya watu walau huwa na moja maishani mwao.
Usiambiwe bana..one night stand kwa meni ni kitu kinacho piga jeki kujiamini na kujiona bingwa flani hivi.
Hebu fikiria kidogo...Ijumaa imewadia wewe na machizi wako mmeamua kwenda kiwanja. Mnafika kiwanja mnakamata vinywaji mnaanza kunywa polepole. Kadiri muda unavyozidi kwenda hamu ya kucheza muziki na yenyewe inaongezeka. Mnaamua na nyinyi mjiunge kwenye kuchezea muziki.
Unakutana na shori unaanza kucheza naye. Mara kidogo kidogo mzee unaanza kubambia....mnacheza miziki miwili mitatu shori kachoka anataka kwenda kuketi. Mnaenda kuketi mnaanza mazungumzo....taratiiibu mzee unaanza kutema sumu. Shori anaanza kuwa na kisebusebu....mwishowe unamshawishi muondoke wote.
Muda wa kuondoka unafika. Mnatoka nje ya klabu na shori bado anakuwa hana uhakika kama aondoke na wewe au aondoke na rafiki zake aliokuja nao. Mazee unazidisha mashambulizi...sasa unaanza kudondosha sumu zenye maangamizi makubwa. Shori anakubali lakini kwa sharti la wewe kwenda nyumbani kwake. Na hujiulizi mara mbili wala nini unawasha gari na kwenda naye kwake.
Unalala usiku uliobakia hapo kwake na unamega. Kesho asubuhi yake mnaamka anakutengenezea kifungua kinywa, mzee unatia ndani halafu unatimua.
Njiani mwenyewe unajiona biiingwa...unaanza kutabasamu tu peke yako. Baadaye mnawasiliana wasiliana lakini mwasiliano yanakuwa hafifu mwishowe mnaacha kabisa kuwasiliana. Baadaye miaka kadhaa mnakuja mnakutana....mwenzio keshamaliza shule ya udaktari na sasa ni resident doctor kwenye hospitali kubwa tu. Unajisemea kimoyomoyo....duh! nimemega pale...it was a one night stand...
Wadau mmeshawahi kuwa na one night stand?
Usiambiwe bana..one night stand kwa meni ni kitu kinacho piga jeki kujiamini na kujiona bingwa flani hivi.
Hebu fikiria kidogo...Ijumaa imewadia wewe na machizi wako mmeamua kwenda kiwanja. Mnafika kiwanja mnakamata vinywaji mnaanza kunywa polepole. Kadiri muda unavyozidi kwenda hamu ya kucheza muziki na yenyewe inaongezeka. Mnaamua na nyinyi mjiunge kwenye kuchezea muziki.
Unakutana na shori unaanza kucheza naye. Mara kidogo kidogo mzee unaanza kubambia....mnacheza miziki miwili mitatu shori kachoka anataka kwenda kuketi. Mnaenda kuketi mnaanza mazungumzo....taratiiibu mzee unaanza kutema sumu. Shori anaanza kuwa na kisebusebu....mwishowe unamshawishi muondoke wote.
Muda wa kuondoka unafika. Mnatoka nje ya klabu na shori bado anakuwa hana uhakika kama aondoke na wewe au aondoke na rafiki zake aliokuja nao. Mazee unazidisha mashambulizi...sasa unaanza kudondosha sumu zenye maangamizi makubwa. Shori anakubali lakini kwa sharti la wewe kwenda nyumbani kwake. Na hujiulizi mara mbili wala nini unawasha gari na kwenda naye kwake.
Unalala usiku uliobakia hapo kwake na unamega. Kesho asubuhi yake mnaamka anakutengenezea kifungua kinywa, mzee unatia ndani halafu unatimua.
Njiani mwenyewe unajiona biiingwa...unaanza kutabasamu tu peke yako. Baadaye mnawasiliana wasiliana lakini mwasiliano yanakuwa hafifu mwishowe mnaacha kabisa kuwasiliana. Baadaye miaka kadhaa mnakuja mnakutana....mwenzio keshamaliza shule ya udaktari na sasa ni resident doctor kwenye hospitali kubwa tu. Unajisemea kimoyomoyo....duh! nimemega pale...it was a one night stand...
Wadau mmeshawahi kuwa na one night stand?