Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
Yanini malumbano?:target:Hapahapa asprin hakuna cha PM wala nini we sema tu
Yanini malumbano?:target:Hapahapa asprin hakuna cha PM wala nini we sema tu
hiyo ina raha yake na machungu yake mi mwenyewe yalisha nikuta na naumia sana jmaa aliye muoa ni jirani yangu! na mchango niltoa kufika kwenye harusi sikuamini macho yangu ninacho kiona mbele,maana nakumbuku nilimtafuta sana, kwa mchezo aliumudu vema na mpaka leo jmaa namuonea wivu sana maana najua anfaidi sana.
Yanini malumbano?:target:
Hahahahaha hiki kibao kikipigwa valuu zote zinafutika naanza upya
Heko 20%
Hahahahaha! hatimaye umefufuka kama ulivyosema. Welcome back!
dah,...mpwa kumbe umejopangusa nayo vile vile?
......Furahini na shangilia...haleluya haleluya......! Pamoja sana kamanda.....!
Hahahaha mpwa umeadimika sana, vp tena umetangaza NIA?
hehehehehe!Unalala usiku uliobakia hapo kwake na unamega. Kesho asubuhi yake mnaamka anakutengenezea kifungua kinywa, mzee unatia ndani halafu unatimua.
Njiani mwenyewe unajiona biiingwa...unaanza kutabasamu tu peke yako. Baadaye mnawasiliana wasiliana lakini mwasiliano yanakuwa hafifu mwishowe mnaacha kabisa kuwasiliana. Baadaye miaka kadhaa mnakuja mnakutana....mwenzio keshamaliza shule ya udaktari na sasa ni resident doctor kwenye hospitali kubwa tu. Unajisemea kimoyomoyo....duh! nimemega pale...it was a one night stand...
mpwa nasikia yako ni ONE HUNDRED NIGHTS STANDS:biggrin1::biggrin1::biggrin1:dah one night stand............. pombe soo huh!! nakumbuka niliishia pabaya lol!!:drum:
dah one night stand............. pombe soo huh!! nakumbuka niliishia pabaya lol!!:drum:
nimetangaza nia sema jimbo langu lina mavuvuzela kibao mpwa.....vipi naona bilicana huendi tena....si uwe unatembea na baunsa sasa? LOL
Si unajua tena hommie baada ya minjonjo sie haooo kwa demu asee kumbe demu mwenyewe anaishi sijui na bro au jamaa.....yaani tifu lilipoaanza :A S 20:mie huyooo ya nini malumbanoo:drama:!! mpaka leo sijui yupo wapi!!hommie hapo pabaya ndo pepi?:rofl:
mkuu NL>......mi ndo nimetoka kuchukua fomu....we upo jimbo gani mwaka huu!? karibu tena
Hebu acha kuni-discourage bana...
Acha nirushe ndoano yangu...huwezi jua....
Hey Noname, where are you?
Mzee wa mapiano...nipo naanda njia tu zisi time.......!
Si unajua tena hommie baada ya minjonjo sie haooo kwa demu asee kumbe demu mwenyewe anaishi sijui na bro au jamaa.....yaani tifu lilipoaanza :A S 20:mie huyooo ya nini malumbanoo:drama:!! mpaka leo sijui yupo wapi!!