Elpaul
JF-Expert Member
- Jan 19, 2018
- 742
- 470
Sky, nasikia baridiMagufuli sasa hivi hawezi kusema tena atampa Lissu kazi ndogo ndogo urais amuachie yeye.
Sky, nasikia baridiMagufuli sasa hivi hawezi kusema tena atampa Lissu kazi ndogo ndogo urais amuachie yeye.
Huo ni mkutano wa udiwani kwenye kata; afadhali wao wanaitisha mikutano ya kata kuliko wengine ambao hawawezi kuitisha mkutano wa kata bali wanasubiri mgombea wa urais apite tu. Politics zinaanzia kwenye grassroots;Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804
Kama huoni mpinzani si ubaki na dikteta lako sasa video za upinzani ulitaka za nini kama hadi sasa hujaona mpinzani?Sioni mpinzani mkuu
Pole sana mkuu hii michezo haihitaji nguvu, usiwe Kama Matha.Kama huoni mpinzani si ubaki na dikteta lako sasa video za upinzani ulitaka za nini kama hadi sasa hujaona mpinzani?
Utakua zezeta wa Dodoma tu wewe.
Nguvu unatumia wewe TAGAPole sana mkuu hii michezo haihitaji nguvu, usiwe Kama Matha.
Hatari sana karibu sana nchiniNguvu unatumia wewe TAGA
Sawa mkuuWeka na kampeni za wagombea wa vyama vya Upinzani, usimulike ya ccm tu
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804
Huyo mlinzi sasa
Duuh.. hapo Ni walimu na wanafunzi, na wapita njia wachacheHuu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804
Watu wamepigika sana.Hata mikutano ya Magufuli ni vivyo hivyo. Magu anaokolewa na wanafunzi tu pamoja na wasanii.
Mbona unaongelea nchi zenye kurithisha utawala.. au ccm nao washakuwa ufalme?!VP kiduku nae kashatolewa? VP kuhusu China na Russia pia
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804
Kijijini huwa hakuna population kubwa mikutanoni hasa misimu ya mvua na kilimo unataka atumie picha kama ile ya uongo wa Lisu amako maelfu walijaa akisingizia wanakijiji wa kijijini kwake?Du yaani hiyo idadi ni ndogo hata zaidi ya abiria wa bus la abood dar - moro
Wakishapata wanakuwa jeuri haswa
Hapa naona Daimond, hamonyz, kiba walikuwa busy kidogo.....Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804