Uchaguzi 2020 Ona mikutano ya CCM inavyotia huruma

Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.

Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.

View attachment 1606804
Huo ni mkutano wa udiwani kwenye kata; afadhali wao wanaitisha mikutano ya kata kuliko wengine ambao hawawezi kuitisha mkutano wa kata bali wanasubiri mgombea wa urais apite tu. Politics zinaanzia kwenye grassroots;
 
Kama huoni mpinzani si ubaki na dikteta lako sasa video za upinzani ulitaka za nini kama hadi sasa hujaona mpinzani?

Utakua zezeta wa Dodoma tu wewe.
Pole sana mkuu hii michezo haihitaji nguvu, usiwe Kama Matha.
 
Labda Kama ni matango pori Ila niliona makala yake kwenye tv kajitahidi kufanya mambo mengi huko mbeya vijijini na kaelezea mipango mingine,mnamuonea bana
 
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.

Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.

View attachment 1606804
 

Attachments

  • UBUNGO6.jpg
    UBUNGO6.jpg
    340.9 KB · Views: 1
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.

Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.

View attachment 1606804
Duuh.. hapo Ni walimu na wanafunzi, na wapita njia wachache
 
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.

Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.

View attachment 1606804
 
Du yaani hiyo idadi ni ndogo hata zaidi ya abiria wa bus la abood dar - moro
Kijijini huwa hakuna population kubwa mikutanoni hasa misimu ya mvua na kilimo unataka atumie picha kama ile ya uongo wa Lisu amako maelfu walijaa akisingizia wanakijiji wa kijijini kwake?
 
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.

Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.

View attachment 1606804
Hapa naona Daimond, hamonyz, kiba walikuwa busy kidogo.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom