True story related to the arrest of the former Finance Minister of Zimbabwe
Ahsante sabbu umekuwa muungwana kwa hilo..nilidhani una uhakika nalo.Inawezekana kabisa ni uzushi ila kwa kuweka uzi kama huu JF mara nyingi ukweli hujulikana kwakuwa JF haiongopi
Jeshi limekuta kiasi kikubwa sana cha fedha nyumbani kwake kuliko bankView attachment 638151waziri husika View attachment 638152View attachment 638153mtu kama huyu angependa babu atawale miaka 1000
Hii stori niliipata kama chairman wa anti corruption, Cameron.Jeshi limekuta kiasi kikubwa sana cha fedha nyumbani kwake kuliko bankView attachment 638151waziri husika View attachment 638152View attachment 638153mtu kama huyu angependa babu atawale miaka 1000
Kamishna Masamaki wa TRA ameshinda kesi, muacheni apumzike.ndiyo yakina Masamaki na wenzake TRA
Huyu ashukur mungu yuko Zimbabwe angekuwa Tanzania angeishi kama shetani... Maana Ngosha hana masihara
That's why nimekubali kukosolewa kwakuwa hata mimi sina hakika ila kupitia hapa JF itajulikana mbivu na mbichi....Hiyo picha ni ya mwaka gani? Mbona imekuwa kwenye mitandao mbali mbali tangu mwaka jana ikiwa na vichwa habarishi tiofauti tofauti.
Pichani ndiye waziri wa fedha wa Zimbabwe aliyeshitakiwa kwa rushwa na uchafu mwingine mwingine kibao. Anaitwa Ignatius Chombo
Just google kwa habari kamili sio picha hizi za Mshana Jr.
![]()
Mkuu nadhani hili lilisababishwa sana na enzi za kupeana kazi kwa vimemo.! Uwezo wa watendaji wetu wengi serikalini ni mdogo ama haupo kabisa.!Kamishna Masamaki wa TRA ameshinda kesi, muacheni apumzike.
Source
![]()
Kila siku narudia kusema, prosecutor wa Tanzania hana uwezo, hana weledi, wa kukusanya evidence, kuzi present mahakamani na kushinda kesi ya white color crime. Hawawezi.
Anachofanya prosecutor, anakukamata anakwambia toa ushirikiano, which is to say kubali makosa. Ukitoa ushirikiano bado unafungwa vile vile, kwa sababu Tanzania hakuna plea bargain agreements. Wanategemea ukubali makosa au utaje wenzako bila kupewa nafuu yeyote. Watu hawakubali, kwa nini ukubali?
Prosecutor anakua kakwama, hana evidence, hana jinsi, anapandwa na hasira anakutundika kosa la money laundry, halina dhamana, unaoza jela indefinately, ndio kakufunga hivyo. Kitilya wa TRA, Singasinga Sethi na Rugemalila wa IPTL, Ringo Tenga na Peter Noni wa 6Telecoms, wakili Mwalle wa Arusha, to name but a few. Wakili Mwalle mwaka wa saba huu mahabusu Kisongo, eti kakutwa na ukwasi mkubwa kwenye akaunti, lazima katakatisha. Hawana uwezo wa kufunga mtu kwa sheria zilizonyooka. Nani kafungwa na Magufuli kwa kushindwa kesi ya ufisadi, taja mmoja.
Jamii forum sasa inaleta hata matango poriJeshi limekuta kiasi kikubwa sana cha fedha nyumbani kwake kuliko bankView attachment 638151waziri husika View attachment 638152View attachment 638153mtu kama huyu angependa babu atawale miaka 1000
Ela ya madafu iyo dorra asingekaahizo ni dola au ni zile za madafu za mkate mmoja kwa 1bl zimbabwen shilingi
Unamaanisha kama anavyoishi Chenge ndio ushetani wenyewe?!Huyu ashukur mungu yuko Zimbabwe angekuwa Tanzania angeishi kama shetani... Maana Ngosha hana masihara