kidudukuntu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 286
- 206
Ah hilo povu tu ila kiukweli unaboaa unamsifu huyo mtawala utadhani ni malaika badilika aise anza kufikiria atleast kutwa kuchwa uko mtandaoni kumsifu aseNaomba unisamehe mkuu kwa kumsifu mwanamke mwenzangu..
Kuanzia sasa ntakuwa namsifia mama yako.. Maana ni Fundi sana