Ona hii ya waziri wa fedha Zimbabwe

Ona hii ya waziri wa fedha Zimbabwe

Acheni kubabaika Nyumbu nyie...
Hiyo Dollar ya Zimbabwe Ishapotea kwenye mzunguko kitambo...
Haina thamani tena.
 
Jombaa hunifaham sikufaham pamoja na hayo usinilazimishe nimchukie unayemchukia ww.. Hizo ni akili za kichawi.

Utambue ya kwamba hakuna binadamu aliyemzuri kwa kila mtu wala hakuna mbaya kwa kila mtu.

Lakn nmefuta kauli kuanzia sasa ntakuwa namsifia mama yako kwa utundu wake
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji23]
 
Sawa,ila huyo ni mkurugenzi wa Takukuru ya nchi moja huko Africa ya magharibi..

na sio yule waziri wa fedha wa Zimbabwe.!!
 
Fake news.

Huyo mtu sio mwenyewe. Ex-finance minister Ignatius Chombo huyu hapa akipelekwa mazabe:


_98934182_ac8e7fd1-9608-4d2f-810c-f72ad705c24a.jpg


afp-ul5bm.jpg


Chombo-e1389344794653.jpg


Fanyeni research kidogo kabla ya kuleta every internet rumor you can find.
 
Kwa sasa zim dollar haitumiki wanatumia dollar ya America na hii ni kutokana fedha yao kushuka thamani, mod futa Uzi huu hauakisi ukweli wa mambo
 
Jeshi limekuta kiasi kikubwa sana cha fedha nyumbani kwake kuliko bankView attachment 638151waziri husika View attachment 638152View attachment 638153mtu kama huyu angependa babu atawale miaka 1000
Mkuu mshana Jr ningetamani nipate chanzo cha habari yako. Kuhusu picha ya huyo jamaa sina shaka sbbu simfahamu lakini kuhusu hizo picha za
pesa kidogo nadhani kuna walakini..
niko Lilongwe Malawi hizo picha za pesa nimeanza kuziona zikitembea kwenye mitandao ya kijamii hapa tangu mwezi october mwanzoni zikiwahusisha viongozi wa serikali wa Malawi..
pili ukiangalia muonekano wa hizo pesa ni kama Mk 1000 na Mk500 sio Dollar ama ni mchanganyiko wa Dollar na Malawi kwacha.!
sabbu nakuamini katika nyuzi nyingi unazoanzisha hapa sitaki kuamini kuwa unataka kutulisha matango pori.
kama wanaompiga brash Dr shika sasa kwa faida ya matumbo yao.
 
Mkuu mshana Jr ningetamani nipate chanzo cha habari yako. Kuhusu picha ya huyo jamaa sina shaka sbbu simfahamu lakini kuhusu hizo picha za
pesa kidogo nadhani kuna walakini..
niko Lilongwe Malawi hizo picha za pesa nimeanza kuziona zikitembea kwenye mitandao ya kijamii hapa tangu mwezi october mwanzoni zikiwahusisha viongozi wa serikali wa Malawi..
pili ukiangalia muonekano wa hizo pesa ni kama Mk 1000 na Mk500 sio Dollar ama ni mchanganyiko wa Dollar na Malawi kwacha.!
sabbu nakuamini katika nyuzi nyingi unazoanzisha hapa sitaki kuamini kuwa unataka kutulisha matango pori.
kama wanaompiga brash Dr shika sasa kwa faida ya matumbo yao.
Inawezekana kabisa ni uzushi ila kwa kuweka uzi kama huu JF mara nyingi ukweli hujulikana kwakuwa JF haiongopi
 
Inasikitisha sana aise..ila Afrika mambo kama haya tunayaona, ndiyo yakina TRA, au yule Mhasibu wa PCCB! Uroho, tamaa ubinafsi, umimi mimi mimi..Lazima uumbuke kama hivi tu..
 
Back
Top Bottom