Nape yupo kwenye shuguli ya kuua chama chake.
Nape yupo kwenye shuguli ya kuua chama chake.
Nape yupo kwenye shuguli ya kuua chama chake.
Nape pole sana kwakukutana na mtaalamu Lisu na umshukuru huyo host wa Dar asiyejua kuongoza kipindi
ni nini tofauti ya Lusinde,Mwigulu Na Nape?
badala ya kuongea hoj,anabwabwaja na kutukana.
Nape,unasema chadema ni masikini,swali.
kama unalijua hilo kwanini msiwaache wafanye mikutano yao ya kimasikini?
hadi muwaue,muwapige mabomu..
kama wangekua na hela kama nyie wangeenda gurdoto..waacheni basi!
manake umasikini wao wameridhika nao,nini kinawakera?kihoro cha nini sasa?