rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Yahya,mada nzuri,lakin kuwen makin na hizi mada na watangazaji (host) wanaotakiwa kuendesha.Mtangazaji (host)wa Dar anapwaya,mada ni nzito kwake.
Mkuu sidhani kama huyu dada ndiye anatakiwa kuwajibika kwa kupwaya'kuna backup wako wapi??kampuni kama hii inahitaji kujipanga ili kuweza kuridhisha watazamaji'kuna backup inatakiwa kuwa nyuma ya pazia kufatilia kipindi na kuwasiliana na huyo dada na kumpa maswali ya kuwauliza hao wageni'kuna haja ya kubadilisha utendaji ili tuweze kwenda na wakati