Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Ni ngumu kulipa fidia sababu waliotenda na kutendwa ni kizazi kilichopitaNi kwa sababu hawana pa kwenda. Wakipewa nchi, wanaishi kwao na nchi zilizowachukua utumwa zinalazimishwa kuwafidia.
Ni ngumu kulipa fidia sababu waliotenda na kutendwa ni kizazi kilichopitaNi kwa sababu hawana pa kwenda. Wakipewa nchi, wanaishi kwao na nchi zilizowachukua utumwa zinalazimishwa kuwafidia.
Africa polisi akiuwa anapandishwa cheo au anahamishwa kituo,Hakimu akimfunga mpinzani anapata ujaji, Kenya polisi wameuwa jumla ya watu 15 Hadi Sasa kisa lockdown,wao mtu mmoja tu wanaandamana wote.Eti Eminem hua anasema anaamini yeye ni mwafrica huku Pdiddy akisema anaamini yeye asili yake ni Ethiopia/Somalia.
Maanina hawa jamaa wanacheza waje huku wajionee mziki mnene eti huko US mtu mmoja tu anauwawa then wanaandamana mpk police wanapiga magoti kuomba msamaha aje ajionee huku kwa afande Mroto mtu anapigwa anakufa na nyie mliobaki mnaambiwa mtapewa kichapo cha mbwa mwizi na maisha yanaendelea poa kabisa.
Sio mbinguni kuzimu, mbinguni kuna rahaKuna mtu alinambia ukiweza kuish Africa mbinguni autopata tabu.
Black American wenyewe akili zao zinafanana na Le Mutuz.Wakija huku wenyewe ndio watageuka wabaguzi dhidi yetu wabaki tu hukohuko wajikomboe hukohuko
Hapana Mkuu wajukuu bado wanafaidika na dhuluma za babu zao.Ni ngumu kulipa fidia sababu waliotenda na kutendwa ni kizazi kilichopita
Kuna ukweli hapo.dawa wasiwe wengi sana kwenye nchi moja ya kiafrika.watawanye kila nchi iwe na wachache wachache.Ni Ndugu zetu ila ni wakorofi sana na madharau sana.hasa wakutoka MarekaniWakija huku wenyewe ndio watageuka wabaguzi dhidi yetu wabaki tu hukohuko wajikomboe hukohuko
Wajukuu wamechoka hawana pesa Kama babu zaoHapana Mkuu wajukuu bado wanafaidika na dhuluma za babu zao.